Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Na ww njaakalihatari unazingua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule utopoloni mambo ni mengi zaidi ya hayo unayoyasikia kwinginekouko sahihi sijawahi kusikia haya mambo yakitokea yanga, yanga huwa ni sala na kumtukuza mungu
Swali nimekuuliza simba kudaiwa bill ya maji au wewe ni taahira?Acha kupotosha. Kushuka kiwango kwa mchezaji ni suala la kawaida sana Wala halihusiani na ulozi hata kidogo. Hebu tumia kichwa chako vizuri sio kukitumia kama mfuniko wa mwili
MKUU LEO HAUNA ZA NDANINDANI ZA MAKOLO?naiskia inonga mshahara na pesa za usajili?kagomaaaa...uongozi wa makolo mbovu kinoomanooma yaaniWatu wenye mtindio wa ubongo ndio huwaza kama wewe, mpira ni sayansi we kichwa maji. Mambo ya bill ya maji yanahusiana vipi na mada yako?
ya kawaida hayo dada yangu yashamkuta chama, wakasingizia mkude kamuunganishia wema sepetu penzi linamuharibu, kiwango chake kiliporomoka mno akaenda kwao zambia kujiweka sawaNa ww njaakalihatari unazingua
Sawa kaka yangu haya mambo yapo hatupingiya kawaida hayo dada yangu yashamkuta chama, wakasingizia mkude kamuunganishia wema sepetu penzi linamuharibu, kiwango chake kiliporomoka mno akaenda kwao zambia kujiweka sawa
yalimkuta bwalya kipindi watu wanalalamika hawamuelewi akaenda kwao zambia week 2, ya kawaida sana cha muhimu tuombee kwamba wazee wa kisenegali wametoa hayo mauchafu mwilini mwake na kwenye macho yake maana kwenye mechi mpira anauona kama kitenesi si uliona mechi ya nyasa bullets alivyopaisha pasi ya mzungu eneola wazi kabisa