Sakata la Zari na makalio bandia

Sakata la Zari na makalio bandia

Status
Not open for further replies.
kuwa kwa Zari hakutoi ule moyo wake wa kibinadamu ambao ni moyo wa nyama ambao unavuja damu.. Ni Moyo wenye kupokea na Kuumia kwa kila neno baya.

Kutokuwa kuwa kwako mtu maarafu hakukupi tiketi au ruhusa ya kumzushia mtu kile ambacho hastahili ama hakimuhusu.

Daima mabinti wengi ambao nadhani bado hamjakuwa kiakili bali kimwili huwa mnapenda sana kuattack watu kwa kuwa tu ni maarufu huku mkishindwa kutambua na Kujua ni ipi thamani ya Mtu.

Wewe kutokuwa kwako maarufu hakuondoi maumivu Moyoni kwa Zari Juu ya Maneno yenu.. Ni ajabu kupayuka na Kuongea uongo kwa Mtu ambaye hajawahi kukuzungumzia kwa chochote Achilia mbali kukujua.

Ukweli utabaki kuwa ukweli tu.. Wengi mnamchukia Zari kwa kuwa mlitamani Diamond awapitie lakini kwa bahati mbaya Hamjafika Level Ya Zarina Hassan na Hata kama Mmefika nadhani mnatoa bila kuangalia huyu ni nani na yule ni Yupi..
Umeongea meeengi lakini hakuna jipya zaidi unarudia rudia tu uliyokwisha kuyasema.

Ngoja nikujibu kuhusu Diamond...
Who is Diamond hadi nitamani kuwa naye?
Wanaume woooote hawa hadi nikamtamani Diamond?Kwanza sijawahi kuvutiwa na diamond kwa namna ya kimapenzi hata siku moja.(Nimewahi kusema kuhusu hili mara kibao sana).
 
Oh,nilitaka kusahau yale maombi maalum mliyonipa ya kuwaita
Madame B BADILI TABIA 'Valentina' The Name
Kama kuna niliyemsahau anisamehe,awasilishe maombi upya.
umenisahau mimi tu
Hayo matako labda kanenepa tu si unajua MTU hunenepa hadi tako ? Hata ukiwatifalia SHOSTI zako walioongezeka mwili utagundua hilo
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Nimekuuliza umejuaje kuwa humo kwenye makalio ya mwanamke mwenzio kuwa kuna makalio? Au weye ndiyo kigodoro chenyewe?
Hivi unauliza nini wewe?
Anyway.... Tuliza akili yako kisha usome ulichohoji,acha kupanic kama mama kigodoro.
 
umenisahau mimi tu
Hayo matako labda kanenepa tu si unajua MTU hunenepa hadi tako ? Hata ukiwatifalia SHOSTI zako walioongezeka mwili utagundua hilo
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hahhahahaaa usijali rafiki yangu kipenzi,nitakuita wakati mwingine.

Kumbe?Basi sawa.
 
Kigodoro ni uzaman jaman... May be kafanya butt lifting tuuu kijungu kimekaaa sehem yake bas imekua shidaaaahhhh

Istoshe sio kwamba zari ni flat screen tafuta pic zake za bikin utaona
fd5931b4c7482aeb4c70fc286066b62a.jpg
 
Yani mtu mzima unakaa chini unapost maisha ya watu... We have long way to go Tanzanians
 
Umeongea meeengi lakini hakuna jipya zaidi unarudia rudia tu uliyokwisha kuyasema.

Ngoja nikujibu kuhusu Diamond...
Who is Diamond hadi nitamani kuwa naye?
Wanaume woooote hawa hadi nikamtamani Diamond?Kwanza sijawahi kuvutiwa na diamond kwa namna ya kimapenzi hata siku moja.(Nimewahi kusema kuhusu hili mara kibao sana).
Hiv ww unahisi una sifa za kuwa na mond hata kama hujawai vutiwa nae hakujui na wala hana time na ww iv ukipelekwa mbele na madem aliopitia mond na ww utaonekana..... watu kwa kujipa matumaini et cjawai vutiwa yaan yeye ndo usiseme hata hajawai kosea ata kukuona tu....!!!
 
Kigodoro ni uzaman jaman... May be kafanya butt lifting tuuu kijungu kimekaaa sehem yake bas imekua shidaaaahhhh

Istoshe sio kwamba zari ni flat screen tafuta pic zake za bikin utaona
fd5931b4c7482aeb4c70fc286066b62a.jpg
Katika wachangiaji wooooote waliomwaga povu hapa wewe una akili sana,umekuja na fact na sio blah'blah
Halafu unaonekana smart na unaijua fashion, hongera.
 
Hiv ww unahisi una sifa za kuwa na mond hata kama hujawai vutiwa nae hakujui na wala hana time na ww iv ukipelekwa mbele na madem aliopitia mond na ww utaonekana..... watu kwa kujipa matumaini et cjawai vutiwa yaan yeye ndo usiseme hata hajawai kosea ata kukuona tu....!!!
Hata huyo Diamond hana sifa za kuwa na mimi,upo hapo?
Mengine blah'blah na nimezizoea tokea 2014....huna jipya.
 
Umeongea meeengi lakini hakuna jipya zaidi unarudia rudia tu uliyokwisha kuyasema.

Ngoja nikujibu kuhusu Diamond...
Who is Diamond hadi nitamani kuwa naye?
Wanaume woooote hawa hadi nikamtamani Diamond?Kwanza sijawahi kuvutiwa na diamond kwa namna ya kimapenzi hata siku moja.(Nimewahi kusema kuhusu hili mara kibao sana).
sizitaki mbichi hizi
 
Achana na habari zote zinazotikisa kwa sasa,habari ya Zari a.k.a Boss lady kuweka makalio ya bandia imeshika kasi.

Kama mtakumbuka majuzi hapo Zari alihudhuria hafla ya tangazo la Vodacom ambalo yeye na mwenzi wake Diamond wameingia mkataba wa kulitangaza bibie Zari alipigilia kigauni matata chekundu.

Hafla hiyo imezua ming'ono mingi kuhusu Zari wengi wakidai ni mzee kuliko anavyopost picha zake yeye mwenyewe (too much editing) maana wadau waliokuwa pale walimpiga picha original ambazo zimezua kizaazaa.

Achana na hilo la sura balaa kubwa lipo kwenye shape aliyoonekana nayo Zari kwenye hafla hiyo kuwa tofauti na ile tuliyoizoea hadi wadau kuhoji je bibie Zari nae ni mdau wa kigodoro? (kuvaa nguo za ndani zilizotuna kuboresha muonekano wa shape)

Maneno pembeni, hapa kuna picha za Zari kabla akiwa na shape tuliyoizoea na shape 'TATA'.

View attachment 321993

View attachment 321994
siku moja uliwahi kunikosoa juu ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili...basi nikajua mwenzangu uko vizuri!!! kumbe poyoyo la kufa mtu. Mfano neno "ming'ono " linamaana gani?

Kibaya zaidi we dada unaonekana umeathiriwa sana na vigodoro vya uswazi. Unalazimisha kiki kwa kufatilia maisha ya watu.
Badilika, acha shobo...tumia muda wako kujifunza kiswahili sahihi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom