Sakata la Zari na makalio bandia

Sakata la Zari na makalio bandia

Status
Not open for further replies.
Wivu ni ugonjwa mbaya sana na bahati mbaya hamna hospitali. Zari anawakosesha usingizi watu jamani haaa haaa haaa. Mdada mrembo wa haja kila siku wanamzushia singo mpya. Sasa watasema ile sura siyo yake.
Haaahaa nimekumbuka mangekimambi alivyosema miguu ya Zari ni ugonjwa, usiombe kuwa hater jamani!
 
Haaahaa nimekumbuka mangekimambi alivyosema miguu ya Zari ni ugonjwa, usiombe kuwa hater jamani!
Kawaida mtu akiwa hater anaweza kusema hata sura si yako. Kama walivyokuwa wanasema zari hana mimba ameweka matambara baada ya kujifungua wakabadilisha wimbo ukawa wa DNA. Hater wana mambo sana.
 
Mnamaanisha huyu au?
wema_sepetu_jpg_320_320_0_9223372036854775000_0_1_0_400x400.jpg
Photoshop sio body ya Wema hiyo
 
Unanisahau shoga,ntapitwa na mengi ya mjini kama kisingeli hapo kilinipita
Shoga leo ndio nimekiona kibabu cha Killy Janga....uwiiiii
Hizo shida acha nife nazo tu!
 

Attachments

  • 1455275046481.jpg
    1455275046481.jpg
    61.2 KB · Views: 99
Please anybody who believes from the heart that there are profits/benefits for us THE PEOPLE in this East African Federation thing, please use this place to convince me, I badly need to take this in, as it is here, with us, I need to, I have to know it, (not the political side only).

THANK YOU FOR YOUR TUITION!!!
So what?
 
aaaaaah niambie my best nifah upo, umegonga ikulu kumbe yule ni BIBI BOMBA? swaga zoooote kumbe ni KIBIBI?
 
Huyo diamond angekuwa tishio sana angevuta mtoto mwenye quality zake hapa mjini lakini kaenda kuokota jimama Uganda..

Nakumbuka mwaka flani alikuwa anatoka na Naj yule alikuwa UK akampangishia nyumba Africana karibu na Green Acres.. Yule demu alikuwa analiwa sana na washkaji wa ule mtaa.. Sijui kama God Zilla nae hakupita kipindi hicho hicho.. Kipindi hicho alikuwa na ile Prado TX nyeupe basi akiwa anakuja washkaji wa mtaa wakawa wanamcheka tu... Diamond ni mshamba sana, ila kwa ambao hamumjui mnamshtuka mkidhani ni wa maana sana
haya uliyoyasema hapa yana USHAHIDI...
unajifanya uko SMART kumbe ni mSENGErema tu..!
 
Shoga leo ndio nimekiona kibabu cha Killy Janga....uwiiiii
Hizo shida acha nife nazo tu!
Hahahaa ni shida nifaaa huyo baba anaweza fia kifuani,ila killy ana moyo mgumu sana huyu dada
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom