Kwa taarifa Yako viongozi wa Simba ni mabingwa wa ku kiuka taratibu kwa kutegemea wata bebwa na kundi kubwa la Viongozi wenye vinasaba vya Simba pale Tff.
bahati mbaya Kuna makosa ya kikanuni yakifanyika ata ao viongozi Wana shindwa kuwa beba.
Walimtangaza Lamek Lawi kwenye Official page kabla usajili wake hauja kamilika Tff waka potezea,
Wakamtambulisha Valentinon Mashaka wakati Bado anamkataba na Geita Tff wakalizima juukwa juu.
Waka Mtambulisha Awesu Awesu wakati Bado anamkataba na KMC Tff waka wabeba Simba.
Bahati mbaya wame mchezesha Yusufu Kagoma ambaye Alisha ingia mkataba wa awali na Yanga na Tukumbuke mikataba yote ya awali uwa inapelekwa Tff kwa kumbukumbu ili kusije kutokea utata.
Mchezaji alikua anajua kabisa kama anafanya Double signing lakini viongozi wenu wakamwambia wewe Sign tu mengine tuachie sisi na Ligi utacheza, na aya ndio madhara yake.
Uko nyuma Simba alishawahi kunyang'anywa point 3 kwa kumchezesha Musa Mgosi na kukosa Ubingwa.
Kwasasa Simba imemchezesha mchezaji ambaye ana double signing sijui Tff watafunika kanuni au watakuja na Sarakasi zipi kuibeba Simba.
Kuna Muda Mbeleko huchanika, Ingawa Tff walipambana ku adjust ratiba ya Ligi ili Simba mechi za awali ianze na timu ambazo wachezaji wageni wanao toka nje ya Nchi hawaja kamilisha vibali na washinde ki urahisi
Bahati mbaya Simba wenyewe wametoboa mtumbwi kwa kumchezesha Kagoma.
Yaani Tff Wana changanyikiwa wa wabebe vipi!!
Tusibiri tuone.