Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Habari,naombeni kufaham mfanyabiashara km huyu kukaa na dola nyingi Nyumbani au ofisini kwake badala ya bank! Anayumbishaje uchumi wa inchi???na anatakatisha vp??
Malipo yanapofanyika cash kama hivyo, maana yake hakuna record ya hiyo transaction ya pesa, pia anapopokea Tshs off the hooks na kumnunulia mteja Bidhaa kwa dollars off the hooks hiyo ni sawa na kuendesha bureau de change bila kibali na anaikosesha serikali mapato yatokanayocna miamala husika, na kwa kuwa ni off the books, hata pesa za madawa ya kukevya zinaweza kutumika kuagiza mizigo na hivyo zimetoka kuwa chafu hadi kuwa safi baada ya mizigo husika kuuzwa
 
Malipo yanapofanyika cash kama hivyo, maana yake hakuna record ya hiyo transaction ya pesa, pia anapopokea Tshs off the hooks na kumnunulia mteja Bidhaa kwa dollars off the hooks hiyo ni sawa na kuendesha bureau de change bila kibali na anaikosesha serikali mapato yatokanayocna miamala husika, na kwa kuwa ni off the books, hata pesa za madawa ya kukevya zinaweza kutumika kuagiza mizigo na hivyo zimetoka kuwa chafu hadi kuwa safi baada ya mizigo husika kuuzwa
Thanks sana nimekuelewa
 
Eti Kwa JPM Bado GSM alikuwa juu unataka kumdanganya nani humu kipindi cha JPM walihama na nchi kabisa na operations zao za kitapeli na ujanja walizifanya wakiwa nje ya nchi,waliishi south Africa na mpaka walisomesha watoto wao huko bada JPM kufariki ndiyo walirudi huku tena mazima.
Hivi unamjua GSM kweli wewe?!

Ni GSM yupi ambae alihama nchi wakati wa JPM?!



Hapo juu ni October 11, 2020 Ghalib akiingia Uwanja wa Taifa huku akiwa na bashasha tele usoni



Hapo juu ni August 2020 Ghalib akiwa na familia yake Taifa

Sasa alihamia nchi ipi yenye huo uwanja?!
 
Hivi unamjua GSM kweli wewe?!

Ni GSM yupi ambae alihama nchi wakati wa JPM?!



Hapo juu ni October 11, 2020 Ghalib akiingia Uwanja wa Taifa huku akiwa na bashasha tele usoni



Hapo juu ni August 2020 Ghalib akiwa na familia yake Taifa

Sasa alihamia nchi ipi yenye huo uwanja?!

Jamaa hawajui tofauti ya GSM na manji
 
Nimeona malalamiko ya mwenzetu kama binaadamu inasikitisha.

Hilo ni dogo Sana nikileta ushenzi waliyonifanyia Mimi hiyo familia ya GSM kudhulumu ardhi yangu kisa imekaa strategic na mahitaji Yao kigamboni basi nchi itazizima hii.

Mimi ni muumini wa serikali kwamba ipo na wapo serikalini watu wenye utu wa kusimamia haki za wanyonge.

Toka nimetoka gerezani Nina mwaka mmoja Kwa kesi ya kubambikiwa mauaji kisa wadhulumu ardhi yangu yenye kituo Cha mafuta na godown yenye value zaidi ya bilioni 7 Kwa kucheza deal na bank ya access na kunibambikia deni kutoka milioni 400 mpaka 1.8b Ili Kuni frustrate na wakauziana kinyemela bila kufata taratibu halali hata Moja na ushahidi wote upo Kwa familia nzima nimeutawanya Kwa serikali mbaya zaidi mahakama yote wameishika na wanasema mahakama zote zinakunywa chai salamander.

Kesi ya high court imehukumiwa na judge muhuni latifa mansour ambae ana mahusiano nao na nilivyo appeal wakacheza wakaipeleka Kwa ma judge wao na watunzia heshima.

Wasipojirekebisha kwenye review hakika nitawamwaga uchafu wao wote.

Tarehe 26/8/2021 baada ya uvamizi na kupora Mali zangu zengine zenye thamani zaidi ya milioni 500 na kutengenezewa kesi mbaya ya mauaji na GSM na vibaraka wake mapolisi na DC.kigamboni f.nyangasa.

Nimekaa gerezani keko from 4/9/21 to 18/3/22.

Nimeandika Kwa uchache tu nasubiria msaada Kwa jitihada ya mwisho tuliyoifanya kama familia kwenda mh.rais mama.

Na sisi ni waarabu wenzao na hatuogopi chochote ni Bora nife kuliko kudhulumiwa na kunyanyaswa kisa tajiri GSM dhulumaat .

Na Wala wasihangaike na Mimi vitisho vyao ni vingi kwangu mimi but siwaogopi na wanajua ninapoishi wajue siko peke yangu kesi hii mama yangu kaka zangu dada zangu na wake zangu na watoto zangu Tisa wote Wana kila evidence needed in their records.

Waziri wa mambo ya ndani na wizara yake yote wote wanajua. lolote likinipata basi watu Hawa ndiyo wahusika.

1.GSM
2.FSM
3.Silent ocean
4.said home shopping
5.na mapolisi wengi majina Nayahifadhi

Maana sijawahi kuona mpaka mawaziri wanajitoa akili kutetea dhulma ya huyu GSM na familia yake.

Tegemeo langu ni Allah(S.W)

Mh.rais Samia mama unaupiga mwingi Sana natumai malalamiko yangu uliyapata in writings and all evidence ndiyo tegemeo nililobaki nasubiri kwako na Kwa waziri mkuu mh.kassim majaaliwa.

Ahsanteni.
Pole sana MA ltd nakukumbuka vyema ila ulifeli kiasi ndugu yangu

Pole sana haki yako inakuja
 
Nimeona malalamiko ya mwenzetu kama binaadamu inasikitisha.

Hilo ni dogo Sana nikileta ushenzi waliyonifanyia Mimi hiyo familia ya GSM kudhulumu ardhi yangu kisa imekaa strategic na mahitaji Yao kigamboni basi nchi itazizima hii.

Mimi ni muumini wa serikali kwamba ipo na wapo serikalini watu wenye utu wa kusimamia haki za wanyonge.

Toka nimetoka gerezani Nina mwaka mmoja Kwa kesi ya kubambikiwa mauaji kisa wadhulumu ardhi yangu yenye kituo Cha mafuta na godown yenye value zaidi ya bilioni 7 Kwa kucheza deal na bank ya access na kunibambikia deni kutoka milioni 400 mpaka 1.8b Ili Kuni frustrate na wakauziana kinyemela bila kufata taratibu halali hata Moja na ushahidi wote upo Kwa familia nzima nimeutawanya Kwa serikali mbaya zaidi mahakama yote wameishika na wanasema mahakama zote zinakunywa chai salamander.

Kesi ya high court imehukumiwa na judge muhuni latifa mansour ambae ana mahusiano nao na nilivyo appeal wakacheza wakaipeleka Kwa ma judge wao na watunzia heshima.

Wasipojirekebisha kwenye review hakika nitawamwaga uchafu wao wote.

Tarehe 26/8/2021 baada ya uvamizi na kupora Mali zangu zengine zenye thamani zaidi ya milioni 500 na kutengenezewa kesi mbaya ya mauaji na GSM na vibaraka wake mapolisi na DC.kigamboni f.nyangasa.

Nimekaa gerezani keko from 4/9/21 to 18/3/22.

Nimeandika Kwa uchache tu nasubiria msaada Kwa jitihada ya mwisho tuliyoifanya kama familia kwenda mh.rais mama.

Na sisi ni waarabu wenzao na hatuogopi chochote ni Bora nife kuliko kudhulumiwa na kunyanyaswa kisa tajiri GSM dhulumaat .

Na Wala wasihangaike na Mimi vitisho vyao ni vingi kwangu mimi but siwaogopi na wanajua ninapoishi wajue siko peke yangu kesi hii mama yangu kaka zangu dada zangu na wake zangu na watoto zangu Tisa wote Wana kila evidence needed in their records.

Waziri wa mambo ya ndani na wizara yake yote wote wanajua. lolote likinipata basi watu Hawa ndiyo wahusika.

1.GSM
2.FSM
3.Silent ocean
4.said home shopping
5.na mapolisi wengi majina Nayahifadhi

Maana sijawahi kuona mpaka mawaziri wanajitoa akili kutetea dhulma ya huyu GSM na familia yake.

Tegemeo langu ni Allah(S.W)

Mh.rais Samia mama unaupiga mwingi Sana natumai malalamiko yangu uliyapata in writings and all evidence ndiyo tegemeo nililobaki nasubiri kwako na Kwa waziri mkuu mh.kassim majaaliwa.

