Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Naomba nikusaidie MO muingizaji wa used European trucks Kwa takriban miaka mitano Sasa ana import trucks kila mwezi not less than 200 units na kuziuza tena nyingi anazikopesha
 
Naomba nikusaidie MO muingizaji wa used European trucks Kwa takriban miaka mitano Sasa ana import trucks kila mwezi not less than 200 units na kuziuza tena nyingi anazikopesha
Mwambie aende pale Pepsi akashihudie, au akitaka akakope kwa MO.

Magari mengi watu wamekopa kwa MO

Pia MO ana jumla ya magari 1000 ya mizigo
 
Wanasema Rostam ni tajiri lakini hana bidhaa maarufu inayojulikana. Nachoona biashara ni faida tu haijalishi umefungua kiwanda au unafanya udalali.

Yes RA ni tajiri lakini si wa kiwango cha kina SSB ambao wana constant cash flow , ukiwa na kipato cha ujanja ujanja upigaji ni ngumu kuwa noticiable labda kwa sasa fedha yake anaiweka kwenye proper channel TIGO/TAIFA GAS /CASPIAN forbes wanaweza waka kadiria estimation net worth.
 
Uwe unanitag bhana looh
 
Akiendelea kubisha tumuite mod ampige ban. Mkuu wakati tunaendelea kusubiri masaa72 ya jamaa kama unakoneksheni yoyote huko maviwandani ya walau kupata mlo wa watoto niite tu nami nitaitikia.
 
Huyo jamaa unayemtuhumu Kuna siku tulikuwa nae Lumumba pale,

(Sina ukaribu nae wa kivilee tunakutana tu kwenye kazi, kazi hizi za usafirishaji japo mm nafanya kampuni nyingine ambayo nayo Ina deal na mambo hayo hayo ya usafirishaji)

Sasa Wakati tuko pale Lumumba wote tulikuwa na safari ya kwenda Benk flani ipo maeneo ya Serena Hotel,

Hapo kila mtu ana chuma yake, yèye ana Land Cruiser 2022 kama sio ya 2023 Mimi nilikuwa na Bimmer X3 tena ya 2007 huko

Sasa Wakati tunaondoka yeye yupo mbele mm nipo nyuma, tukafika kwenye Ile junction ambayo inaruhusu magari kutoka fire kuingia Lumumba, na unayetoka Lumumba unaruhusiwa kukata kushoto kwenda fire lakini huruhusiwi kukata kulia kwenda DIT

Jamaa alivyofika pale si akapita na zote hakusubiri hata mwendo Kasi ipite akakata kulia kuelekea DIT nikataka nimuige bahati nzuri nilikuwa na mshkaji kwenye gari

Mshkaji niliyekuwa naye kwenye gari akanambia "ukimuiga jamaa umekwisha wenzako ndio kawaida yao kupita hapo kwanza gari yake tu inambeba police hawezi kumsimamisha sasa jichanganye na ka bmw kako"

Ilibidi niende fire huko nikatafute U-Turn

Huo ni Mfano tu kwamba hatuwezi kufanana nguvu

NB: Traffic police alikuwepo na hakufanya chochote
 
Sababu pekee chini ya JUA inayonifanya nifanye kazi kwa bidiii,nitafute pesa,connection,nk

Ni ili niweze ishi maisha yangu bila kuonewa na watu wa aina hiii (wenye pesa)

Najua sitoweza kuwa na pesa kuliko watu wote duniani, ila naamini kuwa na Pesa za kutosha kutanifanya nikikohoa watu waitike.

Hamna kitu sipendi na nachukia kama kuona Mnyonge anaonewa na Mwenye Pesa.

Kwa level yangu ya maisha huwa nikiona anaeonea Nam mudu huwa nanunuaga huo ugomvi.

Mimi usionee mtu mbele yangu, kama Nakumudu ujue unagombana na mimi.

Onea mtu mbele ya macho yangu kama unanizidi kipesa kiuwezo ki power,nk Hapo ntakaaa kimya kama ninavyoangalia hili sinema la Salaah Hapa.

Tofauti na Hapo,Mbele ya uwepo wa macho yangu huwa haonewi mtu,Maana nina njia zote za kupambana na waoneaji, Njia 1 tu ambayo bado sijai weza ni Kupambana na Alienizidi PESA.

Kwa case ya salaah, Mkuu ipotezeeni Tu.
 
Kama uchawi ungekua na nguvu marekani ungekuta mda sana imeshalogwa
 
Aisee! Kweli wangese wanaogopwa.
 
Hakuna kesi hapo alitaka tu kuchangamsha geng na kafanikiwa muda mwingne umasikin unasababsha mtu kumchukia tajir kana kwamba yeye ndio kamfanya awe masikn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…