Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Bakhresa vitu vyake vyote vipo kwenye brand moja ya azam, ila mo ana viwanda na brand na biashara nyingi sana.

Mo kama mzalishaji
mafuta ya nyumbani
-mafuta maisha
-mafuta safi
-blueband mo margarine
-mafuta mpishi
-mafuta sunflower

vinywaji
-maji ya maisha
-maji masafi
-juice za pride
-soda za mo

nguo
-hakuna kampuni kubwa ya nguo kusini mwa jangwa la sahara kushinda metl. wana viwanda karibia kila mkoa wakitengeneza bidhaa za kanga na vitenge.

Vyakula
-unga wa ngano
-sukari
-korosho (mo cashew)

baiskeli
hapa kuna baisikeli za kawaida na za miguu mitatu za NABICO

mafuta ya magari
kampuni ya mo ya star oil ni moja ya wasambazaji wakubwa wa mafuta. uwezo wa lita milioni 5 kwa siku.

sabuni
-sabuni za royal
-sabuni za taifa
-sabuni za poa

mo kama mfanya biashara anaeagiza vitu nje
-agent wa LG tanzania analeta vitu kama mashine za kufulia, oven, mafridge na bidhaa nyengine za lg
-Agent wa TCL tanzania na TV zake
-analeta mitumba ya nguo
-AC za airlux
-battery za remote
-tractor za kulimia
-na mengine mengi kama big G, biscuit, tambi etc

mo kama muuzaji vitu nje ya nchi
jamaa anauza vitu vingi sana nje ya nchi kama
-katani
-korosho
-mbao
-nta
-choroko
-bidhaa nyengine tulizozitaja juu.

angalia hio diversity then compare na bakhresa.

Usipoelewa hapa basi Wewe utakuwa na shida
Ndiyo maana nimekwambia MO kuna baadhi ya bidhaa ni mmachinga anabandika label ,kubandika label bidhaa hata wamachinga wa kwenye vizimba pale machinga complex wanafanya.

MO pia ni mchuuzi ,tajiri hafanyagi uchuuzi ,tajiri anafanya production ,ilitakiwa awe na mashamba ya mbao au hata mashamba ya korosho na % ya raw materials itoke kwenye mashamba yake na si kwenda kuwabana wakulima kwa bei ya kimagumashi.

Ebu pitia investement ya SSB kwenye Sukari ,ametia B$ ndani ya miaka mitatu bila bidhaa sokoni na anawalipa wafanyakazi bila bidhaa sokoni,miaka mitatu ya maandalizi tu ya products ambapo TAPELI Mo hawezi kufanya hizyo yeye atakachofanya ni kwenda kuweka label kwenye sukari na kula cha juu na kuingiza kama MO.
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂 . Sasa MO mbona hayo magari naye anayo kibao tu, halafu ndio maana nimesema wewe upeo wako wa kufikiri bado ni mdogo sana hivi na wewe unazuzuka na magari? wakati huyo Bakheresa huwa anapewa mkopo wa magari hata 100? Sijui Wewe ni Me au Ke ?
Unaidharau sukari, tambi na kiberiti anachouza MO wakati hicho ndio kinaingiza hela nyingi kuliko hata hayo Malori ya Bakheresa unayoyaona huko barabara

MO ana Isuzu alivyoweka mabodi ya mabati ya kusambaza bidhaa mtaani ndiyo unasema Scania? Mimi nazungumzia scania ,wala siyo hivyo vigari vya kusambaza bidhaa mtaani ,tukizungumzia hivyo SSB anavyo kama mchanga...Ebu nenda TAZARA kwanza yard ya scania zake uzione kwanza....Yard ya MO ya scania ipo wapi nikacheck?
 
Masaa 72 yameisha mkuu mbona unaimba mapambio tu weka vitu watu tupate chakula cha ubongo tuna appetite toka juzi tunangoja ushushe vitu unarukaruka sema unaogopa kutupiwa majini na Salah?
Salaah anafuga majini!?
 
Jux alishawahi share na Vanessa kwa mzee wa Mjengoni, unakumbuka kuachana kwao kwa 2017, wakapatana Fiesta Dar??

Ommy dimpoz ni mke halali wa Gavana Joho, tena bila Joho ommy asingekua hai had leo. Matibabu yote kule south juu ya JOHO, afu ile RR anayotembelea uulize kaporwa demu gan had apewee yeye, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ommy yuko karibu na GSM ni km shemu wao, [emoji23][emoji23][emoji23]

Mjini hapa dyadyaa, yaan Jux na Neddy hawa wanao kulana na manager wa hotel ya kifahari pale posta lol.

Wee mlongoo mbna jux n GAY, tena wana crew yao classic. sitaki kuamini hujui.
Kwa hio Jux, Ommy, Neddy na wengine kwenye crew wote ni upinde wa mvua? Waarabu wapemba hujuana kwa vilemba sawa tunesikia
 
Bakhresa vitu vyake vyote vipo kwenye brand moja ya azam, ila mo ana viwanda na brand na biashara nyingi sana.

