Acha upuuzi wewe, yeye kipindi anataka kumfilisi mwenzake alikua anafikiria nn. Tulieni mpate funzo, mbingu imemechagua huyo malaya kuwapa somoAsitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto
Nimependa Sheria zao za Ndoa, maana bongo wanalizwa wanaume wengi kwa trick hio ya wanawake, Sasa Ashraf katoa funzo kua napindua sheria za kiduanzi za ki-feminist zinazokandamiza wanaume kijingajinga sasa Mali za mwanamke pia zinagawanywe kwa mwanaume sio Mali za mwanaume tu kugawanywa kwa mwanamke alafu Mali za mwanamke hazigawanywi huo ni ujinga uliowekwa kwenye sheria za Ndoa za kijinga zinazowabeba wanawake wapigaji km mke wa AshrafMwanaume kushindana na Mwanamke huo ni Ujinga,
Mwanaume kushindana na Mwanamke uliyefunga nae ndoa na kuzaa nae watoto huo ni Uboya.
Umepiga kwenye mshono ila Kuna watu Bado hawaelewi kwamba mkuki kwa nguruwe Kwa binadamu mchunguUnajua nini hiki anachofanya hakim haukutakiwa afanye kibinadamu angesamehe tu lakini kutokana ulaya kuwa na sheria zinazompa nguvu kubwa wanawake especially kwenye masuala haya ya divorce na kugawana mali kulingana na Hili imesababisha wanawake wengi wa uko ulaya watumie Huu mwanya kufanya utapeli wa ndoa ni kama kilichomtokea Mchezaji maarufu wa Zamani wa Arsenal Ebouer ambaye alifilisiwa kila kitu na mzungu mpaka nyumba walikuwa wanaishi bila hata huruma akawa masikini baada yakumkuta bahati nzuri team yake ya Zamani ikajitolea kumsaidia kiuchumi wapo Wanaume wengi wamehathirika na hizi sheria za ulaya I'm sure hiki alichofanya hakimi japo sio vizuri kurudisha ubaya kwa ubaya lakini kimetoa fundisho kubwa Sana na kinaweza kuleta mabadiliko kwa kiasi kubwa mno.
nguvu To yeye
Dr. Mariposa
Msanii
Mshana Jr
Numbisa
Mwanaume kushindana na Mwanamke huo ni Ujinga,
Mwanaume kushindana na Mwanamke uliyefunga nae ndoa na kuzaa nae watoto huo ni Uboya.
Tatizo mnafinga pmHongera mwaya, usikasirike Don the Don HIMARS
Sawasawa mkuuKwanini asipate sio wanawanawake wote ni matapeli nadhani Mwamba limemrahisishia kupata mwanamke ambaye atakupata mapenzi ya dhati ya Mwamba
Kumfilisi vipi mke kukwambia mgawane pasu pasu ni kukufilisi.Acha upuuzi wewe, yeye kipindi anataka kumfilisi mwenzake alikua anafikiria nn. Tulieni mpate funzo, mbingu imemechagua huyo malaya kuwapa somo
Unatia hasira sana basi tu. Uchizi umfanyie mwingine tuuone sio uchizi, ufanyiwe wewe ndo uwe uchizi. Nyie malaya tutaendelea kuwatomber na mali hamnusi, tushastukia michezo Kwa nini asitake mali ziwe kwa watoto azitake yeye mwenyewe?Kachizi tu hako katoto,
Ulimbukeni tu
Unafukua makaburi mkuu,Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu, Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia...www.jamiiforums.com
Kwa nini zisiende kwa watoto azitake yeye? Tulizeni vichwa vyenu aisee. Hapo anaenda kuzila na vibent ten wakati ni mali ya watoto, wanaume tushastukaKumfilisi vipi mke kukwambia mgawane pasu pasu ni kukufilisi.
Noma sana kutomber tu kwa kwenda mbele na Mali hawanusi, tunahamishia kwa bi mkubwaUnatia hasira sana basi tu. Uchizi umfanyie mwingine tuuone sio uchizi, ufanyiwe wewe ndo uwe uchizi. Nyie malaya tutaendelea kuwatomber na mali hamnusi, tushastukia michezo Kwa nini asitake mali ziwe kwa watoto azitake yeye mwenyewe?
😅 😅 😅 😅Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu, Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia...www.jamiiforums.com
Ana wazimu huyo boya,Kumfilisi vipi mke kukwambia mgawane pasu pasu ni kukufilisi.
Tupe na upande wa pili wa mwanamkeMbakaji, mzinifu wa nje ya ndoa, mbabaishaji, na bado mdhulumati..... Nchi yenyewe Ulaya yeye mwenyewe Muarabu koko wa kutoka Afrika, nipo nimekaa paleeeeeeeeee
Na yeye si anaomba wagawane pasu kwa pasu dada, au jamaa anataka zote ?Kumfilisi vipi mke kukwambia mgawane pasu pasu ni kukufilisi.