Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Acha upuuzi wewe, yeye kipindi anataka kumfilisi mwenzake alikua anafikiria nn. Tulieni mpate funzo, mbingu imemechagua huyo malaya kuwapa somoAsitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto