Sakho alichukua tuzo ya goli Bora, zilipigwa kelele nyingi lakini Mayele kafanya kufuru Makolo wanazipita habari zake Kama wanaaga maiti

Sakho alichukua tuzo ya goli Bora, zilipigwa kelele nyingi lakini Mayele kafanya kufuru Makolo wanazipita habari zake Kama wanaaga maiti

Fiston kalala Mayele wanayanga hatuna tunachomdai.

Laiti Kama Mayele angekuwa ukoloni saivi wangemjengea sanamu pale Msimbazi Kama Pape Osumane Sakho na kigoli chake Cha kubahatisha ulikuwa ni wimbo wa taifa mithiri ya mgumba aliyepata ujauzito mate njia njia.

Mfungaji Bora Nbcpl(Mayele)

Mfungaji Bora shirikisho CAF. (Mayele)
View attachment 2640722
MVP NBC Mayele

MVP Shirikisho Mayele

MVP Azam Confed MAYELE

BEST GOAL SHIRIKISHO Mayele
 
Mfungaji bora wa confederation ni sawa na mfungaji bora wa champions league? Kama ni sawa basi ushindi wa Sakho waweza kulinganishwa na wa Mayele. Ila swali hili tulitafakari tulipe jibu. Je mfungaji bora TZ kwenye NBC Premier akiwa na goli 20 atakuwa chini ya mfungani bora wa championship mwenye goli 25? Kama sio basi Mayele apewe sehemu yake kwenye ushindi asikwezwe zaidi
Sakho alifunga goli kwenye mashindano yapi
 
Fiston kalala Mayele wanayanga hatuna tunachomdai.

Laiti Kama Mayele angekuwa ukoloni saivi wangemjengea sanamu pale Msimbazi Kama Pape Osumane Sakho na kigoli chake Cha kubahatisha ulikuwa ni wimbo wa taifa mithiri ya mgumba aliyepata ujauzito mate njia njia.

Mfungaji Bora Nbcpl(Mayele)

Mfungaji Bora shirikisho CAF. (Mayele)
View attachment 2640722
Wakati simba anashiriki Caf confederation cup mkasema waandishi na wachambuzi wasipige kelele ni kombe la looser wakasema sawa.

Wakati sakho anachukua kiatu mkasema kiatu sio kombe la caf confederation cup ni kiatu cha mchongo sasa mnataka nini wanachi mbona mnasumbua watu tulishakubaliana kwamba Caf confederation cup ni kombe la looser.
 
Kwani Mayele anachezea Simba tumpaishe humu? Iyo si kazi yenu wanautopolo ila kama umeumia hivi kwa kijana mdogo kama sakho kuchukua kiatu kwa goli la hatua ya makundi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utopoloo wamevurugwaaa mnooo, tuwasameheee
 
Mkuu hiyo ni kawaida kwetu ,usihangaishwe mikolo
Kwanza sio mara ya kwanza kutoa mfungaji bora
Mrisho Ngasa alichukua golden boot caf champions league
Sasa hv ni King Mayele kwenye confederation
Wanachukua kwa uwezo sio ndondokela ya kupigiwa kura kama yule wa ukoloni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] CAFCL? Ngassa mwaka gani?
 
Fiston kalala Mayele wanayanga hatuna tunachomdai.

Laiti Kama Mayele angekuwa ukoloni saivi wangemjengea sanamu pale Msimbazi Kama Pape Osumane Sakho na kigoli chake Cha kubahatisha ulikuwa ni wimbo wa taifa mithiri ya mgumba aliyepata ujauzito mate njia njia.

Mfungaji Bora Nbcpl(Mayele)

Mfungaji Bora shirikisho CAF. (Mayele)
View attachment 2640722
BICHWA KUBWA AKILI HAKUNA.
 
Mayele anaenda kuchukua kiatu cha dhahabu kwa ufungaji bora wa aina moja ya mashindano

Sakho alichukua kiatu cha dhahabu kwa goli bora kwa mashindano yote ya Africa

Kwa hiyo hapo kuna utofauti mkubwa sana
 
Nakuuliza wee.
Screenshot_20230602-165456.png
 
Kama hamjui kuwa brand players wenu sisi tuwasaidiaje???ulitaka tumzungumzie mayele kwan hatuna kazi za kufanya..sijui unaandika huku unakunya boya wewe thread zisizo na maarifa ya uandishi jinga kabisa wewe shenz type
 
Mayele anaenda kuchukua kiatu cha dhahabu kwa ufungaji bora wa aina moja ya mashindano

Sakho alichukua kiatu cha dhahabu kwa goli bora kwa mashindano yote ya Africa

Kwa hiyo hapo kuna utofauti mkubwa sana
hapo ndo umeandika nini mwenyewe!
 
Back
Top Bottom