Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Ndio ilivyo na Mhindi anajua biashara hiyo ni zaidi ya 150 B bado kuna tambi, Majani ya Chai, Sukari, Mafuta ya kula. Huyu hater wa MO anazuzuka na Magari ya Bakheresa barabarani na Azam TV

SSB ana scania za kutosha mkuu ,MO bidhaa nyingine yeye ni chinga tu anabandika label,mmoja wa wazalishaji ,nasemaje mzalishaji wa sukari ni SSB ,MO ni chinga tu wa sukari ,ni kama bidhaa za umeme za mo ,yeye anabandika label ,ni sawa na wauza cover wa k/koo wanaotoa china wanaweka lable zao.
 
Hapa hauzungumziii ushabiki wa mpira,mimi nakwambia MO ni Subset ya SSB kama umepitia hesabu utajua na maanisha nini.

Hizo takataka anazouza MO(nimeita takataka kwasababu la low quality) ,SSB anazo zote tena zenye high quality halafu SSB ana vitu vingine vya ziada ambazo MO hatii hata pua.

Yaani na wewe hauna uelewa hata kidogo ,ebu pitia TCRA wakupe data za Azam kuhusu visimbuzi vyake vina wateja wangapi ,Dar yenyewe ina customers wa azam zaidi ya laki 5.....Azam yupo kwenye telecom ana Azampesa ,Azam ana spectrum yake soon atazindua mtandao wa simu....Huyo Tapeli wenu ni Promo tu lakini hafua dafu kwa SSB.

Ulimsikia wajina wake JayMO kwenye pesa ya madafu? Aliimba nataka kuwa na pesa kama bakresa mbona hakuimba kuwa na pesa kama MO? Konde Gang naye ana track kabisa ya inaitwa bakresa ikiilezea mitonyo ,Kwa Bongo Bakhresa ndiyo SI unit ya Pesa..Ukiacha unazi na ushabiki MO haingii hata chembe kwa SSB.

Mshindanisheni MO na kina Salaah maana hata kwa GSM anaweza asiingie.
Pole sana kwa chuki na MO. Wiki iliyopita kachukuwa tuzo 3 na Waziri Mkuu ndiye aliyemkabidhi Hassan Deji Mkurugenzi wa HR Dept. na Kwa Ishu ya mali za Bakheresa kuna mali zingine ni za viongozi wa Serikali
 
SSB ana scania za kutosha mkuu ,MO bidhaa nyingine yeye ni chinga tu anabandika label,mmoja wa wazalishaji ,nasemaje mzalishaji wa sukari ni SSB ,MO ni chinga tu wa sukari ,ni kama bidhaa za umeme za mo ,yeye anabandika label ,ni sawa na wauza cover wa k/koo wanaotoa china wanaweka lable zao.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 . Sasa MO mbona hayo magari naye anayo kibao tu, halafu ndio maana nimesema wewe upeo wako wa kufikiri bado ni mdogo sana hivi na wewe unazuzuka na magari? wakati huyo Bakheresa huwa anapewa mkopo wa magari hata 100? Sijui Wewe ni Me au Ke ?
Unaidharau sukari, tambi na kiberiti anachouza MO wakati hicho ndio kinaingiza hela nyingi kuliko hata hayo Malori ya Bakheresa unayoyaona huko barabara
 
Kwa leo sitaandika mengi.

Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.

Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.

Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.

Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.

Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.

Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.

Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.

Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.

Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.

Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
Hayo masaa 72 bado tu?
 
Hapa hauzungumziii ushabiki wa mpira,mimi nakwambia MO ni Subset ya SSB kama umepitia hesabu utajua na maanisha nini.

Hizo takataka anazouza MO(nimeita takataka kwasababu la low quality) ,SSB anazo zote tena zenye high quality halafu SSB ana vitu vingine vya ziada ambazo MO hatii hata pua.

Yaani na wewe hauna uelewa hata kidogo ,ebu pitia TCRA wakupe data za Azam kuhusu visimbuzi vyake vina wateja wangapi ,Dar yenyewe ina customers wa azam zaidi ya laki 5.....Azam yupo kwenye telecom ana Azampesa ,Azam ana spectrum yake soon atazindua mtandao wa simu....Huyo Tapeli wenu ni Promo tu lakini hafua dafu kwa SSB.

