puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 1,001
- 2,010
Ndugu zangu wana Jf.
Nyie ni familia yangu upande wa pili, leo ghafla baada ya kutoka church, hali yangu imebadilika sana....Baridi kali, [emoji1784] viungo vinauma kichwa kinauma sana na kutulia ukinigusa nina moto kama basi.
Mdogo wangu amenipeleka hospital, wakanicheck hawakuona tatizo even Covid19, wamesema nipo good. Ni homa ya kawaida hivyo, nikapewa bedrest na k unitundika chuma za maji mbili.
Hali kidogo ikatulia wameniruhusu nikapewa na Diclopa, nimefika nyumbani hali imebadirika tena now maumivu ya uti wa mgongo yanaongezeka.
Namuamini sana Mungu ila kutokana na maisha niliyopitia, nina mashaka kidogo.
Please ndugu zangu, kwa kila imani nahitaji maombi yenu ya dhati
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Nyie ni familia yangu upande wa pili, leo ghafla baada ya kutoka church, hali yangu imebadilika sana....Baridi kali, [emoji1784] viungo vinauma kichwa kinauma sana na kutulia ukinigusa nina moto kama basi.
Mdogo wangu amenipeleka hospital, wakanicheck hawakuona tatizo even Covid19, wamesema nipo good. Ni homa ya kawaida hivyo, nikapewa bedrest na k unitundika chuma za maji mbili.
Hali kidogo ikatulia wameniruhusu nikapewa na Diclopa, nimefika nyumbani hali imebadirika tena now maumivu ya uti wa mgongo yanaongezeka.
Namuamini sana Mungu ila kutokana na maisha niliyopitia, nina mashaka kidogo.
Please ndugu zangu, kwa kila imani nahitaji maombi yenu ya dhati
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]