Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Haya ya mwisho ndio yenyewe.
 
Acha chuki na MO wewe, jaribu kupitia kwenye Website zao ndio utajua nani ni tajiri

Hizo website za mo wanaandika Forbes au yeye mwenyewe? Kwani wewe unashindwa kuhost website yako manyaza.com kisha ukaweka makampuni uliyonayo na bla bla bla kibao? Mimi naangalia mipango ya namba sihitaji chuki na wana.
 
Mzee mo ana mashamba ga mkonge Tanga na morogoro. Hekta za kutosha.

Mkonge ndio unachapisha Hela zake.

Na sio hizo biashara za uchuuzi
 
Mzee mo ana mashamba ga mkonge Tanga na morogoro. Hekta za kutosha.

Mkonge ndio unachapisha Hela zake.

Na sio hizo biashara za uchuuzi

Mashamba ya mkonge amepora serikalini ,hauwezi kusema ni investiment yake ile....Yaani kwa mfano mimi niende kupora MM Steel kiujanja ujanja halafu usema nime invest $ kwenye hicho kiwanda cha nondo?
 
Wewe huna ulijualo hebu angalia kwenye website ya metl.net na bakheresagroup.co.tz, pale utaona kwenye Makampuni ya MO kuna Firm ngapi ? na Makampuni yake yapo nchi ngapi? na Kwa Bakheresa fanya hivyo hivyo ndio utajua. Bakheresa kaajiri wafanyakazi 8,000 na MO kaajiri Wafanyakazi 27,000. Halafu Biashara ya MO ya hizo Sabuni inaingiza Pesa nyingi Kuliko Azam TV.
 
Naona. Mshabadilisha upepo wa mada.

Content wa mada saivi anachekelea watz ni wapumbavu tu na wasahaulifu.

Ni upepo utapita.

Saivi mkamdiksasi mo dewji na shoga Gani sijui kaliwa masega huko[emoji1787][emoji1787]

Watanzania ni rahisi sana kuwatawala akili[emoji1787][emoji1787]

Kubwa la maadui anakunywa kahawa ofisini kwake huku akicheka [emoji1787]
 

Kumbe Yule Mtoto ni punga zeze!?

Mbona ana demu sasa?!
 
Wewe ni hater
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…