Jamaa amemkazia kwelikweli mkeweBaada ya Mchezaji maarufu wa PSG ya ufaransa Ashraf Hakim kushinda kesi dhidi ya madai ya mkewe kuomba mahakama agawiwe nusu ya mali za Mumewe na kushinda baada ya mahakama kuchukunguza na kukuta hamiliki mali zozote kutokana na mali zote zimewekwa kwa jina la Mama yake.Ashraf hakim amekuja kivingine ameiyomba mahakama imgaie nusu ya mali anazomiliki mkewe.
Sio Ebour tu, wana wengi wamepigwa matukio sema wengine hatuwajuiEbour uko alipo atakuwa anafurahia mno maana alichofanywa na yule mzungu hawezi kusahau kwenye maisha yake yote
Daaaaa huyu mwamba ni mkuranga kwelikweliBaada ya Mchezaji maarufu wa PSG ya ufaransa Ashraf Hakim kushinda kesi dhidi ya madai ya mkewe kuomba mahakama agawiwe nusu ya mali za Mumewe na kushinda baada ya mahakama kuchukunguza na kukuta hamiliki mali zozote kutokana na mali zote zimewekwa kwa jina la Mama yake.Ashraf hakim amekuja kivingine ameiyomba mahakama imgaie nusu ya mali anazomiliki mkewe.
Afee mbwa yuleMtamuua dada wa watu aisee
Wanawake wenye roho nzuri ni 1% mkuuu hao 99 ni kukojoa na kuacha hukoAngeachana nae hawa wanawake wana roho mbaya japo sio ote