Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata sadio mane,nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane...
Ukweri mtupu acheze mpiraUshauri ni Sakho tu kwa sasa kila mechi akipangwa akiwashe kisawasawa. Kupostiwa na Mane ni bonge la spotlight kwake, na bila shaka ataanza kufatiliwa na baadhi ya mascout na vilabu.
Hv humu jukwaani Bado Kuna watu wa design hii ya watu tena Kwa Karne hii Sasa boss Kwa nn muda huo unaotumia kufuatilia mambo ya kina sakho usizingatie mambo yako.Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane...
Hawezi kukaa hata bench, ameitwa kukamilisha idadi tuUshauri ni Sakho tu kwa sasa kila mechi akipangwa akiwashe kisawasawa. Kupostiwa na Mane ni bonge la spotlight kwake, na bila shaka ataanza kufatiliwa na baadhi ya mascout na vilabu.
Nasisi ndugu zake wa JF tuwe makini asije kuanza na sisi huyu ndugu 😅Mkuu level ya uchawi uliofikia ni ya juu sana...unaweza anza kuua.
Aisee kweli Ndugu zetu wa Upande wa pili wameumia.Hawezi kukaa hata bench, ameitwa kukamilisha idadi tu
Duh yaani mtu mambo ya kawaida ya kambini anaanza kuona wivu wa kichawi...Nasisi ndugu zake wa JF tuwe makini asije kuanza na sisi huyu ndugu 😅
Braza kama hujui lolote kuhusu mpira au chochote funga domo lako na litunze sana bichwa lako vzr japo halina kitu hutaonekana mjinga.Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.
Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.
Sakho ni chawa wa Sadio Mane
Walitamani hiyo Mileage angepata mchezaji wao lakini ndiyo hawana huo uwezoDuh yaani mtu mambo ya kawaida ya kambini anaanza kuona wivu wa kichawi...
Ni roho za ajabu wamejaaliwa tu baadh yetu looohBraza kama hujui lolote kuhusu mpira au chochote funga domo lako na litunze sana bichwa lako vzr japo halina kitu hutaonekana mjinga.
Nakupa elimu ukiitwa kwa mara ya kwanza team ya senegal kuna kautamaduni ka kujuana na wenzako nakuwaonesha talent yako yyte nje ya ya mpira. Nawasilisha kwako
Acha uchokoHawezi kukaa hata bench, ameitwa kukamilisha idadi tu
Hana ya kufuatilia ndo maana anaripoti toka kambi ya SenegalHv humu jukwaani Bado Kuna watu wa design hii ya watu tena Kwa Karne hii Sasa boss Kwa nn muda huo unaotumia kufuatilia mambo ya kina sakho usizingatie mambo yako
N.B samahan kama nimekuudhi