binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Haaahaa nimekumbuka mangekimambi alivyosema miguu ya Zari ni ugonjwa, usiombe kuwa hater jamani!Wivu ni ugonjwa mbaya sana na bahati mbaya hamna hospitali. Zari anawakosesha usingizi watu jamani haaa haaa haaa. Mdada mrembo wa haja kila siku wanamzushia singo mpya. Sasa watasema ile sura siyo yake.
Kawaida mtu akiwa hater anaweza kusema hata sura si yako. Kama walivyokuwa wanasema zari hana mimba ameweka matambara baada ya kujifungua wakabadilisha wimbo ukawa wa DNA. Hater wana mambo sana.Haaahaa nimekumbuka mangekimambi alivyosema miguu ya Zari ni ugonjwa, usiombe kuwa hater jamani!
Si mpaka niingie?
Unanisahau shoga,ntapitwa na mengi ya mjini kama kisingeli hapo kilinipitaOh,nilitaka kusahau yale maombi maalum mliyonipa ya kuwaita
Madame B BADILI TABIA 'Valentina' The Name
Kama kuna niliyemsahau anisamehe,awasilishe maombi upya.
Photoshop sio body ya Wema hiyoMnamaanisha huyu au?
Oh,nilitaka kusahau yale maombi maalum mliyonipa ya kuwaita
Madame B BADILI TABIA 'Valentina' The Name
Kama kuna niliyemsahau anisamehe,awasilishe maombi upya.
So what?Please anybody who believes from the heart that there are profits/benefits for us THE PEOPLE in this East African Federation thing, please use this place to convince me, I badly need to take this in, as it is here, with us, I need to, I have to know it, (not the political side only).
THANK YOU FOR YOUR TUITION!!!
haya ndo yanayokuvutia wewe kuchangia..!?Ule wimbo aliimba na ney wa mitego si anajisifia anaiweza shughuli?? Sasa kuchapiwa inakuaje??
wewe jamaa ni waAJABU sana...JF bana kila mtu ni high class
haya uliyoyasema hapa yana USHAHIDI...Huyo diamond angekuwa tishio sana angevuta mtoto mwenye quality zake hapa mjini lakini kaenda kuokota jimama Uganda..
Nakumbuka mwaka flani alikuwa anatoka na Naj yule alikuwa UK akampangishia nyumba Africana karibu na Green Acres.. Yule demu alikuwa analiwa sana na washkaji wa ule mtaa.. Sijui kama God Zilla nae hakupita kipindi hicho hicho.. Kipindi hicho alikuwa na ile Prado TX nyeupe basi akiwa anakuja washkaji wa mtaa wakawa wanamcheka tu... Diamond ni mshamba sana, ila kwa ambao hamumjui mnamshtuka mkidhani ni wa maana sana
Hahahaa ni shida nifaaa huyo baba anaweza fia kifuani,ila killy ana moyo mgumu sana huyu dadaShoga leo ndio nimekiona kibabu cha Killy Janga....uwiiiii
Hizo shida acha nife nazo tu!