Sakata la Yusuph Kagoma kusaini timu mbili Klabu ya Simba kukatwa alama

Sakata la Yusuph Kagoma kusaini timu mbili Klabu ya Simba kukatwa alama

Kaka umeeleze kama mtu ambae hujaenda kama umeenda bas hujaelimika kwann nakwambia hivo hiyo kesi simba hahusiki nayo direct simba ni mtu wa 4 kwenye hiyo kesi wakwanza ni yanga,wapili ni singida ,wa3 ni TFF Ambayo ilipitisha usajili wa kagoma had TMS inasoma singida yupo simba,wachezaji wote wanaocheza simba wameidhinishwa na TFF had FIFA...
Ukiangalia kwa umakini hapa ni yanga kuumia roho waonekne wababe kwa simba sabb madai yao yanakinzana sabb mara walitaka kagoma atoke front aombe msamaha afu jammaa kawapuuza anaubonda tu nisawa na mwanamke kaolew na jamaa mwingn roho inakuuma....YANGA WAJISHIKILIE licha ya ubora wa kikosi chao lkn msimu huu simba tumekuja kivingine timu inamorali na nivijana ambao wananjaa ya mafanikio middle ya KAGOMA OKAJEPHA DEBORA JEAN CHARLES NA MBELE MUKWALA ikija kutulia inaweza zua balaa
Simba ipi hio yenye morali unayo zungumzia ? Iliyopigwa mkong'oto kwenye ngao ya jamii au nyingine?
 
Hiyo kesi ya madai, waende tu mahakamani. Nao Yanga ni wajinga, watampaje hela mchezaji wakati bado hawajauziwa na mmiliki? Ni sawa na kumlipa dalali wakati hujamalizana na mwenye nyumba, kama imeshauzwa je?
😀😀😀
Sawa Yanga wajinga vipi Simba kwa Lawi?
 
Hili ndio linalotokea hata kumruhusu kijana akapate maisha Mazuri wydad,ingekua simba hili na mchezaji mwenyewe akiwa na utayari wangekwisha fanya biashara lkn watamkomoa mtoto Mzize na kukosa fursa na ukipita hii Mzize asitegemee muujiza wakupata offer tena it happens only once in life time
Hata Kibu ni kijana au ni Mzee?
 
Sawa Yanga wajinga vipi Simba kwa Lawi?
Simba haikumpa hela Lawi bila ya kumaluzana na Coastal Union. Umewahi kusikia viongozi wa Coastal Union wakikanusha kupokea hela za Simba? Walipokea ila wakaja kuzirudisha. Lakini Yanga hadi leo haijaipa Singida hela za manunuzi, ila imempa mchezaji 😂😂😂
 
.... Hapo timu ya mchezaji, Mchezaji tayari wamefanya kosa.
Mchezaji amefanya kosa, lakini ukisema timu ya mchezaji (Singida) imefanya kosa, hapo nitakukatalia. Yaani una mchezaji na wanunuaji wenye cash wanajitokeza, eti usimuuze kwa kuwa ipo timu nyingine ilishasema kwa maneno kuwa itamnunua? Isipomnunua je?
 
Mchezaji amefanya kosa, lakini ukisema timu ya mchezaji (Singida) imefanya kosa, hapo nitakukatalia. Yaani una mchezaji na wanunuaji wenye cash wanajitokeza, eti usimuuze kwa kuwa ipo timu nyingine ilishasema kwa maneno kuwa itamnunua? Isipomnunua je?
Haikusema kwa maneno, walifanya pre-contract na Singida walihusishwa. Kilichotokea ni unazi wa baadhi ya viongozi wakidhani pre-contract haitakuwa na madhara wakati kiuhalisia, wakati ule, pre contract ilikuwa ndiyo mahala pake kwa kuwa mkataba wake ulikuwa bado haujaisha rasmi.
 
