Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu mtoto wa kiume utapakatwa 😡😡😡 kacheze wewe na kabiliSakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.
Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.
Sakho ni chawa wa Sadio Mane
Kelubi?Ifike mahali zumaridi achukue watu wake
Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.
Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.
Sakho ni chawa wa Sadio Mane
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ifike mahali zumaridi achukue watu wake
Una mtazamo wa kikahaba wewe.Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.
Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.
Sakho ni chawa wa Sadio Mane
Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.
Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.
Sakho ni chawa wa Sadio Mane
Oooh kumbee.. We ni mke wa kocha wa Senegal au mchepuko wake??Hawezi kukaa hata bench, ameitwa kukamilisha idadi tu
Umekula?Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.
Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.
Sakho ni chawa wa Sadio Mane
Bdo mkuu futari ijabaki ata kidogUmekula?
Kama cha mtu kinaliwa….Bdo mkuu futari ijabaki ata kidog
Hater & Sadist....Hawezi kukaa hata bench, ameitwa kukamilisha idadi tu
Kama Musonda wa Young hata benchi la Zambia haonekani na hiyo ni Zambia sio Senegal 😁😁😁😁😁😁Hawezi kukaa hata bench, ameitwa kukamilisha idadi tu
hata weee baba ako alikuwa anakamilisha idadi tu ya watoto wa kuwaleaHawezi kukaa hata bench, ameitwa kukamilisha idadi tu
Chama wenu mnayemuona ni mungu wa Simba timu ya taifa ana nambaKama Musonda wa Young hata benchi la Zambia haonekani na hiyo ni Zambia sio Senegal 😁😁😁😁😁😁