NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Mfungaji bora wa confederation ni sawa na mfungaji bora wa champions league? Kama ni sawa basi ushindi wa Sakho waweza kulinganishwa na wa Mayele. Ila swali hili tulitafakari tulipe jibu. Je mfungaji bora TZ kwenye NBC Premier akiwa na goli 20 atakuwa chini ya mfungani bora wa championship mwenye goli 25? Kama sio basi Mayele apewe sehemu yake kwenye ushindi asikwezwe zaidiFiston kalala Mayele wanayanga hatuna tunachomdai.
Laiti Kama Mayele angekuwa ukoloni saivi wangemjengea sanamu pale msimbazi Kama Pape osumane sakho na kigoli chake Cha kubahatisha ulikuwa ni wimbo wa taifa mithiri ya mgumba aliyepata ujauzito mate njia njia.
Mfungaji Bora Nbcpl(mayele)
Mfungaji Bora shirikisho CAF. (Mayele)View attachment 2640722
Mi napendekeza we ndo uwe chakula, akukule mwaka mzima😎😎Mayele ni maji, lazima wayanywe, wayanawe, wayaoge, wayaogelee, wapikie.
Magoli ya Mayele 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 huyu kaka fundi bwana. Angekuwa chakula ningemla mwaka mzima.
Ni aibu sana kwa dada mzuri [emoji8] Kama wewe kushabikia ukolokoloniTusipangiane tafwaadhaliii...
[emoji16]Mkuu hiyo ni kawaida kwetu ,usihangaishwe mikolo
Kwanza sio mara ya kwanza kutoa mfungaji bora
Mrisho Ngasa alichukua golden boot caf champions league
Sasa hv ni King Mayele kwenye confederation
Wanachukua kwa uwezo sio ndondokela ya kupigiwa kura kama yule wa ukoloni
Tunamdai, alipaswa asiwe mbinafsi ili timu ishinde mengi katika fainaliFiston kalala Mayele wanayanga hatuna tunachomdai.
Huo ni Moto wa kuotea mbalimwamba ni top scorer na goli la juzi ni best goal of the year and tournament
Kwani huyo mayele amepata niniFiston kalala Mayele wanayanga hatuna tunachomdai.
Laiti Kama Mayele angekuwa ukoloni saivi wangemjengea sanamu pale Msimbazi Kama Pape Osumane Sakho na kigoli chake Cha kubahatisha ulikuwa ni wimbo wa taifa mithiri ya mgumba aliyepata ujauzito mate njia njia.
Mfungaji Bora Nbcpl(Mayele)
Mfungaji Bora shirikisho CAF. (Mayele)
View attachment 2640722
Kapata kombe la kufa kiumeKwani huyo mayele amepata nini
Ndyo alichukua na kombe la kufa kiume.Kawahi kufika robo fainal caf klabu bingwa samahani lknوينينيميطمطممييكطمطىىىييمىظ