Sala zenu zinahitajika...

Sala zenu zinahitajika...

Pole mwaya,fanya na jogging mkuu yaweza kukusaidia, pia kunywa maji mengi ni tiba🙏🙏
 
Ndugu zangu wana Jf.

Nyie ni familia yangu upande wa pili, leo ghafla baada ya kutoka church, hali yangu imebadilika sana....Baridi kali, [emoji1784] viungo vinauma kichwa kinauma sana na kutulia ukinigusa nina moto kama basi.

Mdogo wangu amenipeleka hospital, wakanicheck hawakuona tatizo even Covid19, wamesema nipo good. Ni homa ya kawaida hivyo, nikapewa bedrest na k unitundika chuma za maji mbili.

Hali kidogo ikatulia wameniruhusu nikapewa na Diclopa, nimefika nyumbani hali imebadirika tena now maumivu ya uti wa mgongo yanaongezeka.

Namuamini sana Mungu ila kutokana na maisha niliyopitia, nina mashaka kidogo.

Please ndugu zangu, kwa kila imani nahitaji maombi yenu ya dhati

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
maisha gani uliyopitia ndg yanayokupa mashaka!!? pole kwa kuugua,ila Rudi Tena hospl kachukue vpmo zaidi.
 
Ndugu zangu wana Jf.

Nyie ni familia yangu upande wa pili, leo ghafla baada ya kutoka church, hali yangu imebadilika sana....Baridi kali, [emoji1784] viungo vinauma kichwa kinauma sana na kutulia ukinigusa nina moto kama basi.

Mdogo wangu amenipeleka hospital, wakanicheck hawakuona tatizo even Covid19, wamesema nipo good. Ni homa ya kawaida hivyo, nikapewa bedrest na k unitundika chuma za maji mbili.

Hali kidogo ikatulia wameniruhusu nikapewa na Diclopa, nimefika nyumbani hali imebadirika tena now maumivu ya uti wa mgongo yanaongezeka.

Namuamini sana Mungu ila kutokana na maisha niliyopitia, nina mashaka kidogo.

Please ndugu zangu, kwa kila imani nahitaji maombi yenu ya dhati

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Dalili za covid ya sasa ni tofauti,kunywa dawa za mgonjwa wa covid yani doz yote nunua anza kutumia itakusaidia sana
 
Pole sana kunywa vinywaji vya uvugu vugu kunywa Apsrin badala ya panadol
 
Ahsanteni sana wote mlioniombea, na kunitakia Afya njema...kiukweli naendelea vizuri, Mungu ni mwema, mbarikiwe sana
 
Ndugu zangu wana Jf.

Nyie ni familia yangu upande wa pili, leo ghafla baada ya kutoka church, hali yangu imebadilika sana....Baridi kali, [emoji1784] viungo vinauma kichwa kinauma sana na kutulia ukinigusa nina moto kama basi.

Mdogo wangu amenipeleka hospital, wakanicheck hawakuona tatizo even Covid19, wamesema nipo good. Ni homa ya kawaida hivyo, nikapewa bedrest na k unitundika chuma za maji mbili.

Hali kidogo ikatulia wameniruhusu nikapewa na Diclopa, nimefika nyumbani hali imebadirika tena now maumivu ya uti wa mgongo yanaongezeka.

Namuamini sana Mungu ila kutokana na maisha niliyopitia, nina mashaka kidogo.

Please ndugu zangu, kwa kila imani nahitaji maombi yenu ya dhati

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Kwa uandishi huu Inaonyesha kuwa umeshapona.
 
Back
Top Bottom