Serikali inaporwa!?Mashamba ya mkonge amepora serikalini ,hauwezi kusema ni investiment yake ile....Yaani kwa mfano mimi niende kupora MM Steel kiujanja ujanja halafu usema nime invest $ kwenye hicho kiwanda cha nondo?
Lazima ujipange kweli kweli na hiyo mahakama isiwe ya hapa TanzaniaWe wakili wako anayefatilia sekeseke lako na hao miamba,unampa mln 1
Watu wana mvuta wakili wako wanampa mln 5 akuvuruge [emoji1]
Aise,hii vita lazima ujipange [emoji1]
Ova
Ndiyo maana nimekwambia MO kuna baadhi ya bidhaa ni mmachinga anabandika label ,kubandika label bidhaa hata wamachinga wa kwenye vizimba pale machinga complex wanafanya.Bakhresa vitu vyake vyote vipo kwenye brand moja ya azam, ila mo ana viwanda na brand na biashara nyingi sana.
Mo kama mzalishaji
mafuta ya nyumbani
-mafuta maisha
-mafuta safi
-blueband mo margarine
-mafuta mpishi
-mafuta sunflower
vinywaji
-maji ya maisha
-maji masafi
-juice za pride
-soda za mo
nguo
-hakuna kampuni kubwa ya nguo kusini mwa jangwa la sahara kushinda metl. wana viwanda karibia kila mkoa wakitengeneza bidhaa za kanga na vitenge.
Vyakula
-unga wa ngano
-sukari
-korosho (mo cashew)
baiskeli
hapa kuna baisikeli za kawaida na za miguu mitatu za NABICO
mafuta ya magari
kampuni ya mo ya star oil ni moja ya wasambazaji wakubwa wa mafuta. uwezo wa lita milioni 5 kwa siku.
sabuni
-sabuni za royal
-sabuni za taifa
-sabuni za poa
mo kama mfanya biashara anaeagiza vitu nje
-agent wa LG tanzania analeta vitu kama mashine za kufulia, oven, mafridge na bidhaa nyengine za lg
-Agent wa TCL tanzania na TV zake
-analeta mitumba ya nguo
-AC za airlux
-battery za remote
-tractor za kulimia
-na mengine mengi kama big G, biscuit, tambi etc
mo kama muuzaji vitu nje ya nchi
jamaa anauza vitu vingi sana nje ya nchi kama
-katani
-korosho
-mbao
-nta
-choroko
-bidhaa nyengine tulizozitaja juu.
angalia hio diversity then compare na bakhresa.
Usipoelewa hapa basi Wewe utakuwa na shida
Mipango baba Mipango ya numbers mkuu.Kuna umaarufu wa jina kutokana na kuanza biashara zamani na kuna utajiri kutokana na kupata faida nyingi kwenye biashara. Kipi na kipi hapa.!?
Mpaka vifaa Vya Umeme vya Panasonic sasa hiviNasikia Mo ndio authorised importer wa pikipiki Boxer na muuzaji nje wa Alizeti.
Wanasema Rostam ni tajiri lakini hana bidhaa maarufu inayojulikana. Nachoona biashara ni faida tu haijalishi umefungua kiwanda au unafanya udalali.Mipango baba Mipango ya numbers mkuu.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 . Sasa MO mbona hayo magari naye anayo kibao tu, halafu ndio maana nimesema wewe upeo wako wa kufikiri bado ni mdogo sana hivi na wewe unazuzuka na magari? wakati huyo Bakheresa huwa anapewa mkopo wa magari hata 100? Sijui Wewe ni Me au Ke ?
Unaidharau sukari, tambi na kiberiti anachouza MO wakati hicho ndio kinaingiza hela nyingi kuliko hata hayo Malori ya Bakheresa unayoyaona huko barabara
Masaa 72 yameisha mkuu mbona unaimba mapambio tu weka vitu watu tupate chakula cha ubongo tuna appetite toka juzi tunangoja ushushe vitu unarukaruka sema unaogopa kutupiwa majini na Salah?Mungu ananilinda hadi sasa niko mzima.
[emoji38]Lazima ujipange kweli kweli na hiyo mahakama isiwe ya hapa Tanzania
Salaah anafuga majini!?Masaa 72 yameisha mkuu mbona unaimba mapambio tu weka vitu watu tupate chakula cha ubongo tuna appetite toka juzi tunangoja ushushe vitu unarukaruka sema unaogopa kutupiwa majini na Salah?
Kwa hio Jux, Ommy, Neddy na wengine kwenye crew wote ni upinde wa mvua? Waarabu wapemba hujuana kwa vilemba sawa tunesikiaJux alishawahi share na Vanessa kwa mzee wa Mjengoni, unakumbuka kuachana kwao kwa 2017, wakapatana Fiesta Dar??
Ommy dimpoz ni mke halali wa Gavana Joho, tena bila Joho ommy asingekua hai had leo. Matibabu yote kule south juu ya JOHO, afu ile RR anayotembelea uulize kaporwa demu gan had apewee yeye, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ommy yuko karibu na GSM ni km shemu wao, [emoji23][emoji23][emoji23]
Mjini hapa dyadyaa, yaan Jux na Neddy hawa wanao kulana na manager wa hotel ya kifahari pale posta lol.
Wee mlongoo mbna jux n GAY, tena wana crew yao classic. sitaki kuamini hujui.
Muulize Salaah eti Salaah unafuga majini?Salaah anafuga majini!?
