Sala ili ipokelewe na Mwenyezi Mungu inapaswa iwaje?

Sala ili ipokelewe na Mwenyezi Mungu inapaswa iwaje?

This is takataka,,, hivi inaingia akilini Mungu ampe uungu kiumbe chake, then kiumbe hiko kiuwawe au kusulubiwa wakati huo huo ana nguvu za kiungu, huoni ni kama kuonyesha kuwa Mungu hana nguvu hata za kujilinda mwenyewe????

Haya mwenye mamlaka kafa, nani atakuwa na mandate ya kidunia????

Kwenye uislamu tunaamini Mungu ni mmoja hapo hapo tunaamini kuhusu mitume yesu akiwamo, lakini hatuamini kama amekufa au amesulubiwa, na hana mamlaka ya kiungu aliyopewa,,,!!!

vitu vingine ni kutumia akili, yaani mashetani wazungu wamekuwezeni kweli kweli, na bahati mbaya mliyonayo hamna hata huo muda wa kujifunza dini yenu, mpo mpo tu duniani,.

Hivi hamfikirii kwa nini sehemu nyingi zilizotajwa kwenye biblia ni makazi ya waislamu kwa sasa, na kwa nini sehemu hizo hizo hakuna hata dhehebu la kikristo lililoanzishwa huko,,,!!!!

Jiulize ukristo ulifikaje ulaya ya magharibi na kwa nini walianzisha madhehebu wakati wenyewe ni wapokeaji tu wa dini kama ilivyo kwa waafrika???

achana na hilo, hivi hujiulizi kwa nini wazungu ambao si wakristo wa asili wana mamlaka kiasi cha kutaka mabadiliko kwenye dini na biblia pia???

yaani kwa ufupi ukristo sio dini ya maana.

Na kama kuna mtu anaamini yeye ni mkristo mwenye imani thabiti na dini yake ipo sahihi ruhusa kuni pm, akiwa na hoja za msingi, sio porojo na makasiriko.
Mashia wanataka marekebisho kwenye Quran, halafu wake za mtume wanawachukulia ni makahaba tu.
 
Manabii na mitume wetu wanasema iambatane na fungu la kumi, vinginevyo hautasikilizwa.
Kwenye hiyo video wenzenu kumbe wanaposali huwa wana direct hizo sala kwa mtume, ambaye aliisha jifia
 
Eti nipo serious na maisha mkuu kausha 😁😁
Yap be serious meeeen yaani ukipuuzia Haya nambo spiritual kujifunza utachezewa sana na wahuni siku Moja katika maisha yako utaanza tafuta kina shekhe Sule na kina Mwamposa wakuague kumbe ni swala ambalo unaliweza tatua within a second wewe mwenyewe mkuu!
 
Yap be serious meeeen yaani ukipuuzia Haya nambo spiritual kujifunza utachezewa sana na wahuni siku Moja katika maisha yako utaanza tafuta kina shekhe Sule na kina Mwamposa wakuague kumbe ni swala ambalo unaliweza tatua within a second wewe mwenyewe mkuu!
Hahahaha mna vijimambo kweli ,kausha master.
 
Back
Top Bottom