Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
MVP NBC MayeleFiston kalala Mayele wanayanga hatuna tunachomdai.
Laiti Kama Mayele angekuwa ukoloni saivi wangemjengea sanamu pale Msimbazi Kama Pape Osumane Sakho na kigoli chake Cha kubahatisha ulikuwa ni wimbo wa taifa mithiri ya mgumba aliyepata ujauzito mate njia njia.
Mfungaji Bora Nbcpl(Mayele)
Mfungaji Bora shirikisho CAF. (Mayele)
View attachment 2640722
Sakho alifunga goli kwenye mashindano yapiMfungaji bora wa confederation ni sawa na mfungaji bora wa champions league? Kama ni sawa basi ushindi wa Sakho waweza kulinganishwa na wa Mayele. Ila swali hili tulitafakari tulipe jibu. Je mfungaji bora TZ kwenye NBC Premier akiwa na goli 20 atakuwa chini ya mfungani bora wa championship mwenye goli 25? Kama sio basi Mayele apewe sehemu yake kwenye ushindi asikwezwe zaidi
Akikujibu nitagSakho alifunga goli kwenye mashindano yapi
Wakati simba anashiriki Caf confederation cup mkasema waandishi na wachambuzi wasipige kelele ni kombe la looser wakasema sawa.Fiston kalala Mayele wanayanga hatuna tunachomdai.
Laiti Kama Mayele angekuwa ukoloni saivi wangemjengea sanamu pale Msimbazi Kama Pape Osumane Sakho na kigoli chake Cha kubahatisha ulikuwa ni wimbo wa taifa mithiri ya mgumba aliyepata ujauzito mate njia njia.
Mfungaji Bora Nbcpl(Mayele)
Mfungaji Bora shirikisho CAF. (Mayele)
View attachment 2640722
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utopoloo wamevurugwaaa mnooo, tuwasameheeeKwani Mayele anachezea Simba tumpaishe humu? Iyo si kazi yenu wanautopolo ila kama umeumia hivi kwa kijana mdogo kama sakho kuchukua kiatu kwa goli la hatua ya makundi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] CAFCL? Ngassa mwaka gani?Mkuu hiyo ni kawaida kwetu ,usihangaishwe mikolo
Kwanza sio mara ya kwanza kutoa mfungaji bora
Mrisho Ngasa alichukua golden boot caf champions league
Sasa hv ni King Mayele kwenye confederation
Wanachukua kwa uwezo sio ndondokela ya kupigiwa kura kama yule wa ukoloni
Vingine vimekupita umri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] CAFCL? Ngassa mwaka gani?
Nenda kagugo Kama unabisha .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] CAFCL? Ngassa mwaka gani?
Leta wee hiyo Record.Nenda kagugo Kama unabisha .
Nakuuliza wee.Vingine vimekupita umri
Waulize makolo wenzako wakuambie
BICHWA KUBWA AKILI HAKUNA.Fiston kalala Mayele wanayanga hatuna tunachomdai.
Laiti Kama Mayele angekuwa ukoloni saivi wangemjengea sanamu pale Msimbazi Kama Pape Osumane Sakho na kigoli chake Cha kubahatisha ulikuwa ni wimbo wa taifa mithiri ya mgumba aliyepata ujauzito mate njia njia.
Mfungaji Bora Nbcpl(Mayele)
Mfungaji Bora shirikisho CAF. (Mayele)
View attachment 2640722
pitia hapo Kwa Mangi chukua chochote nitakuja kulipa[emoji23][emoji23][emoji23]Kushabikia Yanga ni kuchagua furaha, heri mashabiki wa Yanga kwa maana wametumia vyema akili zao
TAHIRA WEW BICHWA LAKO LIMEJAA FUNZABICHWA KUBWA AKILI HAKUNA.
Nakuuliza wee.
Ooooh kumbeeee bas sawaa.
hapo ndo umeandika nini mwenyewe!Mayele anaenda kuchukua kiatu cha dhahabu kwa ufungaji bora wa aina moja ya mashindano
Sakho alichukua kiatu cha dhahabu kwa goli bora kwa mashindano yote ya Africa
Kwa hiyo hapo kuna utofauti mkubwa sana
We umesoma nini?hapo ndo umeandika nini mwenyewe!
Ebu nielekeze hii screenshot inaelezea kitu gani?