Ulimsikia wajina wake JayMO kwenye pesa ya madafu? Aliimba nataka kuwa na pesa kama bakresa mbona hakuimba kuwa na pesa kama MO? Konde Gang naye ana track kabisa ya inaitwa bakresa ikiilezea mitonyo ,Kwa Bongo Bakhresa ndiyo SI unit ya Pesa..Ukiacha unazi na ushabiki MO haingii hata chembe kwa SSB.

Mshindanisheni MO na kina Salaah maana hata kwa GSM anaweza asiingie.
Kuna umaarufu wa jina kutokana na kuanza biashara zamani na kuna utajiri kutokana na kupata faida nyingi kwenye biashara. Kipi na kipi hapa.!?
 
Wakati mwingine hata bila kuangalia Websites hata kwa kuangalia tu jinsi vile bidhaa za MO zinavyotumika mtaani. Hivi unajua kila siku MO energy inauza Chupa 1 milioni? mara mwaka mzima atauza chupa ngapi?
1,000,000 X 365 Ni sawa na Mauzo ya Chupa Bilion 3.5 za juice ya Energy na hapo ukippiga 3.5 Billioni mara bei ya kila cupa unapata shiling ngapi?
Wewe King Kong III nakuona bado huna uelewa wa biashara na ni limbukeni na haujui. Unazuzuka na Azam TV ambayo haina hata Wateja laki 5 hapa Tanzania? na gharama ya kifurushi ni sh 23,000 utapata shiling ngapi? bado hujalipia TCRA, Wafanyakazi, Umeme, TTCL n.k acha chuki na jifunze kuchambua mambo.

OKW BOBAN SUNZU na Scars huyu Utopolo ana msema vibaya Boss wetu hebu naoma na nyinyi mnisaidie kumpa maelezo kidogo ili chuki dhidi ya Boss MO iondoke akilini mwake
Kumbe ni Mwanayanga, basi nishaelewa chuki zake zimesababishwa na nini

Mo alisema juzi kuwa anatengeneza chupa bilioni 1 za vinywaji
 
Mkuu ungekuwa unajua kwenye group na firms usingeshapalia ,group inaweza ikawa na firms hata 100 na utakuta zinazopiga kazi labda 5 hizo nyingie zipo kwenye strategy ya upigaji tu na trust kiweb web.

Kila siku nakwambia Mo ni janja janja ,hivi unajua wafanyakazi 27,000? Nenda kwa HR muulize amewapa ajira wangapi contract basis....wakizidi 3000 niite mbwa nimekaa pale.....Usije ukawa unawahesabu hadi wamachinga wanaoenda kunua mabox ya sabuni na kuuza barabarani kwa rejareja ukawaingiza kwenye hao 27,000.

MO haingia kwa SSB hata kwa miaka 100...........Narudia "Numbers don't lie".
Bakhresa vitu vyake vyote vipo kwenye brand moja ya azam, ila mo ana viwanda na brand na biashara nyingi sana.

Mo kama mzalishaji
mafuta ya nyumbani
-mafuta maisha
-mafuta safi
-blueband mo margarine
-mafuta mpishi
-mafuta sunflower

vinywaji
-maji ya maisha
-maji masafi
-juice za pride
-soda za mo

nguo
-hakuna kampuni kubwa ya nguo kusini mwa jangwa la sahara kushinda metl. wana viwanda karibia kila mkoa wakitengeneza bidhaa za kanga na vitenge.

Vyakula
-unga wa ngano
-sukari
-korosho (mo cashew)

baiskeli
hapa kuna baisikeli za kawaida na za miguu mitatu za NABICO

mafuta ya magari
kampuni ya mo ya star oil ni moja ya wasambazaji wakubwa wa mafuta. uwezo wa lita milioni 5 kwa siku.

sabuni
-sabuni za royal
-sabuni za taifa
-sabuni za poa

mo kama mfanya biashara anaeagiza vitu nje
-agent wa LG tanzania analeta vitu kama mashine za kufulia, oven, mafridge na bidhaa nyengine za lg
-Agent wa TCL tanzania na TV zake
-analeta mitumba ya nguo
-AC za airlux
-battery za remote
-tractor za kulimia
-na mengine mengi kama big G, biscuit, tambi etc

mo kama muuzaji vitu nje ya nchi
jamaa anauza vitu vingi sana nje ya nchi kama
-katani
-korosho
-mbao
-nta
-choroko
-bidhaa nyengine tulizozitaja juu.

angalia hio diversity then compare na bakhresa.

