Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Video ziko nyingi tv news nyingi ziliripoti tukio jioni lakini uhalifu ulifanyika tokea alfajiri kuteka Mali zangu na wafanyakazi wangu wa pump kuwapora kila kitu na kikosi kiliingia kikiongozwa na mwarabu fighter bouncer na wengine walivaa musk na huyo Fahad akiwa na bastola anapiga kama mwandaazimu.

Ndio niliona video na risasi juu
Pole sana ila haki ya mtu huwa haipotei Ndio maana majanga huwa hayaishi ndani kwa sababu ya dhuluma na ubabe
 
Video ziko nyingi tv news nyingi ziliripoti tukio jioni lakini uhalifu ulifanyika tokea alfajiri kuteka Mali zangu na wafanyakazi wangu wa pump kuwapora kila kitu na kikosi kiliingia kikiongozwa na mwarabu fighter bouncer na wengine walivaa musk na huyo Fahad akiwa na bastola anapiga kama mwandaazimu.
Duh jamani 🥲
 
Mkuu,pole sana nakuomba na wewe utakapoona inafaa weka Uzi humu ili Serikali ione uchafu unaofanywa na hawa watu,

Nimeshangaa na DC Kigamboni F. Nyangasa nae alishiriki?
Yes alishiriki nikiwa tazara na kijana wangu anae niendesha niliwasiliana na DC.nyangasa,baada kupata tuhuma za mauaji kutoka Kwa ocd. walelo kupitia Simu aliyonipigia milango ya saa Moja usiku nikamwambia ocd.walelo mbona unanipigia kunituhumu na jambo la mauaji na wala siko kigamboni muda huu na nikamwambia ocd unadhani ungefanya kazi Yako tokea saa 12 alfajiri nilivyokupigia kukuomba msaada kwamba eneo langu limetekwa na wafanyakazi wangu wote wako chini ya ulinzi sijui usalama wao ungefika kutoa msaada unadhani yangetokea haya ambayo unanituhumu akakata Simu ocd.

Nilimtuma kaka yangu na manager wangu tokea saa mbili asubuhi wafike Kwa ocd kigamboni mpaka takriban saa nñe wakajibiwa polisi kigamboni na ocd hawawezi kutoa msaada mpaka order kutoka juu.

Kipindi hiko Cha asubuhi Mimi nikiwa central polisi nikitafuta msaada Kwa muliro ambae sikumpata lakini siku kumi kabla ya tukio nilimuandikia muliro barua ya kumjulisha kuwa Kuna njama ambayo imepangwa kufanya uvamizi katika eneo langu.

Nilikutana na GSM ofisini kwake salamander kabla ya tukio siku kaka saba akaniambia unataka nikupe mil 100 ikusaidie maishani mwako mahakamani nimekushinda na ukienda appeal kesi nitaitisha ndani ya miezi 6 mpaka 8 itahukumiwa nitakushinda tena mahakama yote inakunywa chai salamander.

Kiufupi sitoandika tena lakini wajipange soon tutalipa na mh.rais mitandaoni na tumejipanga vyema.

Na vyombo vya habari vyote vitakavyo kataa kurusha tutavianika.

Hivi wanajua struggle ya miaka halali kutengeneza uchumi na biashara yenye value takriban 10 bilion alafu anakuja jizi kama GSM linatamani na kukurudisha back to square one
 
Yes alishiriki nikiwa tazara na kijana wangu anae niendesha niliwasiliana na DC.nyangasa,baada kupata tuhuma za mauaji kutoka Kwa ocd. walelo kupitia Simu aliyonipigia milango ya saa Moja usiku nikamwambia ocd.walelo mbona unanipigia kunituhumu na jambo la mauaji na wala siko kigamboni muda huu na nikamwambia ocd unadhani ungefanya kazi Yako tokea saa 12 alfajiri nilivyokupigia kukuomba msaada kwamba eneo langu limetekwa na wafanyakazi wangu wote wako chini ya ulinzi sijui usalama wao ungefika kutoa msaada unadhani yangetokea haya ambayo unanituhumu akakata Simu ocd.

Nilimtuma kaka yangu na manager wangu tokea saa mbili asubuhi wafike Kwa ocd kigamboni mpaka takriban saa nñe wakajibiwa polisi kigamboni na ocd hawawezi kutoa msaada mpaka order kutoka juu.

Kipindi hiko Cha asubuhi Mimi nikiwa central polisi nikitafuta msaada Kwa muliro ambae sikumpata lakini siku kumi kabla ya tukio nilimuandikia muliro barua ya kumjulisha kuwa Kuna njama ambayo imepangwa kufanya uvamizi katika eneo langu.

Nilikutana na GSM ofisini kwake salamander kabla ya tukio siku kaka saba akaniambia unataka nikupe mil 100 ikusaidie maishani mwako mahakamani nimekushinda na ukienda appeal kesi nitaitisha ndani ya miezi 6 mpaka 8 itahukumiwa nitakushinda tena mahakama yote inakunywa chai salamander.

