Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
- Thread starter
- #61
Tulia wew shoga kidawaTuwekeeni hiyo clip inayo inayowatoa roho wafuasi wa Zumaridi tuione!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia wew shoga kidawaTuwekeeni hiyo clip inayo inayowatoa roho wafuasi wa Zumaridi tuione!!
Heshimu basi ile tu Mungu kukuumba binadamu badala ya Mbuzi. Kutukana kunakusadia nini??Tulia wew shoga kidawa
Mkuu utani wa jadi 😁 usipanikiHeshimu basi ile tu Mungu kukuumba binadamu badala ya Mbuzi. Kutukana kunakusadia nini??
Punguza makasirikoSakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.
Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.
Sakho ni chawa wa Sadio Mane
Shoga kidawa tena... 😎Mkuu utani wa jadi 😁 usipaniki
Nipunguze na Nini tena Mr punguzaPunguza makasiriko
🙏🙏🙏Shoga kidawa tena... 😎
Kabisa tunachoshukuru ata benchi anakaa kuliko unaitwa na benchi hatukuoni team ni Zambia sio Senegal ,Nigeria au ivory coast 😄😄😄😄Chama wenu mnayemuona ni mungu wa Simba timu ya taifa ana namba
Karibia atatembea uchiMkuu level ya uchawi uliofikia ni ya juu sana...unaweza anza kuua.
Kuna watu, huwa wanawaonea wivu wenzao, hata wanapo kata kucha!Mkuu level ya uchawi uliofikia ni ya juu sana...unaweza anza kuua.
SakhoKijana nasikia ana uwasha ipasavyo mazoezini,, anagusa na kuachia..View attachment 2563822View attachment 2563821
🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu level ya uchawi uliofikia ni ya juu sana...unaweza anza kuua.
Nafikiri ungemshauri aanze kwanza kuruka na ungo sio kuua!Mkuu level ya uchawi uliofikia ni ya juu sana...unaweza anza kuua.
Ameitwa kugawia watu majiChama wenu mnayemuona ni mungu wa Simba timu ya taifa ana namba
Anachofanya ni muhimu sana,anatazamia kusonga mbele,ulitaka amgande mayele?Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.
Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.
Sakho ni chawa wa Sadio Mane
Uchawa unalipa jamani,maisha haya ili utoboe unahitaji watuKama watu wanajipendekeza kwa Diamond seuze kwa boss mkubwa km Mane? Hebu anza kuwakanya Watz wenzio machawa kwanza