MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,726
- 2,691
Waziri wa feddha hanaga kazi ya kufanya eeeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini alisaini timu 2Kutokua na timu ndio a sign timu mbili?
Wewe si ulisema alikua na mkataba na SGF?Jiulize swali moja. Kwa nini Yanga hawana kesi na Singida ila wanafanya kesi na Kagoma? Kwani Kagoma alikuwa mchezaji huru au alitakiwa auzwe na Singida? Kama alitakiwa auzwe, kwa nini hawakupeleka hela kwa muuzaji? Je, muuzaji alighairi kuuza au aliamua kuuza sehemu nyingine?
Haya ndugu, uso umekushuka! Ulikomaa kusema eti Kagoma alikuwa huru. Mwanasheria wako wakili msomi Simon Patrick anasema wamemnunua Singida FG kwa sh. 3M. Sasa mimi siingilii, nenda ukakae na mwanasheria wenu mje na jibu moja, Je, alikuwa huru au aliuzwa? Bahati mbaya katika wawili wenye akili, wewe na mwanasheria sio miongoni mwaoKumne hata hauelewi hili sakata lipoje? Kagoma hakua na mkataba na SBS alikua huru alicho fanya yeye ni Ku sign timu mbili kwenye dirisha moja la usajiri
Unaweza hata kumi.Kutokua na timu ndio a sign timu mbili?