Uoga muhimu, usijitie makame nguvu kwa vya watu.Acha uoga we koloπππ
Imeisha hiyo bwana mshenga. πAsipokuelewa na hapa kesho mshikie bango juu juu kisha umtangaze Dar yooote asubuhi hadi jioni kuwa umemzimia yeye pekee Atoto Malkia wa nguvu ...[emoji142]
Acha kudanganywa mzee mwenzangu.Nimekufanyaje, we si ndio kila siku unasema unataka tuwe pamoja, tuwe tunasonga nguna we ukiwa umevaa jezi ya utopolo na kichupi, mie nikiwa nimevaa jezi ya FISTON mayele, kumbe mzee mwenzangu ni Mali ya mtu,
Hunitakii mema unataka watu wanikate hiki kikojolea changu, hata kale kaburudani ka kupiga kimoja cha jogoo nikose, kweli mzee mwenzangu, nimekukosea nini mimi π
Ni kweli au si kweli, mbona unanivurugaπ³π³π³π³
Umeanza kuzingua sasa!
Thibitisha.. πAcha kudanganywa mzee mwenzangu.
Ogopa wahuni, wahuni sio watu wema!! Kwanini ukubali kutishiwa nyau!!Uoga muhimu, usijitie makame nguvu kwa vya watu.
Maisha ndio haya haya mzee mwenzangu.Usinifanye ndemwa, umuite Eroni hapa Kisha uchague moja nijue Zipi chuya upi mchele.
Am hoves π€£Ogopa wahuni, wahuni sio watu wema!! Kwanini ukubali kutishiwa nyau!!
Tulia nikutulize mzee mwenzangu. Tuzeeke pamoja.
We unataka utuchanganye, mie siko radhi, ujue umekuta a watoto wa mjini..Maisha ndio haya haya mzee mwenzangu.
Tulia mzee mwenzangu, tuzeeke pamoja.Ni kweli au si kweli, mbona unanivuruga
Usiache bhn,atleast wewe na jamaa yangu Scars ndio mashabiki wa makolo ambao ni reasonable na wastaarabu, na mna sense ile ya utani wa jadi na sio upumbavu kama wale jamaa tunaotukanana nao daily mpk aibu tunaona sisiShida kuacha nako ngumu maaana ushabiki upo damuni.. π π π
Ukipendwa pendeka bwanaπππWe unataka utuchanganye, mie siko radhi, ujue umekuta a watoto wa mjini..
Muite Eroni tujue mbivu na mbichi hapa hapa.
We usinichote akili, kuanzia leo mimi nawe tofauti, kaa mbali mita 1786.Ukipendwa pendeka bwanaπππ
Acha iwe hivyo tu, unipendi, huna mapenzi nami na huna Lengo zuri nami.Weeeeh!! We wa kunifanyia hivi kweliππππ
Phiri kwa kweli hapana kocha sijui ana shida nae gani.
Wanatuzingua tu kenge wale, mpira si michezo wa chumbani, wote umeona uwezo wa phiri, Kisha leo phiri a kakae bench kindezi tu, mpaka John boko anacheza phiri kasahaulika si mambo ya kisenge haya ππ€£Phiri kwa kweli hapana kocha sijui ana shida nae gani.
Kocha alisema anafurahishwa na kibu na boko hapo ndipo nilichoka.Wanatuzingua tu kenge wale, mpira si michezo wa chumbani, wote umeona uwezo wa phiri, Kisha leo phiri a kakae bench kindezi tu, mpaka John boko anacheza phiri kasahaulika si mambo ya kisenge haya ππ€£
Kwanini mtaniDuuuh [emoji15], mbona naanza kuwa na wasiwasi nawe Mtani [emoji848]