Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Sasa ww usipojua huoni kama huenjoyIla unateseka🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ww usipojua huoni kama huenjoyIla unateseka🤣🤣🤣
Watu kama ninyi mkiwa wake zetu mwaweza kutuuua huku mnatufariji kwa maneno mazuri na tabasamu feki kumbe siku nyingi sana mnakuwa mlishatuwekea sumu kwenye vyakula zinazotuua kimya kimya hadi kutoweka mazima...[emoji26]Kwanini mtani
Wasiwasi gani mpendwa..hutaki ninenepe ning'ae? Unataka nipauke kisa Simba sio Bingwa?Duuuh [emoji15], mbona naanza kuwa na wasiwasi nawe Mtani [emoji848]
😀 😀 😀 😀 ila mi nae hujanifuma tuu kuna siku navurugwa...Usiache bhn,atleast wewe na jamaa yangu Scars ndio mashabiki wa makolo ambao ni reasonable na wastaarabu, na mna sense ile ya utani wa jadi na sio upumbavu kama wale jamaa tunaotukanana nao daily mpk aibu tunaona sisi
No 162 kuna jibu lako Ndugu Kipenzi cha.......Wasiwasi gani mpendwa..hutaki ninenepe ning'ae? Unataka nipauke kisa Simba sio Bingwa?
Kuna ka ukweli hapo ila mimi siwezi muua mtu ninae exchange nae hewqWatu kama ninyi mkiwa wake zetu mwaweza kutuuua huku mnatufariji kwa maneno mazuri na tabasamu feki kumbe siku nyingi sana mnakuwa mlishatuwekea sumu kwenye vyakula zinazotuua kimya kimya hadi kutoweka mazima...[emoji26]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ndo nimeona mtani
Bila ya kujua kabila lako nitajuaje kuwa ni kweli au si kweli jinsi tabia yako ilivyo Mtani?Ndo nimeona mtani
Acha ukabila...Bila ya kujua kabila lako nitajuaje kuwa ni kweli au si kweli jinsi tabia yako ilivyo Mtani?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Huyu aende tu, ana makosa mengi kuliko faidaMwanzoni mwa msimu aliomba kuondoka pia ila zikatumika busara tu akabaki
Kuna makabila kuacha mila na desturi kama kuabudu matambiko ni mwiko kwao kuacha, kama una huo ushetani ni heri nikuache njiani nibaki pekeyangu MtaniAcha ukabila...
🤓 🤓 🤓 🤓 kumbe tuko woteKuna makabila kuacha mila na desturi kama kuabudu matambiko ni mwiko kwao kuacha, kama una huo ushetani ni heri nikuache njiani nibaki pekeyangu Mtani
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app