Naomba nikusaidie MO muingizaji wa used European trucks Kwa takriban miaka mitano Sasa ana import trucks kila mwezi not less than 200 units na kuziuza tena nyingi anazikopeshaMO ana Isuzu alivyoweka mabodi ya mabati ya kusambaza bidhaa mtaani ndiyo unasema Scania? Mimi nazungumzia scania ,wala siyo hivyo vigari vya kusambaza bidhaa mtaani ,tukizungumzia hivyo SSB anavyo kama mchanga...Ebu nenda TAZARA kwanza yard ya scania zake uzione kwanza....Yard ya MO ya scania ipo wapi nikacheck?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Muulize Salaah eti Salaah unafuga majini?
Sawa mkuu tunasubiri andiko lako kwa hamu yaan km tupo kwenye shughuli tunasubiri sinia la pilau tumeshazungusha duara hapa sinia litue tuanze kupiga matonge yetuMuda unayoyoma. Mimi siogopi majini. Maana kama ni kuyatupia angeshayatupia.
Tunarogaga woteUtakuwa mchawi tu.
Hao kina Salah wapo toka enzi ya Mkapa na ndipo utajiri wao ulipoanza kupaa.
Mwambie aende pale Pepsi akashihudie, au akitaka akakope kwa MO.Naomba nikusaidie MO muingizaji wa used European trucks Kwa takriban miaka mitano Sasa ana import trucks kila mwezi not less than 200 units na kuziuza tena nyingi anazikopesha
Ni kweli mkuu ,kanjibhai ni janja janja na wanaomtetea ni makolo wenzake.Azam ni tagiri aisee, sema nini ponjoro mjanja mjanja sana na kina zuwena wanamtetea sanaaaaa
Wanasema Rostam ni tajiri lakini hana bidhaa maarufu inayojulikana. Nachoona biashara ni faida tu haijalishi umefungua kiwanda au unafanya udalali.
Serikali inaporwa!?
Uwe unanitag bhana loohJux alishawahi share na Vanessa kwa mzee wa Mjengoni, unakumbuka kuachana kwao kwa 2017, wakapatana Fiesta Dar??
Ommy dimpoz ni mke halali wa Gavana Joho, tena bila Joho ommy asingekua hai had leo. Matibabu yote kule south juu ya JOHO, afu ile RR anayotembelea uulize kaporwa demu gan had apewee yeye, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ommy yuko karibu na GSM ni km shemu wao, [emoji23][emoji23][emoji23]
Mjini hapa dyadyaa, yaan Jux na Neddy hawa wanao kulana na manager wa hotel ya kifahari pale posta lol.
Wee mlongoo mbna jux n GAY, tena wana crew yao classic. sitaki kuamini hujui.
Akiendelea kubisha tumuite mod ampige ban. Mkuu wakati tunaendelea kusubiri masaa72 ya jamaa kama unakoneksheni yoyote huko maviwandani ya walau kupata mlo wa watoto niite tu nami nitaitikia.Bakhresa vitu vyake vyote vipo kwenye brand moja ya azam, ila mo ana viwanda na brand na biashara nyingi sana.
Mo kama mzalishaji
mafuta ya nyumbani
-mafuta maisha
-mafuta safi
-blueband mo margarine
-mafuta mpishi
-mafuta sunflower
vinywaji
-maji ya maisha
-maji masafi
-juice za pride
-soda za mo
nguo
-hakuna kampuni kubwa ya nguo kusini mwa jangwa la sahara kushinda metl. wana viwanda karibia kila mkoa wakitengeneza bidhaa za kanga na vitenge.
Vyakula
-unga wa ngano
-sukari
-korosho (mo cashew)
baiskeli
hapa kuna baisikeli za kawaida na za miguu mitatu za NABICO
mafuta ya magari
kampuni ya mo ya star oil ni moja ya wasambazaji wakubwa wa mafuta. uwezo wa lita milioni 5 kwa siku.
sabuni
-sabuni za royal
-sabuni za taifa
-sabuni za poa
mo kama mfanya biashara anaeagiza vitu nje
-agent wa LG tanzania analeta vitu kama mashine za kufulia, oven, mafridge na bidhaa nyengine za lg
-Agent wa TCL tanzania na TV zake
-analeta mitumba ya nguo
-AC za airlux
-battery za remote
-tractor za kulimia
-na mengine mengi kama big G, biscuit, tambi etc
mo kama muuzaji vitu nje ya nchi
jamaa anauza vitu vingi sana nje ya nchi kama
-katani
-korosho
-mbao
-nta
-choroko
-bidhaa nyengine tulizozitaja juu.
angalia hio diversity then compare na bakhresa.
