Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo kinasa msukuma amewakula wotee
Yule mama fatma na mwenzie hakika Ruben.

Wameitwa huko central Obay. Sahivi mambo wazi wazi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Dada wa za ndaaaani kabisa[emoji23][emoji23] kwenye 1 na 2
 
Bestie cocastic , dah Mie bado nipo 2G kwenye huu udaku wa town wakati wewe uko 5G, hebu nipe hiyo link niwasome hawa wakina Jux, Ommy Dimpoz na wale wote wanao left upande wetu 😂 😂 😂 😂 😂
Unaweza kuni PM tu
 
Bestie cocastic , dah Mie bado nipo 2G kwenye huu udaku wa town wakati wewe uko 5G, hebu nipe hiyo link niwasome hawa wakina Jux, Ommy Dimpoz na wale wote wanao left upande wetu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unaweza kuni PM tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bestie nawee unapendaaa udaku wa town??
Hili niachie mie, ntakua nakupa ubuyu mdo mdo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uchumi wao ni endelevu, sisi weusi uchumi wetu ni kunywa beeeeeer, kutia mademu.

Nyumba nyingi za Kkoo ngozi nyeusi ziliuza sana kwa Ngozi nyeupe

Mkuu, watanzania asilia tunaroho fulani za ubinafsi na kirudishana nyuma. Ndiomana wenzetu waarabu, wahindi wanatuzidi mbali juu wao wametengeneza mfumo mzuri kwenye familia zao kurithishana biashara zao ndani ya familia.
 
Wewe huna ulijualo hebu angalia kwenye website ya metl.net na bakheresagroup.co.tz, pale utaona kwenye Makampuni ya MO kuna Firm ngapi ? na Makampuni yake yapo nchi ngapi? na Kwa Bakheresa fanya hivyo hivyo ndio utajua. Bakheresa kaajiri wafanyakazi 8,000 na MO kaajiri Wafanyakazi 27,000. Halafu Biashara ya MO ya hizo Sabuni inaingiza Pesa nyingi Kuliko Azam TV.
Achana na huyo jamaa
 
Jux alishawahi share na Vanessa kwa mzee wa Mjengoni, unakumbuka kuachana kwao kwa 2017, wakapatana Fiesta Dar??

Ommy dimpoz ni mke halali wa Gavana Joho, tena bila Joho ommy asingekua hai had leo. Matibabu yote kule south juu ya JOHO, afu ile RR anayotembelea uulize kaporwa demu gan had apewee yeye, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ommy yuko karibu na GSM ni km shemu wao, [emoji23][emoji23][emoji23]

Mjini hapa dyadyaa, yaan Jux na Neddy hawa wanao kulana na manager wa hotel ya kifahari pale posta lol.

Wee mlongoo mbna jux n GAY, tena wana crew yao classic. sitaki kuamini hujui.
Niliwaza hii huruma ya Joho kwa ommy inatoka wapi hadi kugharamia… Alooooh anafokoaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bestie nawee unapendaaa udaku wa town??
Hili niachie mie, ntakua nakupa ubuyu mdo mdo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We urushe tu kule PM, Usisahau Bestie 😂 😂 😂 😂
Sio Udaku Bestie tunataka kuzijua habari za hawa Wakuda Wanao left group letu sijui wanajiunga na group gani ??
 
Sasa mbona wewe baba yako hajakupa kitu zaidi ya roho mbaya, chuki, husda, uchawi na tabia za kiafande?

Tunaongea facts wala si chuki ...ukiona mtu anaanza matusi basi jua kwamba hawezi kujibu hoja....Toa facts na si matusi....I repeat "Numbers Don't Lie".

Context ingekuwa inanihusu mimi ningejibu hilo swali la baba yangu alinipa ngapi,context ni TAPELI MO.
 
We wakili wako anayefatilia sekeseke lako na hao miamba,unampa mln 1
Watu wana mvuta wakili wako wanampa mln 5 akuvuruge [emoji1]
Aise,hii vita lazima ujipange [emoji1]

Ova

Kabisa ,kuna jamaa yangu na yeye walimfanyia hivyo ,alibadili mawakili zaidi ya wa5 at the end akaja kushinda akala mpunga wake....Jamaa aliyekuwa anashindana nae alikuwa na mpunga wa kuhonga....Alistukia mawakili wanahongwa na "MSHUA".
 
Hizo website za mo wanaandika Forbes au yeye mwenyewe? Kwani wewe unashindwa kuhost website yako manyaza.com kisha ukaweka makampuni uliyonayo na bla bla bla kibao? Mimi naangalia mipango ya namba sihitaji chuki na wana.
Wakati mwingine hata bila kuangalia Websites hata kwa kuangalia tu jinsi vile bidhaa za MO zinavyotumika mtaani. Hivi unajua kila siku MO energy inauza Chupa 1 milioni? mara mwaka mzima atauza chupa ngapi?
1,000,000 X 365 Ni sawa na Mauzo ya Chupa Bilion 3.5 za juice ya Energy na hapo ukippiga 3.5 Billioni mara bei ya kila cupa unapata shiling ngapi?
Wewe King Kong III nakuona bado huna uelewa wa biashara na ni limbukeni na haujui. Unazuzuka na Azam TV ambayo haina hata Wateja laki 5 hapa Tanzania? na gharama ya kifurushi ni sh 23,000 utapata shiling ngapi? bado hujalipia TCRA, Wafanyakazi, Umeme, TTCL n.k acha chuki na jifunze kuchambua mambo.

OKW BOBAN SUNZU na Scars huyu Utopolo ana msema vibaya Boss wetu hebu naoma na nyinyi mnisaidie kumpa maelezo kidogo ili chuki dhidi ya Boss MO iondoke akilini mwake
 
Back
Top Bottom