Inaonekana kuna uto wmepanic sana .. mara Kagoma, mara Aziz Ki na wengine kuonekana kwenye mechi za Simba, mara kuhamia uwanja wa KMC?!
 
Acha uongo, alikuwa na mkataba. Kaa pembeni ya huu mjadala
Ukoo wa mbumbumbu hua hamna akili kabisa Kagoma kaondoka Sindiga mapema kabla ligi haija isha alikua huru pamoja na Beno na Bruno sasa 5imba walimpa hela ya nini kama alikua na mkataba na SGF? au ndio u mbumbumbu mlio fanya kwa Awesu?
 
Ukoo wa mbumbumbu hua hamna akili kabisa Kagoma kaondoka Sindiga mapema kabla ligi haija isha alikua huru pamoja na Beno na Bruno sasa 5imba walimpa hela ya nini kama alikua na mkataba na SGF? au ndio u mbumbumbu mlio fanya kwa Awesu?
Unajulia kuwakamata mbumbumbu
Naona mtu mmoja umewajibu kila kolo amekula kona
 
Kaka umeeleze kama mtu ambae hujaenda kama umeenda bas hujaelimika kwann nakwambia hivo hiyo kesi simba hahusiki nayo direct simba ni mtu wa 4 kwenye hiyo kesi wakwanza ni yanga,wapili ni singida ,wa3 ni TFF Ambayo ilipitisha usajili wa kagoma had TMS inasoma singida yupo simba,wachezaji wote wanaocheza simba wameidhinishwa na TFF had FIFA...
Ukiangalia kwa umakini hapa ni yanga kuumia roho waonekne wababe kwa simba sabb madai yao yanakinzana sabb mara walitaka kagoma atoke front aombe msamaha afu jammaa kawapuuza anaubonda tu nisawa na mwanamke kaolew na jamaa mwingn roho inakuuma....YANGA WAJISHIKILIE licha ya ubora wa kikosi chao lkn msimu huu simba tumekuja kivingine timu inamorali na nivijana ambao wananjaa ya mafanikio middle ya KAGOMA OKAJEPHA DEBORA JEAN CHARLES NA MBELE MUKWALA ikija kutulia inaweza zua balaa
kwa mechi gn ya maana mliyocheza mpk ujsfie msimu huu una timu al hilal tu wamewatoa kamasi ngoja ligi isonge.
 
Kwa taarifa Yako viongozi wa Simba ni mabingwa wa ku kiuka taratibu kwa kutegemea wata bebwa na kundi kubwa la Viongozi wenye vinasaba vya Simba pale Tff.
bahati mbaya Kuna makosa ya kikanuni yakifanyika ata ao viongozi Wana shindwa kuwa beba.

Walimtangaza Lamek Lawi kwenye Official page kabla usajili wake hauja kamilika Tff waka potezea,
Wakamtambulisha Valentinon Mashaka wakati Bado anamkataba na Geita Tff wakalizima juukwa juu.

Waka Mtambulisha Awesu Awesu wakati Bado anamkataba na KMC Tff waka wabeba Simba.

Bahati mbaya wame mchezesha Yusufu Kagoma ambaye Alisha ingia mkataba wa awali na Yanga na Tukumbuke mikataba yote ya awali uwa inapelekwa Tff kwa kumbukumbu ili kusije kutokea utata.

Mchezaji alikua anajua kabisa kama anafanya Double signing lakini viongozi wenu wakamwambia wewe Sign tu mengine tuachie sisi na Ligi utacheza, na aya ndio madhara yake.

Uko nyuma Simba alishawahi kunyang'anywa point 3 kwa kumchezesha Musa Mgosi na kukosa Ubingwa.
Kwasasa Simba imemchezesha mchezaji ambaye ana double signing sijui Tff watafunika kanuni au watakuja na Sarakasi zipi kuibeba Simba.
Kuna Muda Mbeleko huchanika, Ingawa Tff walipambana ku adjust ratiba ya Ligi ili Simba mechi za awali ianze na timu ambazo wachezaji wageni wanao toka nje ya Nchi hawaja kamilisha vibali na washinde ki urahisi
Bahati mbaya Simba wenyewe wametoboa mtumbwi kwa kumchezesha Kagoma.
Yaani Tff Wana changanyikiwa wa wabebe vipi!!

