Sala ya Uchaguzi

Sala ya Uchaguzi

Chapakazi

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2009
Posts
2,874
Reaction score
316
We KIKWETE uliye 2filis, jina lako lisahaulike ,utakalo lifanyike BAGAMOYO tu! Utupe leo mabilion ye2 ya EPA, uwapeleke MAFISADI wote mahakaman, uwalipe wastaafu, walimu na wafanyakazi wa serikali pesa zao, uwasamehe wafungwa kama ulivyowasamehe LOWASA, MRAMBA, KARAMAGI na mafisadi wengine , usi2tie katika mikataba feki, kwa kuwa ufisadi ...ni FANI YAKO NA WIZI NA UWONGO HATA MILELE


Amina
 
Back
Top Bottom