Sakata limechukua sura mpya, Ashraf Hakim afungua kesi ya kudai alipwe nusu ya mali ya mkewe

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Baada ya Mchezaji maarufu wa PSG ya ufaransa Ashraf Hakim kushinda kesi dhidi ya madai ya mkewe kuomba mahakama agawiwe nusu ya mali za Mumewe na kushinda baada ya mahakama kuchukunguza na kukuta hamiliki mali zozote kutokana na mali zote zimewekwa kwa jina la Mama yake.Ashraf hakim amekuja kivingine ameiyomba mahakama imgaie nusu ya mali anazomiliki mkewe.
 
Jamaa amemkazia kwelikweli mkewe
 
Daaaaa huyu mwamba ni mkuranga kwelikweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…