Tusibiri tuone.
Hao makolo wanadhania Yanga sawa na kmc eti wavunje kanuni halafu tutasamehewa mbele ya safari,hapa hadi kieleweke ili uhuni kama huu upate suluhisho kwenye mpira wetu
 
kwa mechi gn ya maana mliyocheza mpk ujsfie msimu huu una timu al hilal tu wamewatoa kamasi ngoja ligi isonge.
Al hilaly kwa viwango vya CAF mpaka sasa Yuko ndani ya kumi bora wakati timu yako nyumamwiko hata kumi bora haimo . Al hilaly hii ndiyo iliyowatoa uto CAFCL mwaka juzi mkarudi cafcc . Halafu leo unaisema eti ni timu ndogo. Ila utopolo !!
 
Al hilaly kwa viwango vya CAF mpaka sasa Yuko ndani ya kumi bora wakati timu yako nyumamwiko hata kumi bora haimo . Al hilaly hii ndiyo iliyowatoa uto CAFCL mwaka juzi mkarudi cafcc . Halafu leo unaisema eti ni timu ndogo. Ila utopolo !!
acha kukata mauno hapo subiri vije viwango vipya baada ya msimu huu wa caf kupta tuone mtakuwa wp na yanga watakuwa wp usisahau hata nafas waliyopo yanga wamepanda kwa speed ya 5g kutoka mbali sn kuna vitimu vpo juu ya yanga lakn haviwez kuisogelea yanga ikiwemo mambumbu fc, mazembe nk. So ni swala la muda tu.
 
Yanga wamechungulia wameona huu msimu ni mbaya kwao hivyo wanaona njia pekee kwao kutoboa msimu huu ni kwa Simba kukatwa point, lakini wajue mwaku huu wameuanza vibaya kwa dalili hizi.
😂😂
 
Yanga wamechungulia wameona huu msimu ni mbaya kwao hivyo wanaona njia pekee kwao kutoboa msimu huu ni kwa Simba kukatwa point, lakini wajue mwaku huu wameuanza vibaya kwa dalili hizi.
😂😂
Mbumbumbu hatakiwi ashushwe daraja, inatakiwa abakie tuwe tuna shuhudia Wanavyo teseka kwa makosa Yao wenyewe.
Sisi ni kuwa tia taharuki tu ili wawe wanakosea😃😃😃
😂😂😂 ili amtanie vizuri
 
Al hilaly kwa viwango vya CAF mpaka sasa Yuko ndani ya kumi bora wakati timu yako nyumamwiko hata kumi bora haimo . Al hilaly hii ndiyo iliyowatoa uto CAFCL mwaka juzi mkarudi cafcc . Halafu leo unaisema eti ni timu ndogo. Ila utopolo !!
Al hilaly ni timu ya wapi? by the way kwanini utolee mfano wa mwaka juzi mbona kuna mwaka jana na mwaka huu
 
Haikusema kwa maneno, walifanya pre-contract na Singida walihusishwa. Kilichotokea ni unazi wa baadhi ya viongozi wakidhani pre-contract haitakuwa na madhara wakati kiuhalisia, wakati ule, pre contract ilikuwa ndiyo mahala pake kwa kuwa mkataba wake ulikuwa bado haujaisha rasmi.
Jiulize swali moja. Kwa nini Yanga hawana kesi na Singida ila wanafanya kesi na Kagoma? Kwani Kagoma alikuwa mchezaji huru au alitakiwa auzwe na Singida? Kama alitakiwa auzwe, kwa nini hawakupeleka hela kwa muuzaji? Je, muuzaji alighairi kuuza au aliamua kuuza sehemu nyingine?
 
Back
Top Bottom