Am_tunnechi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 1,060
- 1,956
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo kinasa msukuma amewakula wotee
Yule mama fatma na mwenzie hakika Ruben.
Wameitwa huko central Obay. Sahivi mambo wazi wazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mbona wewe baba yako hajakupa kitu zaidi ya roho mbaya, chuki, husda, uchawi na tabia za kiafande?MO janja janja ,Msingi wa biashara alipewa na baba yake ,hauwezi kusema kwamba ameanza from scratch ,Baba yake ndiyo yupo nyuma ya huyo TAPELI ,alimpa usd 1m ni sawa na 2.3B kwa sasa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaaahDada wa za ndaaaani kabisa[emoji23][emoji23] kwenye 1 na 2
Wewe ndio mchawi sasaUtakuwa mchawi tu.
Hai kina Salah wapo toka enzi ya Mkapa na ndipo utajiri wao ulipoanza kupaa.
Website zao zimeandika vizuri kabisa kuamzia mauzo MO anamzidi Azam mauzo... Hii ni kutokana na website zaoAcha chuki na MO wewe, jaribu kupitia kwenye Website zao ndio utajua nani ni tajiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bestie nawee unapendaaa udaku wa town??Bestie cocastic , dah Mie bado nipo 2G kwenye huu udaku wa town wakati wewe uko 5G, hebu nipe hiyo link niwasome hawa wakina Jux, Ommy Dimpoz na wale wote wanao left upande wetu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unaweza kuni PM tu
Ila wakiamua weka automation wananchi watalia zaidiNdiyo hivyo tena,ukitaka kuwa tajiri
Wakandamize wa chini mwako
Hiyo ndiyo formula
Ova
Uchumi wao ni endelevu, sisi weusi uchumi wetu ni kunywa beeeeeer, kutia mademu.
Nyumba nyingi za Kkoo ngozi nyeusi ziliuza sana kwa Ngozi nyeupe
Achana na huyo jamaaWewe huna ulijualo hebu angalia kwenye website ya metl.net na bakheresagroup.co.tz, pale utaona kwenye Makampuni ya MO kuna Firm ngapi ? na Makampuni yake yapo nchi ngapi? na Kwa Bakheresa fanya hivyo hivyo ndio utajua. Bakheresa kaajiri wafanyakazi 8,000 na MO kaajiri Wafanyakazi 27,000. Halafu Biashara ya MO ya hizo Sabuni inaingiza Pesa nyingi Kuliko Azam TV.
Mdwanzi na ana chuki za kimasikini sana huyoAchana na huyo jamaa
Niliwaza hii huruma ya Joho kwa ommy inatoka wapi hadi kugharamia… Alooooh anafokoaaJux alishawahi share na Vanessa kwa mzee wa Mjengoni, unakumbuka kuachana kwao kwa 2017, wakapatana Fiesta Dar??
Ommy dimpoz ni mke halali wa Gavana Joho, tena bila Joho ommy asingekua hai had leo. Matibabu yote kule south juu ya JOHO, afu ile RR anayotembelea uulize kaporwa demu gan had apewee yeye, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ommy yuko karibu na GSM ni km shemu wao, [emoji23][emoji23][emoji23]
Mjini hapa dyadyaa, yaan Jux na Neddy hawa wanao kulana na manager wa hotel ya kifahari pale posta lol.
Wee mlongoo mbna jux n GAY, tena wana crew yao classic. sitaki kuamini hujui.
We urushe tu kule PM, Usisahau Bestie 😂 😂 😂 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bestie nawee unapendaaa udaku wa town??
Hili niachie mie, ntakua nakupa ubuyu mdo mdo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We wakili wako anayefatilia sekeseke lako na hao miamba,unampa mln 1KUONGA Ndio nn Mkuu. wewe ni mjinga zaidi kwa kufikiri unaweza kupamabana na Salaa
Sasa mbona wewe baba yako hajakupa kitu zaidi ya roho mbaya, chuki, husda, uchawi na tabia za kiafande?
We wakili wako anayefatilia sekeseke lako na hao miamba,unampa mln 1
Watu wana mvuta wakili wako wanampa mln 5 akuvuruge [emoji1]
Aise,hii vita lazima ujipange [emoji1]
Ova
Wewe ni Looser aka Empty Set.Wewe ni hater
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaaah
Wakati mwingine hata bila kuangalia Websites hata kwa kuangalia tu jinsi vile bidhaa za MO zinavyotumika mtaani. Hivi unajua kila siku MO energy inauza Chupa 1 milioni? mara mwaka mzima atauza chupa ngapi?Hizo website za mo wanaandika Forbes au yeye mwenyewe? Kwani wewe unashindwa kuhost website yako manyaza.com kisha ukaweka makampuni uliyonayo na bla bla bla kibao? Mimi naangalia mipango ya namba sihitaji chuki na wana.