Kiufupi sitoandika tena lakini wajipange soon tutalipa na mh.rais mitandaoni na tumejipanga vyema.

Na vyombo vya habari vyote vitakavyo kataa kurusha tutavianika.

Hivi wanajua struggle ya miaka halali kutengeneza uchumi na biashara yenye value takriban 10 bilion alafu anakuja jizi kama GSM linatamani na kukurudisha back to square one
Du!Inashangaza na kusikitisha sana,tunasubiri uwaanike tu Mkuu,maana naona serikali kaiweka mfukoni hasa.
 
Nimesoma hii taarifa na nimejaribu kufatilia je tangu ilipotoka hapa jukwaani kuna mrejesho wowote kutoka kwenye hizi Mamlaka na watu waliotajwa?
Kama haya mambo kwa mujibu wa mleta mada ni kweli, Hii ni zaid ya dhambi hata shetani mwenyewe huenda alikimbia kuogopa ushahidi kwa Mungu.
Mawazir, DC, Maji,Polisi!! yaani wote hawa wanajua hii dhulma? Na wapo Maofisini wanafanya kazi, Za kumtumikia nani? Mwananchi? Hapana...Mungu mwenyewe Kuna matendo haysameheki na ukiyaacha unakua sehemu ya huo Uovu.
Tutafunga kama kwa mikono yetu tumeshindwa kumalizana na hawa Waovu. Na hizi tuhuma kama zina ushahidi kabisa tutazifikisha kwa Mkuu wa nchi ili tujitoe kwenye ghadhabu za Mungu za kufumbia macho dhulma za namna hii.
Wazir, DC, Jaji uliyemtaja, watuhumiwa wa Uovu huo ni Muslims, hii haukubaliki kwenye Imani yetu, hakika kama ni kweli wanastahili kulaaniwa na kila Muislam kwa Uovu huo, nasema kama ni kweli, Sisi tutafunga kumshtakia Mungu kwa wenzetu hawa kutenda kinyume na Imani yetu.
Pole sana kwa hayo, sisi hatujui ila Mungu anajua na analipa hapa hapa.
Jamaa wanaua na wanatafuta wa kula masega ya victims wao.

So Sod ukiwaona sasa kwenge public events utasema Hawa ndio watu sasa kumbe
 
ila kwa andiko lake la jana inaonyesha ni kweli walidhulumiana kama nilivyosema
Sasa ndo ajichukulie Sheria zote mikononi mwake?!
Amekuwa serikali ndani ya serikali..
Maana kwa mujibu wa mtoa mada, huyo Salaah anakamata yeye, anatuhumu yeye, anahukumu yeye, anaadhibu yeye, anafilisi yeye, na anasema anaweza kuua na hakuna wa kumuuliza, na hata mapolisi wanamuogopa kulinda ajira zao, nk.. !!!

To add salt to injury, ofisi yake ipo adjacent na ya ccm pale Lumumba!
So, hata chama tawala hakifurukuti kwa huyo Salaah?!

Kama hizi tuhuma ni kweli, basi we have a failed state here!
 
Sasa ndo ajichukulie Sheria zote mikononi mwake?!
Amekuwa serikali ndani ya serikali..
Maana kwa mujibu wa mtoa mada, huyo Salaah anakamata yeye, anatuhumu yeye, anahukumu yeye, anaadhibu yeye, anafilisi yeye, na anasema anaweza kuua na hakuna wa kumuuliza, na hata mapolisi wanamuogopa kulinda ajira zao, nk.. !!!

To add salt to injury, ofisi yake ipo adjacent na ya ccm pale Lumumba!
So, hata chama tawala hakifurukuti kwa huyo Salaah?!

Kama hizi tuhuma ni kweli, basi we have a failed state here!
Huwezi pata utajiri kwa kufuata sheria Brother. hata mimi ukinidhulumu sina muda wa kukupeleka mahakamani tunamalizana tu ndugu zako wataamua ukazikwe wapi
 
Kwa leo sitaandika mengi.

Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.

Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.

Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.

Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.

Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.

Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.

Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.

Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.

Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.

Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.


Kwa maelezo yako hukupaswa kutumia neno "kutaifisha mali" badala yake ungetumia neno "kudhulumu mali".

Kutaifisha mali ni kuchukua mali ya mtu na kuifanya iwe mali ya Taifa (Nationalization).
 
Matajiri wengi wapo kwenye technology na sio kuuza vijuice sjui unga , hamna kitu , kdogo na kwenye e-commerce watu wanafanya vzur
Unaponda biashara ya mtu mwingine wakati mwenyewe ndio inamuingizia pesa ambayo unaweza maisha yako yote usiipate.
 
Back
Top Bottom