Usipoelewa hapa basi Wewe utakuwa na shida
Kumbe ni uyanga ndo unakusumbuaNi kweli mkuu ,kanjibhai ni janja janja na wanaomtetea ni makolo wenzake.
Mbona namtetea SSB wakati mimi sio lambalamba?Kumbe ni uyanga ndo unakusumbua
Kama uchawi ungekua na nguvu marekani ungekuta mda sana imeshalogwaSijakataa, nimesema hauna nguvu.
Kama ungekuwa na nguvu ninakuhakikishia pasingekuwa na dhulma au uonevu,
Ninawajua na wewe unawajua Watu wangapi wanadhulumiwa na kuonewa, wengine wanatoka koo zenye Uchawi lakini hakuna wanafanya Mbele ya Watawala au hao matajiri.
Nguvu ya Mwanadamu ni zaidi ya Uchawi.
Ndio maana Watu wametengeneza silaha kama bastola.
Kwenda kwa Sangoma utapoteza muda tuu.
Nguvu isiyoongopa ni kufanya mambo Physically, mwagia tindikali, piga RISASI, wekea sumu, hivyo yaani
Aisee! Kweli wangese wanaogopwa.Huyo jamaa unayemtuhumu Kuna siku tulikuwa nae Lumumba pale,
(Sina ukaribu nae wa kivilee tunakutana tu kwenye kazi, kazi hizi za usafirishaji japo mm nafanya kampuni nyingine ambayo nayo Ina deal na mambo hayo hayo ya usafirishaji)
Sasa Wakati tuko pale Lumumba wote tulikuwa na safari ya kwenda Benk flani ipo maeneo ya Serena Hotel,
Hapo kila mtu ana chuma yake, yèye ana Land Cruiser 2022 kama sio ya 2023 Mimi nilikuwa na Bimmer X3 tena ya 2007 huko
Sasa Wakati tunaondoka yeye yupo mbele mm nipo nyuma, tukafika kwenye Ile junction ambayo inaruhusu magari kutoka fire kuingia Lumumba, na unayetoka Lumumba unaruhusiwa kukata kushoto kwenda fire lakini huruhusiwi kukata kulia kwenda DIT
Jamaa alivyofika pale si akapita na zote hakusubiri hata mwendo Kasi ipite akakata kulia kuelekea DIT nikataka nimuige bahati nzuri nilikuwa na mshkaji kwenye gari
Mshkaji niliyekuwa naye kwenye gari akanambia "ukimuiga jamaa umekwisha wenzako ndio kawaida yao kupita hapo kwanza gari yake tu inambeba police hawezi kumsimamisha sasa jichanganye na ka bmw kako"
Ilibidi niende fire huko nikatafute U-Turn
Huo ni Mfano tu kwamba hatuwezi kufanana nguvu
NB: Traffic police alikuwepo na hakufanya chochote
Hakuna kesi hapo alitaka tu kuchangamsha geng na kafanikiwa muda mwingne umasikin unasababsha mtu kumchukia tajir kana kwamba yeye ndio kamfanya awe masikn.Sababu pekee chini ya JUA inayonifanya nifanye kazi kwa bidiii,nitafute pesa,connection,nk
Ni ili niweze ishi maisha yangu bila kuonewa na watu wa aina hiii (wenye pesa)
Najua sitoweza kuwa na pesa kuliko watu wote duniani, ila naamini kuwa na Pesa za kutosha kutanifanya nikikohoa watu waitike.
Hamna kitu sipendi na nachukia kama kuona Mnyonge anaonewa na Mwenye Pesa.
Kwa level yangu ya maisha huwa nikiona anaeonea Nam mudu huwa nanunuaga huo ugomvi.
Mimi usionee mtu mbele yangu, kama Nakumudu ujue unagombana na mimi.
Onea mtu mbele ya macho yangu kama unanizidi
Tofauti na Hapo,Mbele ya uwepo wa macho yangu huwa haonewi mtu,Maana nina njia zote za kupambana na waoneaji,
Kwa case ya salaah, Mkuu ipotezeeni Tu.