Katika Ulimwengu wa Roho (Spiritual Realm)
Maombi yanayosikiwa na kujibiwa ni yale yanayo pitia Jina la Yesu tu maana yeye ndie mwenye Mamlaka makuu ya kiungu yaani ndie aliyekirimiwa Uungu yaani ndie JEHOVA!
Nje ya Jina la Bwana Yesu Kristo maombi yote ni batili
Hilo halina ubishi wala mjadala maana watu wote Spiritual iwe upande wa Nuru au Giza wanaelewa hii siri ya Kiungu!
This is takataka,,, hivi inaingia akilini Mungu ampe uungu kiumbe chake, then kiumbe hiko kiuwawe au kusulubiwa wakati huo huo ana nguvu za kiungu, huoni ni kama kuonyesha kuwa Mungu hana nguvu hata za kujilinda mwenyewe????
Haya mwenye mamlaka kafa, nani atakuwa na mandate ya kidunia????
Kwenye uislamu tunaamini Mungu ni mmoja hapo hapo tunaamini kuhusu mitume yesu akiwamo, lakini hatuamini kama amekufa au amesulubiwa, na hana mamlaka ya kiungu aliyopewa,,,!!!
vitu vingine ni kutumia akili, yaani mashetani wazungu wamekuwezeni kweli kweli, na bahati mbaya mliyonayo hamna hata huo muda wa kujifunza dini yenu, mpo mpo tu duniani,.
Hivi hamfikirii kwa nini sehemu nyingi zilizotajwa kwenye biblia ni makazi ya waislamu kwa sasa, na kwa nini sehemu hizo hizo hakuna hata dhehebu la kikristo lililoanzishwa huko,,,!!!!
Jiulize ukristo ulifikaje ulaya ya magharibi na kwa nini walianzisha madhehebu wakati wenyewe ni wapokeaji tu wa dini kama ilivyo kwa waafrika???
achana na hilo, hivi hujiulizi kwa nini wazungu ambao si wakristo wa asili wana mamlaka kiasi cha kutaka mabadiliko kwenye dini na biblia pia???
yaani kwa ufupi ukristo sio dini ya maana.
Na kama kuna mtu anaamini yeye ni mkristo mwenye imani thabiti na dini yake ipo sahihi ruhusa kuni pm, akiwa na hoja za msingi, sio porojo na makasiriko.