Sakata la Zari na makalio bandia

Sakata la Zari na makalio bandia

Status
Not open for further replies.
Wivu ni ugonjwa mbaya sana na bahati mbaya hamna hospitali. Zari anawakosesha usingizi watu jamani haaa haaa haaa. Mdada mrembo wa haja kila siku wanamzushia singo mpya. Sasa watasema ile sura siyo yake.
 
Wivu ni ugonjwa mbaya sana na bahati mbaya hamna hospitali. Zari anawakosesha usingizi watu jamani haaa haaa haaa. Mdada mrembo wa haja kila siku wanamzushia singo mpya. Sasa watasema ile sura siyo yake.
Nasikia na mguu kajaza sponge na yule mtoto hajamzaa yeye.
Kwanza Zari sio jina Lake.
 
Wivu ni ugonjwa mbaya sana na bahati mbaya hamna hospitali. Zari anawakosesha usingizi watu jamani haaa haaa haaa. Mdada mrembo wa haja kila siku wanamzushia singo mpya. Sasa watasema ile sura siyo yake.
Hahahahahaaa eti sura sio yake!
 
Hahahahaaa na mbona baada ya yeye kujibu na mie kuhoji kulikoni atumie nguvu nyingi kutetea kuwa hatumii kigodoro kafuta post?

Halafu naona una-miss point ya msingi,mimi ni Anonymous ila Zari ni celebrity na hatakiwi kujibu kila litakalosemwa juu yake.
Kusemwa ni jambo la kawaida kwa celebrities, ningemheshimu kama angekaa kimya na kuendelea na maisha yake,amini nakuambia UKIMYA wa unayemsema vibaya unaumiza sana.

Vinginevyo hongera kwa utafiti wako wa asilimia sabini......!!!!
kuwa kwa Zari hakutoi ule moyo wake wa kibinadamu ambao ni moyo wa nyama ambao unavuja damu.. Ni Moyo wenye kupokea na Kuumia kwa kila neno baya.

Kutokuwa kuwa kwako mtu maarafu hakukupi tiketi au ruhusa ya kumzushia mtu kile ambacho hastahili ama hakimuhusu.

Daima mabinti wengi ambao nadhani bado hamjakuwa kiakili bali kimwili huwa mnapenda sana kuattack watu kwa kuwa tu ni maarufu huku mkishindwa kutambua na Kujua ni ipi thamani ya Mtu.

Wewe kutokuwa kwako maarufu hakuondoi maumivu Moyoni kwa Zari Juu ya Maneno yenu.. Ni ajabu kupayuka na Kuongea uongo kwa Mtu ambaye hajawahi kukuzungumzia kwa chochote Achilia mbali kukujua.

Ukweli utabaki kuwa ukweli tu.. Wengi mnamchukia Zari kwa kuwa mlitamani Diamond awapitie lakini kwa bahati mbaya Hamjafika Level Ya Zarina Hassan na Hata kama Mmefika nadhani mnatoa bila kuangalia huyu ni nani na yule ni Yupi..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom