FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hapo bado kasema, hapo ni kama anam-massage na kumpaka kilainishi tu Salah, asipolipa ndio anamuingizia mashine kabisaMbona tayariii,
Ameshamwaga mboga, mchuzi, kitoweo, juice na kila kitu , humu humu kwenye Uzi kafungua uzi mwingine utafteni mtaona jamaa katimiza ahadi
Mimi ni mtumishi wa mahakama kwa miaka saba sasaUijui mahakama wewe, kaa kwa kutulia tena utulie kabisa yaan tulia namaanisha Shona domo lako
Brother kila kitu kitakuwa wazi humu na mitandao mengine na vyombo vyote vya habari soon.Mkuu usisubiri review usije ukatupiwa jini ukafa tukakosa maelezo yako tunaomba hata kabla ya review wewe weka hapa mkasa mzima, eleza mwanzo mwisho wa mkasa wako ulivyokua, ushaambiwa jamaa wana majeshi ya majini sasa wasije wakakutumia wa kwako tukakosa maelezo yako kimoja emu funguka nini kimekusibu hadi hawa mabwana GSM na Bank Access kudhulumu na kupora Mali zako?
Una mavi weweeAcheni kuendekeza ushirikina
Hapana usipotoshe kipindi Cha JPM DC alikuwa mwanamke ana msafiriPia ukumbuke kuwa huyo Nyangasa ambae ametajwa kuwezesha huyo mchezo alikuwa dc kipindi hicho hicho cha jpm
Hata iwe miaka 20 mahakama zetu ni rubbish usikutane na mwenye pesa na influence umekwishaMimi ni mtumishi wa mahakama kwa miaka saba sasa
We nitukane lakini ushirikina hausaidii kitu hapo dawa ya moto ni moto,chuma kwa chuma. Ushirikina ungekuwa unasaidia mahakama na benki zisingetumika hapo.Una mavi wewee
Hiki kisa nakikumbuka na hiyo station iliwahi tangazwa humu inauzwa.Brother kila kitu kitakuwa wazi humu na mitandao mengine na vyombo vyote vya habari soon.
Kiufupi ardhi yangu yenye kituo Cha mafuta ukubwa wa ekari nne Iko kwenye location nzuri Sana kama mshapiti daraja jipya la Nyerere kigamboni ukivuka depot za mafuta tu Kuna roundabout kushoto unarudi ferry kuli unaenda mji mwema na kibada Sasa lilie eneo linalo face roundabout kulikuwa na sheli JM maarufu panaitwa Kwa msomali.
Elewa kiufupi GSM waliishawishi baadhi ya maofisa wa bank wawauzie bila kufata procedure yoyote ya mnada Wala hata kufanywa current valuation report Ili ku determine forced sale value.
Walichokifanya ni kuwauzia eneo la bilioni 7 Kwa milioni 700 tena Kwa ushahidi hata hiyo milioni 700 imelipwa Kwa mfungu takriban miezi minne Sasa hiyo ni public auction?hakuna sehemu hata Moja siku hiyo waliyojifanya walifanya mnada walitangaza kwenye gazeti.
Kisheria na taratibu zote hazikufatwa na mahakama inajua haki Iko wapi ila GSM ananua hukumu.
Bank imeshiriki dhulma yote hiyo Kwa
Influence na assurance ya GSM walitumia company iitwayo RIO development ltd ambayo ndugu zake FSM na Salah ndiyo share holders.
Achana na upuuzi uliofanywa nikiwa kituo Cha polisi Kwa siku 9 kabla kusokotwa kupelekaa keko.ili kumnasua mdogo wake aliyetumia silaha anaitwa Fahad kajeruhi watu na silaha watu hao wote wameenda kutoa ushahidi hakuna hatua inachukuliwa.
Wanatumia nguvu kubwa Sana kuficha mabaya Yao hii familia Kuna watu wengi mashuhuri,waandishi wa habari na mapolisi wako kwenye payroll Yao.
Naandika Kwa ufupi tena soon documents zote na evidence zote zitakuwa mitandaoni na vyombo vyote vya habari.
Mh.rais mama ana Nia nzuri na hii nchi na muumini wa haki lakini Kuna haja watanzania tumfungue macho ajue waliyomzunguka si watu wazuri.
Wewe ulikuwa unadaiwa na bank,bank ikapiga mnada dhamana yako bila kufuata taratibu si ndio? Mimi nimeelewa hivyo.Kama ni hivyo kweli una haki yako.Brother kila kitu kitakuwa wazi humu na mitandao mengine na vyombo vyote vya habari soon.
Kiufupi ardhi yangu yenye kituo Cha mafuta ukubwa wa ekari nne Iko kwenye location nzuri Sana kama mshapiti daraja jipya la Nyerere kigamboni ukivuka depot za mafuta tu Kuna roundabout kushoto unarudi ferry kuli unaenda mji mwema na kibada Sasa lilie eneo linalo face roundabout kulikuwa na sheli JM maarufu panaitwa Kwa msomali.
