SALA HII INAFAA SANA LEO, Dominika ya kwanza ya majilio.....

Duh! Kumbe washenzi wako tangu enzi hizo maana huu mwandiko ni wa typewriter na sio wa computer. Yawezekana alikasirishwa na viongozi waliolaghaiwa na wakoloni mamboleo na wakasaini mikataba mibovu kwa siri.
 
SALA HII INAFAA SANA LEO, Dominika ya kwanza ya majilio.....
Hii Sala ukute kuna mhuni mmoja ameiandika, maana haijazingatia maadili; Huwezi kumuita binadamu mwenzako aliyeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu "Mshenzi", Kanisa Katoliki huwa halitumii maneno ya kihuni hivyo kusali.
 
Hii Sala ukute kuna mhuni mmoja ameiandika, maana haijazingatia maadili; Huwezi kumuita binadamu mwenzako aliyeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu "Mshenzi", Kanisa Katoliki huwa halitumii maneno ya kihuni hivyo kusali.
Neno ushenzi mbona lilitoka kwao wakoloni, waliita mila zetu ni za kishenzi....yawezekana hata hiyo sala ilikuwepo enzi zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…