Ahsanteni.
Duh! Hii stori nilisikiaga mitandaoni. Kumbe upande wa pili hali ilikuwa hivi.

Hata ishu ya feitoto inaonekana huko kwa gsm kuna shida ila shida sisi tunasikilizia upande mmoja tu na hela zake anazotoa yanga lazima watu waamini 🤣🤣🤣 ila pesa ni kitu kingine 🤣
 
Yes alishiriki nikiwa tazara na kijana wangu anae niendesha niliwasiliana na DC.nyangasa,baada kupata tuhuma za mauaji kutoka Kwa ocd. walelo kupitia Simu aliyonipigia milango ya saa Moja usiku nikamwambia ocd.walelo mbona unanipigia kunituhumu na jambo la mauaji na wala siko kigamboni muda huu na nikamwambia ocd unadhani ungefanya kazi Yako tokea saa 12 alfajiri nilivyokupigia kukuomba msaada kwamba eneo langu limetekwa na wafanyakazi wangu wote wako chini ya ulinzi sijui usalama wao ungefika kutoa msaada unadhani yangetokea haya ambayo unanituhumu akakata Simu ocd.

Nilimtuma kaka yangu na manager wangu tokea saa mbili asubuhi wafike Kwa ocd kigamboni mpaka takriban saa nñe wakajibiwa polisi kigamboni na ocd hawawezi kutoa msaada mpaka order kutoka juu.

Kipindi hiko Cha asubuhi Mimi nikiwa central polisi nikitafuta msaada Kwa muliro ambae sikumpata lakini siku kumi kabla ya tukio nilimuandikia muliro barua ya kumjulisha kuwa Kuna njama ambayo imepangwa kufanya uvamizi katika eneo langu.

Nilikutana na GSM ofisini kwake salamander kabla ya tukio siku kaka saba akaniambia unataka nikupe mil 100 ikusaidie maishani mwako mahakamani nimekushinda na ukienda appeal kesi nitaitisha ndani ya miezi 6 mpaka 8 itahukumiwa nitakushinda tena mahakama yote inakunywa chai salamander.

Kiufupi sitoandika tena lakini wajipange soon tutalipa na mh.rais mitandaoni na tumejipanga vyema.

Na vyombo vya habari vyote vitakavyo kataa kurusha tutavianika.

Hivi wanajua struggle ya miaka halali kutengeneza uchumi na biashara yenye value takriban 10 bilion alafu anakuja jizi kama GSM linatamani na kukurudisha back to square one
Pole sana!
 
Brother kila kitu kitakuwa wazi humu na mitandao mengine na vyombo vyote vya habari soon.

Kiufupi ardhi yangu yenye kituo Cha mafuta ukubwa wa ekari nne Iko kwenye location nzuri Sana kama mshapiti daraja jipya la Nyerere kigamboni ukivuka depot za mafuta tu Kuna roundabout kushoto unarudi ferry kuli unaenda mji mwema na kibada Sasa lilie eneo linalo face roundabout kulikuwa na sheli JM maarufu panaitwa Kwa msomali.

Elewa kiufupi GSM waliishawishi baadhi ya maofisa wa bank wawauzie bila kufata procedure yoyote ya mnada Wala hata kufanywa current valuation report Ili ku determine forced sale value.

Walichokifanya ni kuwauzia eneo la bilioni 7 Kwa milioni 700 tena Kwa ushahidi hata hiyo milioni 700 imelipwa Kwa mfungu takriban miezi minne Sasa hiyo ni public auction?hakuna sehemu hata Moja siku hiyo waliyojifanya walifanya mnada walitangaza kwenye gazeti.

Kisheria na taratibu zote hazikufatwa na mahakama inajua haki Iko wapi ila GSM ananua hukumu.

Bank imeshiriki dhulma yote hiyo Kwa
Influence na assurance ya GSM walitumia company iitwayo RIO development ltd ambayo ndugu zake FSM na Salah ndiyo share holders.

Achana na upuuzi uliofanywa nikiwa kituo Cha polisi Kwa siku 9 kabla kusokotwa kupelekaa keko.ili kumnasua mdogo wake aliyetumia silaha anaitwa Fahad kajeruhi watu na silaha watu hao wote wameenda kutoa ushahidi hakuna hatua inachukuliwa.


