Sakata limechukua sura mpya, Ashraf Hakim afungua kesi ya kudai alipwe nusu ya mali ya mkewe

Mwanaume kushindana na Mwanamke huo ni Ujinga,
Mwanaume kushindana na Mwanamke uliyefunga nae ndoa na kuzaa nae watoto huo ni Uboya.
Nimependa Sheria zao za Ndoa, maana bongo wanalizwa wanaume wengi kwa trick hio ya wanawake, Sasa Ashraf katoa funzo kua napindua sheria za kiduanzi za ki-feminist zinazokandamiza wanaume kijingajinga sasa Mali za mwanamke pia zinagawanywe kwa mwanaume sio Mali za mwanaume tu kugawanywa kwa mwanamke alafu Mali za mwanamke hazigawanywi huo ni ujinga uliowekwa kwenye sheria za Ndoa za kijinga zinazowabeba wanawake wapigaji km mke wa Ashraf
 
Umepiga kwenye mshono ila Kuna watu Bado hawaelewi kwamba mkuki kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu
 
Mwanaume kushindana na Mwanamke huo ni Ujinga,
Mwanaume kushindana na Mwanamke uliyefunga nae ndoa na kuzaa nae watoto huo ni Uboya.
 
Unatia hasira sana basi tu. Uchizi umfanyie mwingine tuuone sio uchizi, ufanyiwe wewe ndo uwe uchizi. Nyie malaya tutaendelea kuwatomber na mali hamnusi, tushastukia michezo Kwa nini asitake mali ziwe kwa watoto azitake yeye mwenyewe?
Noma sana kutomber tu kwa kwenda mbele na Mali hawanusi, tunahamishia kwa bi mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…