Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Kesi ya high court imehukumiwa na judge muhuni latifa mansour ambae ana mahusiano nao na nilivyo appeal wakacheza wakaipeleka Kwa ma judge wao na watunzia heshima.

Wasipojirekebisha kwenye review hakika nitawamwaga uchafu wao wote.
Mkuu usisubiri review usije ukatupiwa jini ukafa tukakosa maelezo yako tunaomba hata kabla ya review wewe weka hapa mkasa mzima, eleza mwanzo mwisho wa mkasa wako ulivyokua, ushaambiwa jamaa wana majeshi ya majini sasa wasije wakakutumia wa kwako tukakosa maelezo yako kimoja emu funguka nini kimekusibu hadi hawa mabwana GSM na Bank Access kudhulumu na kupora Mali zako?
 

Njaa zitafanya binadamu wengi tufe vibaya sana.

Tena mkuu nyinyi waarabu mnaonekanaga mnazo,hivyo mtu kukudhurumu anaona kama hutachukua muda sana kupigania haki yako,poleni sana Mungu awasimamie.

RIP jpm.
 
Hana lolote huyu. Saa 72 zitaisha na hana cha kufanya.
Soma hapa
 
Acheni kuendekeza ushirikina
 
Tanzania ni nchi ya dili kila mahali, hivi Magufuli alivokua anasema ni dili kila mahali alikua anakosea, NI KWELI

MATAJIRI WA TANZANIA NI WIZI TU NA BIASHARA HARAMU ZINAWABEBA

KAMA KWELI MUNGU ATALETA SIRI ZA WANADAMU HADHARANI KUCHEPUKA NA MKE WA MTU HAITAKUA SIRI YA AIBU
 

GSM sababu hawa wamepitia mgongo wa bank
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…