Papaa pedeshee
JF-Expert Member
- Nov 7, 2021
- 274
- 394
Ahahahahshah!Mtamuua dada wa watu aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahshah!Mtamuua dada wa watu aisee
Hebu tulia wewe...Angeachana nae hawa wanawake wana roho mbaya japo sio ote
Hela tafuta wewe mtumishi wa umma. Unayetegemea kila mwisho wa mwezi ukadake ka laki nane kako dirishani.Majority ya Vijana mliofurahishwa na huo uzwazwa, ubinafsi na Upumbavu wa yule kijana ni broke-niggas
Tafuteni hela acheni UPUMBAVU!
Hadhi alikuwa anajishushia huyo dada wa 36 kutaka kumfilisi dogo wa 24 bila hurumaAnajishushia hadhi hajui tu..utoto unamsumbuq akikua ataacha..amuangalie tajiri Bilgert
FALA WEWE! leo tumewasainia mikataba ya madini kati ya nchi yenu na makampuni tajiri toka nchini Australia... tena tulikuwa ikulu DODOMA! Na Rais wenu akiwa kama msimamizi mkuu.Hela tafuta wewe mtumishi wa umma. Unayetegemea kila mwisho wa mwezi ukadake ka laki nane kako dirishani.
Vitisho vya kishamba sn[emoji23]huyu jamaa anaona sifa sasa.. kitamkuta kitu maishani mwake bado kinda sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hofu yangu huyo mama Hakimi asije kukuta na mtu kama Anko Shamte
Hakuna mwanamme anayetaka kushindana na mwanamke.shida inaanziaga kwa wanawake wenyewe.Mkitofautiana anaanza kukuonyesha nyodo kwasababu anajua ataneemeka kupitia wewe.Sasa sidhan kama kuna mwanaume anaweza kuvumilia nyodo zilizozidi tena kutoka kwa mwanamke ambaye unajua alitaka kukuangamiza.Mwanaume kushindana na Mwanamke huo ni Ujinga,
Mwanaume kushindana na Mwanamke uliyefunga nae ndoa na kuzaa nae watoto huo ni Uboya.
Huo sio usawa ni wajibu.kibailojia kila jinsia ina wajibu wake.Kuna shughuli za wanaume na za wanawake.Lakini pia swala la usawa wa kijinsia mlilitaka nyie wanawake wenyewe na liko kisiasa zaidi na linawaumiza nyie wanawake wenyewe uku likinufaisha wanawake wachache kwenye nafasi za kisiasa uku wengi wakiteseka.Yani wanaume wa kiafrika kwenye masuala kama haya ndio wanajifanya wameukubali usawa, waambie nao wafanye kazi za ndani uone hilo timbwili, au waambie kuwa wanawake nao wanahitaji kuwa na wanaume tofauti maana hawatosheki na mwanaume mmoja usikie hayo matusi
[emoji4]au sioVitisho vya kishamba sn[emoji23]
Ila ww mwanamke una utindio wa ubongo unasema mke wa hakimu alikuwa ni haki yake kugawana mali za hakimu lakini huoni haki ya Hakimu kugawana mali za mkewe hali ya kuwa sheria inaruhusu?Hii taarifa ni ya uongo, Hakimi hajafungua hiyo kesi kwa hiyo save pumzi yako,
Pia Hiba sio Slay Queen ana kazi zake zinazomuingizia kipato, kutaka mgaw
anyo wa mali ni haki yake kama Mke aliyeishi nae miaka 5 na kuzaa nae juu sababu walichuma pamoja.
Kama ulijua ni mwanachama wa upinde hilo gazeti lote la nini kama sio ukichaa, mkikosa hela mnatafuta wa kuwaletea makasiriko yenu, kwa Hakimi jimbo lipo wazi kaolewe wewe umpikie na kumfulia bure,Ila ww mwanamke una utindio wa ubongo unasema mke wa hakimu alikuwa ni haki yake kugawana mali za hakimu lakini huoni haki ya Hakimu kugawana mali za mkewe hali ya kuwa sheria inaruhusu?
Mmeo namuonea huruma maana na ww unaonekana ni mdangaji kama huyo mke wa Hakim.
Hata hivyo nilikuwa nimesahau ww huwezi kuwa na mme kwa sababu ni mwanachama wa upinde.