DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Acha chuki na MO wewe, jaribu kupitia kwenye Website zao ndio utajua nani ni tajiri
Haya ya mwisho ndio yenyewe.Sijakataa, nimesema hauna nguvu.
Kama ungekuwa na nguvu ninakuhakikishia pasingekuwa na dhulma au uonevu,
Ninawajua na wewe unawajua Watu wangapi wanadhulumiwa na kuonewa, wengine wanatoka koo zenye Uchawi lakini hakuna wanafanya Mbele ya Watawala au hao matajiri.
Nguvu ya Mwanadamu ni zaidi ya Uchawi.
Ndio maana Watu wametengeneza silaha kama bastola.
Kwenda kwa Sangoma utapoteza muda tuu.
Nguvu isiyoongopa ni kufanya mambo Physically, mwagia tindikali, piga RISASI, wekea sumu, hivyo yaani
Utakuwa mchawi tu.
Hai kina Salah wapo toka enzi ya Mkapa na ndipo utajiri wao ulipoanza kupaa.
Ndiyo hivyo tena,ukitaka kuwa tajiriTajiri Mo na Bakhressa wote wana utajiri uchwara wa kukuzwa na serikali , eti Mtu anafanya Kazi kwao analipwa elfu 4
HATARI SANA !!!!Duuh, hii nchi ndio tumefika huku?!
Yaani Kikwete anashikana mikono na mbwa kama huyu? Huyu mzee vipi huyu, hana hata aibu?!
Ndiyo hivyo tena,ukitaka kuwa tajiri
Wakandamize wa chini mwako
Hiyo ndiyo formula
Ova
Acha chuki na MO wewe, jaribu kupitia kwenye Website zao ndio utajua nani ni tajiri
Mzee mo ana mashamba ga mkonge Tanga na morogoro. Hekta za kutosha.Numbers don't lie mkuu! No need ya kwend TRA ,Wali wa kushiba unaonekana kwenye sahani.
Mo biashara gani yake kubwa yenye investment ya kutosha? Maana nikiangalia investiment za SSB ni hatari lotta $ ,Mo amejikita kutengeza tambi,sabuni na maji tu ambapo hata Mpagazi wa twita naye anachuana naye.
Ukitaja kujua Mo ni Janja janja uliza 20B alizowekeza aliweka account gani? Angalia SSB kwenye mpira anavyoweka Bs za kutosha.
KUONGA Ndio nn Mkuu. wewe ni mjinga zaidi kwa kufikiri unaweza kupamabana na SalaaWw unafikiri mahakamani unaenda kirahisi rahisi! Hujui hata huko watu wanaonga. Acha majinga
Mzee mo ana mashamba ga mkonge Tanga na morogoro. Hekta za kutosha.
Mkonge ndio unachapisha Hela zake.
Na sio hizo biashara za uchuuzi
Wewe huna ulijualo hebu angalia kwenye website ya metl.net na bakheresagroup.co.tz, pale utaona kwenye Makampuni ya MO kuna Firm ngapi ? na Makampuni yake yapo nchi ngapi? na Kwa Bakheresa fanya hivyo hivyo ndio utajua. Bakheresa kaajiri wafanyakazi 8,000 na MO kaajiri Wafanyakazi 27,000. Halafu Biashara ya MO ya hizo Sabuni inaingiza Pesa nyingi Kuliko Azam TV.Numbers don't lie mkuu! No need ya kwend TRA ,Wali wa kushiba unaonekana kwenye sahani.
Mo biashara gani yake kubwa yenye investment ya kutosha? Maana nikiangalia investiment za SSB ni hatari lotta $ ,Mo amejikita kutengeza tambi,sabuni na maji tu ambapo hata Mpagazi wa twita naye anachuana naye.
Ukitaja kujua Mo ni Janja janja uliza 20B alizowekeza aliweka account gani? Angalia SSB kwenye mpira anavyoweka Bs za kutosha.
Alipewa usd 40million, sio 1 millionMO janja janja ,Msingi wa biashara alipewa na baba yake ,hauwezi kusema kwamba ameanza from scratch ,Baba yake ndiyo yupo nyuma ya huyo TAPELI ,alimpa usd 1m ni sawa na 2.3B kwa sasa!
Jux alishawahi share na Vanessa kwa mzee wa Mjengoni, unakumbuka kuachana kwao kwa 2017, wakapatana Fiesta Dar??
Ommy dimpoz ni mke halali wa Gavana Joho, tena bila Joho ommy asingekua hai had leo. Matibabu yote kule south juu ya JOHO, afu ile RR anayotembelea uulize kaporwa demu gan had apewee yeye, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ommy yuko karibu na GSM ni km shemu wao, [emoji23][emoji23][emoji23]
Mjini hapa dyadyaa, yaan Jux na Neddy hawa wanao kulana na manager wa hotel ya kifahari pale posta lol.
Wee mlongoo mbna jux n GAY, tena wana crew yao classic. sitaki kuamini hujui.
Habari mpya hiiKumbe Yule Mtoto ni punga zeze!?
Mbona ana demu sasa?!
Kwan askari wa zenji hana mke?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe Yule Mtoto ni punga zeze!?
Mbona ana demu sasa?!
Mama washughulikie; au ndio unathibitisha ULI kuwa wamekuweka mfukonUtakuwa mchawi tu.
Hai kina Salah wapo toka enzi ya Mkapa na ndipo utajiri wao ulipoanza kupaa.
We naye kakwepe ili uwe tajirimatajiri wengi ni wakwepa kodi wazuri tu
Wewe ni haterNumbers don't lie mkuu! No need ya kwend TRA ,Wali wa kushiba unaonekana kwenye sahani.
Mo biashara gani yake kubwa yenye investment ya kutosha? Maana nikiangalia investiment za SSB ni hatari lotta $ ,Mo amejikita kutengeza tambi,sabuni na maji tu ambapo hata Mpagazi wa twita naye anachuana naye.
Ukitaja kujua Mo ni Janja janja uliza 20B alizowekeza aliweka account gani? Angalia SSB kwenye mpira anavyoweka Bs za kutosha.