Ni sahihi unavyosema lakini mambo haya ndio huwafanya watu wanao taka kuanza kusali kuacha kusali kwasababu wanakatishwa tamaa
Mtume aliwahi kuambiwa Fulani anaiba lakini anakuja kuswali msikitini, Mtume akajibu hivi karibuni ataacha hiyo Tabia.
Kwahiyo tukisali kama inavyotakiwa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu sala zetu zitatubadilisha na kuwa watu wema