Elewa kiufupi GSM waliishawishi baadhi ya maofisa wa bank wawauzie bila kufata procedure yoyote ya mnada Wala hata kufanywa current valuation report Ili ku determine forced sale value.
Walichokifanya ni kuwauzia eneo la bilioni 7 Kwa milioni 700 tena Kwa ushahidi hata hiyo milioni 700 imelipwa Kwa mfungu takriban miezi minne Sasa hiyo ni public auction?hakuna sehemu hata Moja siku hiyo waliyojifanya walifanya mnada walitangaza kwenye gazeti.
Kisheria na taratibu zote hazikufatwa na mahakama inajua haki Iko wapi ila GSM ananua hukumu.
Bank imeshiriki dhulma yote hiyo Kwa
Influence na assurance ya GSM walitumia company iitwayo RIO development ltd ambayo ndugu zake FSM na Salah ndiyo share holders.
Achana na upuuzi uliofanywa nikiwa kituo Cha polisi Kwa siku 9 kabla kusokotwa kupelekaa keko.ili kumnasua mdogo wake aliyetumia silaha anaitwa Fahad kajeruhi watu na silaha watu hao wote wameenda kutoa ushahidi hakuna hatua inachukuliwa.
Wanatumia nguvu kubwa Sana kuficha mabaya Yao hii familia Kuna watu wengi mashuhuri,waandishi wa habari na mapolisi wako kwenye payroll Yao.
Naandika Kwa ufupi tena soon documents zote na evidence zote zitakuwa mitandaoni na vyombo vyote vya habari.
Mh.rais mama ana Nia nzuri na hii nchi na muumini wa haki lakini Kuna haja watanzania tumfungue macho ajue waliyomzunguka si watu wazuri.
Ulikuwa unatumia ID gani? Hii ID ni ya mwaka jana tu .[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiki kisa nakikumbuka na hiyo station iliwahi tangazwa humu inauzwa.
Baadae ndio mkapiga a risasi, kwa sasa ni Engen
Angalia profile utajua ID ya liniUlikuwa unatumia ID gani? Hii ID ni ya mwaka jana tu .[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana mkuuNimeona malalamiko ya mwenzetu kama binaadamu inasikitisha.
Hilo ni dogo Sana nikileta ushenzi waliyonifanyia Mimi hiyo familia ya GSM kudhulumu ardhi yangu kisa imekaa strategic na mahitaji Yao kigamboni basi nchi itazizima hii.
Mimi ni muumini wa serikali kwamba ipo na wapo serikalini watu wenye utu wa kusimamia haki za wanyonge.
Toka nimetoka gerezani Nina mwaka mmoja Kwa kesi ya kubambikiwa mauaji kisa wadhulumu ardhi yangu yenye kituo Cha mafuta na godown yenye value zaidi ya bilioni 7 Kwa kucheza deal na bank ya access na kunibambikia deni kutoka milioni 400 mpaka 1.8b Ili Kuni frustrate na wakauziana kinyemela bila kufata taratibu halali hata Moja na ushahidi wote upo Kwa familia nzima nimeutawanya Kwa serikali mbaya zaidi mahakama yote wameishika na wanasema mahakama zote zinakunywa chai salamander.
Kesi ya high court imehukumiwa na judge muhuni latifa mansour ambae ana mahusiano nao na nilivyo appeal wakacheza wakaipeleka Kwa ma judge wao na watunzia heshima.
Wasipojirekebisha kwenye review hakika nitawamwaga uchafu wao wote.
Tarehe 26/8/2021 baada ya uvamizi na kupora Mali zangu zengine zenye thamani zaidi ya milioni 500 na kutengenezewa kesi mbaya ya mauaji na GSM na vibaraka wake mapolisi na DC.kigamboni f.nyangasa.
Nimekaa gerezani keko from 4/9/21 to 18/3/22.
Nimeandika Kwa uchache tu nasubiria msaada Kwa jitihada ya mwisho tuliyoifanya kama familia kwenda mh.rais mama.
Na sisi ni waarabu wenzao na hatuogopi chochote ni Bora nife kuliko kudhulumiwa na kunyanyaswa kisa tajiri GSM dhulumaat .
Na Wala wasihangaike na Mimi vitisho vyao ni vingi kwangu mimi but siwaogopi na wanajua ninapoishi wajue siko peke yangu kesi hii mama yangu kaka zangu dada zangu na wake zangu na watoto zangu Tisa wote Wana kila evidence needed in their records.
Waziri wa mambo ya ndani na wizara yake yote wote wanajua. lolote likinipata basi watu Hawa ndiyo wahusika.
1.GSM
2.FSM
3.Silent ocean
4.said home shopping
5.na mapolisi wengi majina Nayahifadhi
Maana sijawahi kuona mpaka mawaziri wanajitoa akili kutetea dhulma ya huyu GSM na familia yake.
Tegemeo langu ni Allah(S.W)
Mh.rais Samia mama unaupiga mwingi Sana natumai malalamiko yangu uliyapata in writings and all evidence ndiyo tegemeo nililobaki nasubiri kwako na Kwa waziri mkuu mh.kassim majaaliwa.