Usipoelewa hapa basi Wewe utakuwa na shida
 
Bakhresa vitu vyake vyote vipo kwenye brand moja ya azam, ila mo ana viwanda na brand na biashara nyingi sana.

Mo kama mzalishaji
mafuta ya nyumbani
-mafuta maisha
-mafuta safi
-blueband mo margarine
-mafuta mpishi
-mafuta sunflower

vinywaji
-maji ya maisha
-maji masafi
-juice za pride
-soda za mo

nguo
-hakuna kampuni kubwa ya nguo kusini mwa jangwa la sahara kushinda metl. wana viwanda karibia kila mkoa wakitengeneza bidhaa za kanga na vitenge.

Vyakula
-unga wa ngano
-sukari
-korosho (mo cashew)

baiskeli
hapa kuna baisikeli za kawaida na za miguu mitatu za NABICO

mafuta ya magari
kampuni ya mo ya star oil ni moja ya wasambazaji wakubwa wa mafuta. uwezo wa lita milioni 5 kwa siku.

sabuni
-sabuni za royal
-sabuni za taifa
-sabuni za poa

mo kama mfanya biashara anaeagiza vitu nje
-agent wa LG tanzania analeta vitu kama mashine za kufulia, oven, mafridge na bidhaa nyengine za lg
-Agent wa TCL tanzania na TV zake
-analeta mitumba ya nguo
-AC za airlux
-battery za remote
-tractor za kulimia
-na mengine mengi kama big G, biscuit, tambi etc

mo kama muuzaji vitu nje ya nchi
jamaa anauza vitu vingi sana nje ya nchi kama
-katani
-korosho
-mbao
-nta
-choroko
-bidhaa nyengine tulizozitaja juu.

angalia hio diversity then compare na bakhresa.

Usipoelewa hapa basi Wewe utakuwa na shida
Hapo umemaliza kila kitu
 
Bakhresa vitu vyake vyote vipo kwenye brand moja ya azam, ila mo ana viwanda na brand na biashara nyingi sana.

Mo kama mzalishaji
mafuta ya nyumbani
-mafuta maisha
-mafuta safi
-blueband mo margarine
-mafuta mpishi
-mafuta sunflower

vinywaji
-maji ya maisha
-maji masafi
-juice za pride
-soda za mo

nguo
-hakuna kampuni kubwa ya nguo kusini mwa jangwa la sahara kushinda metl. wana viwanda karibia kila mkoa wakitengeneza bidhaa za kanga na vitenge.

Vyakula
-unga wa ngano
-sukari
-korosho (mo cashew)

baiskeli
hapa kuna baisikeli za kawaida na za miguu mitatu za NABICO

mafuta ya magari
kampuni ya mo ya star oil ni moja ya wasambazaji wakubwa wa mafuta. uwezo wa lita milioni 5 kwa siku.

sabuni
-sabuni za royal
-sabuni za taifa
-sabuni za poa

mo kama mfanya biashara anaeagiza vitu nje
-agent wa LG tanzania analeta vitu kama mashine za kufulia, oven, mafridge na bidhaa nyengine za lg
-Agent wa TCL tanzania na TV zake
-analeta mitumba ya nguo
-AC za airlux
-battery za remote
-tractor za kulimia
-na mengine mengi kama big G, biscuit, tambi etc

mo kama muuzaji vitu nje ya nchi
jamaa anauza vitu vingi sana nje ya nchi kama
-katani
-korosho
-mbao
-nta
-choroko
-bidhaa nyengine tulizozitaja juu.

angalia hio diversity then compare na bakhresa.

Usipoelewa hapa basi Wewe utakuwa na shida
Nasikia Mo ndio authorised importer wa pikipiki Boxer na muuzaji nje wa Alizeti.
 
Back
Top Bottom