Naam ni suala la timing tuUnatafuta mkwasa mmoja tu huko kitaa au Tanganyika arms au kule mzinga.
Mkwasa mmoja na pipi Moja tu mtu Chali zingine zinabaki mbwembwe tu[emoji1]
Alafu Bei ya katani Sasa hivi ni balaaKampuni yake ndo yaongoza duniani kwa uzalishaji wa katani.
Naomba niongezee hiyo bicycle siyo kuuza kama nzima anauza mpaka parts spares za bicycleBakhresa vitu vyake vyote vipo kwenye brand moja ya azam, ila mo ana viwanda na brand na biashara nyingi sana.
Mo kama mzalishaji
mafuta ya nyumbani
-mafuta maisha
-mafuta safi
-blueband mo margarine
-mafuta mpishi
-mafuta sunflower
vinywaji
-maji ya maisha
-maji masafi
-juice za pride
-soda za mo
nguo
-hakuna kampuni kubwa ya nguo kusini mwa jangwa la sahara kushinda metl. wana viwanda karibia kila mkoa wakitengeneza bidhaa za kanga na vitenge.
Vyakula
-unga wa ngano
-sukari
-korosho (mo cashew)
baiskeli
hapa kuna baisikeli za kawaida na za miguu mitatu za NABICO
mafuta ya magari
kampuni ya mo ya star oil ni moja ya wasambazaji wakubwa wa mafuta. uwezo wa lita milioni 5 kwa siku.
sabuni
-sabuni za royal
-sabuni za taifa
-sabuni za poa
mo kama mfanya biashara anaeagiza vitu nje
-agent wa LG tanzania analeta vitu kama mashine za kufulia, oven, mafridge na bidhaa nyengine za lg
-Agent wa TCL tanzania na TV zake
-analeta mitumba ya nguo
-AC za airlux
-battery za remote
-tractor za kulimia
-na mengine mengi kama big G, biscuit, tambi etc
mo kama muuzaji vitu nje ya nchi
jamaa anauza vitu vingi sana nje ya nchi kama
-katani
-korosho
-mbao
-nta
-choroko
-bidhaa nyengine tulizozitaja juu.
angalia hio diversity then compare na bakhresa.
Usipoelewa hapa basi Wewe utakuwa na shida
Nimevua kofia mo hatariBakhresa vitu vyake vyote vipo kwenye brand moja ya azam, ila mo ana viwanda na brand na biashara nyingi sana.
Mo kama mzalishaji
mafuta ya nyumbani
-mafuta maisha
-mafuta safi
-blueband mo margarine
-mafuta mpishi
-mafuta sunflower
vinywaji
-maji ya maisha
-maji masafi
-juice za pride
-soda za mo
nguo
-hakuna kampuni kubwa ya nguo kusini mwa jangwa la sahara kushinda metl. wana viwanda karibia kila mkoa wakitengeneza bidhaa za kanga na vitenge.
Vyakula
-unga wa ngano
-sukari
-korosho (mo cashew)
baiskeli
hapa kuna baisikeli za kawaida na za miguu mitatu za NABICO
mafuta ya magari
kampuni ya mo ya star oil ni moja ya wasambazaji wakubwa wa mafuta. uwezo wa lita milioni 5 kwa siku.
sabuni
-sabuni za royal
-sabuni za taifa
-sabuni za poa
mo kama mfanya biashara anaeagiza vitu nje
-agent wa LG tanzania analeta vitu kama mashine za kufulia, oven, mafridge na bidhaa nyengine za lg
-Agent wa TCL tanzania na TV zake
-analeta mitumba ya nguo
-AC za airlux
-battery za remote
-tractor za kulimia
-na mengine mengi kama big G, biscuit, tambi etc
mo kama muuzaji vitu nje ya nchi
jamaa anauza vitu vingi sana nje ya nchi kama
-katani
-korosho
-mbao
-nta
-choroko
-bidhaa nyengine tulizozitaja juu.
angalia hio diversity then compare na bakhresa.
Usipoelewa hapa basi Wewe utakuwa na shida
Azam ni tagiri aisee, sema nini ponjoro mjanja mjanja sana na kina zuwena wanamtetea sanaaaaaNdiyo maana nimekwambia MO kuna baadhi ya bidhaa ni mmachinga anabandika label ,kubandika label bidhaa hata wamachinga wa kwenye vizimba pale machinga complex wanafanya.
MO pia ni mchuuzi ,tajiri hafanyagi uchuuzi ,tajiri anafanya production ,ilitakiwa awe na mashamba ya mbao au hata mashamba ya korosho na % ya raw materials itoke kwenye mashamba yake na si kwenda kuwabana wakulima kwa bei ya kimagumashi.
Ebu pitia investement ya SSB kwenye Sukari ,ametia B$ ndani ya miaka mitatu bila bidhaa sokoni na anawalipa wafanyakazi bila bidhaa sokoni,miaka mitatu ya maandalizi tu ya products ambapo TAPELI Mo hawezi kufanya hizyo yeye atakachofanya ni kwenda kuweka label kwenye sukari na kula cha juu na kuingiza kama MO.
Muda unayoyoma. Mimi siogopi majini. Maana kama ni kuyatupia angeshayatupia.Masaa 72 yameisha mkuu mbona unaimba mapambio tu weka vitu watu tupate chakula cha ubongo tuna appetite toka juzi tunangoja ushushe vitu unarukaruka sema unaogopa kutupiwa majini na Salah?