Ahsanteni.
Shida hujui kitu ndo maaana hivi mfano mkristo akisema anasoma novena ni shirki?We nitukane lakini ushirikina hausaidii kitu hapo dawa ya moto ni moto,chuma kwa chuma. Ushirikina ungekuwa unasaidia mahakama na benki zisingetumika hapo.
Alipaswa awaanike hao corrupt judges.wakacheza wakaipeleka Kwa ma judge wao na watunzia heshima.
Kwa hiyo statement ndogo tu ya kusema unawatunzia heshima majudge wao Wacha wakudhulumu tu maana hauko sawa watu wameshiriki kukuvunjia heshima na kukutapeli ww unakuja SEMA et nawatunzia heshima majudge wao Mzee uko sawa kabsa ww?
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Mkuu,pole sana nakuomba na wewe utakapoona inafaa weka Uzi humu ili Serikali ione uchafu unaofanywa na hawa watu,Nimeona malalamiko ya mwenzetu kama binaadamu inasikitisha.
Hilo ni dogo Sana nikileta ushenzi waliyonifanyia Mimi hiyo familia ya GSM kudhulumu ardhi yangu kisa imekaa strategic na mahitaji Yao kigamboni basi nchi itazizima hii.
Mimi ni muumini wa serikali kwamba ipo na wapo serikalini watu wenye utu wa kusimamia haki za wanyonge.
Toka nimetoka gerezani Nina mwaka mmoja Kwa kesi ya kubambikiwa mauaji kisa wadhulumu ardhi yangu yenye kituo Cha mafuta na godown yenye value zaidi ya bilioni 7 Kwa kucheza deal na bank ya access na kunibambikia deni kutoka milioni 400 mpaka 1.8b Ili Kuni frustrate na wakauziana kinyemela bila kufata taratibu halali hata Moja na ushahidi wote upo Kwa familia nzima nimeutawanya Kwa serikali mbaya zaidi mahakama yote wameishika na wanasema mahakama zote zinakunywa chai salamander.
Kesi ya high court imehukumiwa na judge muhuni latifa mansour ambae ana mahusiano nao na nilivyo appeal wakacheza wakaipeleka Kwa ma judge wao na watunzia heshima.
Wasipojirekebisha kwenye review hakika nitawamwaga uchafu wao wote.
Tarehe 26/8/2021 baada ya uvamizi na kupora Mali zangu zengine zenye thamani zaidi ya milioni 500 na kutengenezewa kesi mbaya ya mauaji na GSM na vibaraka wake mapolisi na DC.kigamboni f.nyangasa.
Nimekaa gerezani keko from 4/9/21 to 18/3/22.
Nimeandika Kwa uchache tu nasubiria msaada Kwa jitihada ya mwisho tuliyoifanya kama familia kwenda mh.rais mama.
Na sisi ni waarabu wenzao na hatuogopi chochote ni Bora nife kuliko kudhulumiwa na kunyanyaswa kisa tajiri GSM dhulumaat .
Na Wala wasihangaike na Mimi vitisho vyao ni vingi kwangu mimi but siwaogopi na wanajua ninapoishi wajue siko peke yangu kesi hii mama yangu kaka zangu dada zangu na wake zangu na watoto zangu Tisa wote Wana kila evidence needed in their records.
Waziri wa mambo ya ndani na wizara yake yote wote wanajua. lolote likinipata basi watu Hawa ndiyo wahusika.
1.GSM
2.FSM
3.Silent ocean
4.said home shopping
5.na mapolisi wengi majina Nayahifadhi
Maana sijawahi kuona mpaka mawaziri wanajitoa akili kutetea dhulma ya huyu GSM na familia yake.
Tegemeo langu ni Allah(S.W)
Mh.rais Samia mama unaupiga mwingi Sana natumai malalamiko yangu uliyapata in writings and all evidence ndiyo tegemeo nililobaki nasubiri kwako na Kwa waziri mkuu mh.kassim majaaliwa.
Ahsanteni.
Ndo nimeshangaa kusema anawatunzia heshima watu walio shiriki kumfanyia dhulmaAlipaswa awaanike hao corrupt judges.
Hao sio watoa haki ni wakandamiza haki wanaobariki dhulma.
K. Koo panatisha kwa ulimwengo wa unaonekana na usionekanaK-koo kumejaa umafia wa kiwango cha sgr na ukijua siri za k-koo juu ya biashara basi umesha toka kimaisha,kesi nyingi huwa hazipelekwi kwenye vyombo vya haki na dola
"Might is Justice"
kwa kifupi tuko awamu ya nneJPM aliwafanya Hawa Matajiri janjajanja, Kuishi kama Mashetani.
Ila sahizi Mashetani ndio waongoza Nchi, ni haki Yao kusema "Serikali hii haiwafanyi kitu'.
Wapo sahihi Mkuu, hakuna wa kuwafanyia kitu sasa