Mo kama mzalishaji
mafuta ya nyumbani
-mafuta maisha
-mafuta safi
-blueband mo margarine
-mafuta mpishi
-mafuta sunflower

vinywaji
-maji ya maisha
-maji masafi
-juice za pride
-soda za mo

nguo
-hakuna kampuni kubwa ya nguo kusini mwa jangwa la sahara kushinda metl. wana viwanda karibia kila mkoa wakitengeneza bidhaa za kanga na vitenge.

Vyakula
-unga wa ngano
-sukari
-korosho (mo cashew)

baiskeli
hapa kuna baisikeli za kawaida na za miguu mitatu za NABICO

mafuta ya magari
kampuni ya mo ya star oil ni moja ya wasambazaji wakubwa wa mafuta. uwezo wa lita milioni 5 kwa siku.

sabuni
-sabuni za royal
-sabuni za taifa
-sabuni za poa

mo kama mfanya biashara anaeagiza vitu nje
-agent wa LG tanzania analeta vitu kama mashine za kufulia, oven, mafridge na bidhaa nyengine za lg
-Agent wa TCL tanzania na TV zake
-analeta mitumba ya nguo
-AC za airlux
-battery za remote
-tractor za kulimia
-na mengine mengi kama big G, biscuit, tambi etc

mo kama muuzaji vitu nje ya nchi
jamaa anauza vitu vingi sana nje ya nchi kama
-katani
-korosho
-mbao
-nta
-choroko
-bidhaa nyengine tulizozitaja juu.

angalia hio diversity then compare na bakhresa.

Usipoelewa hapa basi Wewe utakuwa na shida
Naomba niongezee hiyo bicycle siyo kuuza kama nzima anauza mpaka parts spares za bicycle

Mo ndiyo mpaka Leo hii anauza utambi wa koroboi na koroboi yenyewe
 
Bakhresa vitu vyake vyote vipo kwenye brand moja ya azam, ila mo ana viwanda na brand na biashara nyingi sana.

Mo kama mzalishaji
mafuta ya nyumbani
-mafuta maisha
-mafuta safi
-blueband mo margarine
-mafuta mpishi
-mafuta sunflower

vinywaji
-maji ya maisha
-maji masafi
-juice za pride
-soda za mo

nguo
-hakuna kampuni kubwa ya nguo kusini mwa jangwa la sahara kushinda metl. wana viwanda karibia kila mkoa wakitengeneza bidhaa za kanga na vitenge.

Vyakula
-unga wa ngano
-sukari
-korosho (mo cashew)

baiskeli
hapa kuna baisikeli za kawaida na za miguu mitatu za NABICO

mafuta ya magari
kampuni ya mo ya star oil ni moja ya wasambazaji wakubwa wa mafuta. uwezo wa lita milioni 5 kwa siku.

sabuni
-sabuni za royal
-sabuni za taifa
-sabuni za poa

mo kama mfanya biashara anaeagiza vitu nje
-agent wa LG tanzania analeta vitu kama mashine za kufulia, oven, mafridge na bidhaa nyengine za lg
-Agent wa TCL tanzania na TV zake
-analeta mitumba ya nguo
-AC za airlux
-battery za remote
-tractor za kulimia
-na mengine mengi kama big G, biscuit, tambi etc

mo kama muuzaji vitu nje ya nchi
jamaa anauza vitu vingi sana nje ya nchi kama
-katani
-korosho
-mbao
-nta
-choroko
-bidhaa nyengine tulizozitaja juu.

angalia hio diversity then compare na bakhresa.

Usipoelewa hapa basi Wewe utakuwa na shida
Nimevua kofia mo hatari
 
Ndiyo maana nimekwambia MO kuna baadhi ya bidhaa ni mmachinga anabandika label ,kubandika label bidhaa hata wamachinga wa kwenye vizimba pale machinga complex wanafanya.

MO pia ni mchuuzi ,tajiri hafanyagi uchuuzi ,tajiri anafanya production ,ilitakiwa awe na mashamba ya mbao au hata mashamba ya korosho na % ya raw materials itoke kwenye mashamba yake na si kwenda kuwabana wakulima kwa bei ya kimagumashi.

Ebu pitia investement ya SSB kwenye Sukari ,ametia B$ ndani ya miaka mitatu bila bidhaa sokoni na anawalipa wafanyakazi bila bidhaa sokoni,miaka mitatu ya maandalizi tu ya products ambapo TAPELI Mo hawezi kufanya hizyo yeye atakachofanya ni kwenda kuweka label kwenye sukari na kula cha juu na kuingiza kama MO.
Azam ni tagiri aisee, sema nini ponjoro mjanja mjanja sana na kina zuwena wanamtetea sanaaaaa
 
Back
Top Bottom