Wanatumia nguvu kubwa Sana kuficha mabaya Yao hii familia Kuna watu wengi mashuhuri,waandishi wa habari na mapolisi wako kwenye payroll Yao.

Naandika Kwa ufupi tena soon documents zote na evidence zote zitakuwa mitandaoni na vyombo vyote vya habari.

Mh.rais mama ana Nia nzuri na hii nchi na muumini wa haki lakini Kuna haja watanzania tumfungue macho ajue waliyomzunguka si watu wazuri.
Nchi hii hovyo sana! Katiba inadharauliwa kuliko maelezo!
 
Umefanya vyema kuweka rekodi humu hata kama serkali wanadai wameinunua hawatainunua siku zote. Tutashughulika na kizazi chao kama watakuwa wamekufa.
Nasema hivi Vyombo vya Usalama ni corrupt kupitia mfumo
Nipeni support nagombea urais 2025 sina chama. Siku naapishwa watangulie kabisa mahabusu bila shuruti.
Hawa hawakuwepo kipindi cha afande MKAMA SHARP
 
Sasa apeleke mahakamani vipi wakati ushaambiwa serikali ipo mfukoni mwa Salaah, haki ataipata hapa hapa, huko mahakamani wote wameshanunuliwa. Arudishe mali za watu au alipuliwe, ni masaa 72 tu kapewa
Kweli umenikumbusha, wakati tuko watoto, mtu akikuzidi nguvu, akikuganyia jambo, unamwacha apite, alafu unaokota jiwe unampiga nalo, unamtupia tusi, alafu unakimbia.
 
Chuki zako binafsi tu na matajiri. Kama una ushahidi kwanini usiende mahakamani? huna mali anayoweza kuingangania salaa wala nini. Mwache atese hata nyie masikini wakati wa JPM mulijiona kama ma last born wa Rais mukajipiga kifua na kujiita wanyonge na wazalendo
MAHAKAMA ZP HIZI ZA KIBONGO RUSHWA WAZI WAZI
 
Yes alishiriki nikiwa tazara na kijana wangu anae niendesha niliwasiliana na DC.nyangasa,baada kupata tuhuma za mauaji kutoka Kwa ocd. walelo kupitia Simu aliyonipigia milango ya saa Moja usiku nikamwambia ocd.walelo mbona unanipigia kunituhumu na jambo la mauaji na wala siko kigamboni muda huu na nikamwambia ocd unadhani ungefanya kazi Yako tokea saa 12 alfajiri nilivyokupigia kukuomba msaada kwamba eneo langu limetekwa na wafanyakazi wangu wote wako chini ya ulinzi sijui usalama wao ungefika kutoa msaada unadhani yangetokea haya ambayo unanituhumu akakata Simu ocd.

Nilimtuma kaka yangu na manager wangu tokea saa mbili asubuhi wafike Kwa ocd kigamboni mpaka takriban saa nñe wakajibiwa polisi kigamboni na ocd hawawezi kutoa msaada mpaka order kutoka juu.

Kipindi hiko Cha asubuhi Mimi nikiwa central polisi nikitafuta msaada Kwa muliro ambae sikumpata lakini siku kumi kabla ya tukio nilimuandikia muliro barua ya kumjulisha kuwa Kuna njama ambayo imepangwa kufanya uvamizi katika eneo langu.

Nilikutana na GSM ofisini kwake salamander kabla ya tukio siku kaka saba akaniambia unataka nikupe mil 100 ikusaidie maishani mwako mahakamani nimekushinda na ukienda appeal kesi nitaitisha ndani ya miezi 6 mpaka 8 itahukumiwa nitakushinda tena mahakama yote inakunywa chai salamander.

Kiufupi sitoandika tena lakini wajipange soon tutalipa na mh.rais mitandaoni na tumejipanga vyema.

Na vyombo vya habari vyote vitakavyo kataa kurusha tutavianika.

Hivi wanajua struggle ya miaka halali kutengeneza uchumi na biashara yenye value takriban 10 bilion alafu anakuja jizi kama GSM linatamani na kukurudisha back to square one
Bado unamtegemea Rais akusaidie. Yule aliemwambia GSM "... Wala sikubinyi baba...."

Wanasiasa na watu wa coercive instruments sio wakuwaamini hata kidogo.

Kama kweli unataka pata haki Yako tafuta njia mbadala.
 
Back
Top Bottom