🤔 huwa nafatilia post zako inaonekana unajua vitu vingi vya dili dili na ishu zingineWbc managers,akili zao wanazijua wenyewe. Bifu la nini wakati Harmonize alishawalipa chao ?Au ndo walitaka waendelee kumnyonya ?Na hivi Magu kadhibiti wauza ganda Sallam ndo hana chake kabisa,na Coronavirus nayo ikaja kupigilia msumari.
Tatizo Boss wao ukiondoka anakuchukia na hataki waliobaki wawasiliane naweHarmonize amejaribu sana kuenda sawa na wenzake aliowaacha WCB lakini jamaa wamejenga chuki kubwa dhidi yake.
Namshauri Harmo hizo bifu zisimpotezee muda aendelee kuchapa kazi
Haki vile. Ila watu wamemodify na kuipa maana nyingineSio kweli.
Wbc managers,akili zao wanazijua wenyewe. Bifu la nini wakati Harmonize alishawalipa chao ?Au ndo walitaka waendelee kumnyonya ?Na hivi Magu kadhibiti wauza ganda Sallam ndo hana chake kabisa,na Coronavirus nayo ikaja kupigilia msumari.
Tatizo Boss wao ukiondoka anakuchukia na hataki waliobaki wawasiliane nawe
Harmo walikuwa wanamtegemea sana,tangu aondoke wcb imeshuka kimziki
Naona unataka matusi kutoka kwa wafia chama
Mkuu ndo hivo ,hao huwa najiuliza wamelipwa kutetea chama humu au vipi maana siyo kwa mahaba yale
Mkuu umemaliza , naona mijitu inamponda Tu sallam lakn hatujui nyuma ya pazia , moja ya nguzo kuu ya WCB ni Mr Sallam , na huwez jua how konde gang wanafight kumwangusha mshikaji ila wapave the way , istoshe Harmonize amekuwa akimshutum vikali Sallam indirect na direct kuputia account zake za wambea za Instagram , mambo ni meng mda hautoshi ....Watu naona mnananga sallam tu lakin hamuongelei harmonize upande wake!
Sallam hapendi unafiki yule jamaa kama hataki ni hataki.
Haiwezekani mtu anakunanga kwenye mitandao halafu anakuja kukupa mkono kizembe tena anakufananisha na walemavu.
Nadhani harmonize ndo kakosea ilibidi harmonize asimfate sallam.
Note: sitetei mtu hapa, harmonize hakuondoka kwa kupenda bali ilibidi aondoke kwa kuwa taratibu za kujibakisha pale WCB zilishindikana ikabidi mzee baba aondoke tu
Kuna Usemi naupendaga sana uliokua unatumika kwenye harakati za kutafuta uhuru ulikua unasemaSawa ata africa iliachwa kuwa huru , lakini yanayotokea wote tunayashuhudia
bora hata sk amekataa mkono wa harmo kuna sie huku mitaani bwana hata kuangaliana usoni haiwezekani..ila sikwakuwa hao ni macelebriti ila mtaani kuna bifu mpaka unaomba msamahaMsibani morogoro mazishi ya Mke wa Babu Tale, SALAAM SK mmoja wa mameneja wa Diamond akataa mkono wa HARMONIZE, binfsi sijapenda bifu hadi msibani? kama hasira angekuwa nazo Harmonize kwa zile M600, sio yeye. Nb kumbe Wcb walikuwa wanafaidika na uwepo wa TEMBO sasa mambo magumu
mwisho wa siku wale wanajuana sie wengne tukae pembeni tu ...ndo haya kuanza kufatilia ugomvi wa penzi la anti na dancer mwisho wake wambea wakaumbuka..wanajuana wale tufanye yetu tuMkuu umemaliza , naona mijitu inamponda Tu sallam lakn hatujui nyuma ya pazia , moja ya nguzo kuu ya WCB ni Mr Sallam , na huwez jua how konde gang wanafight kumwangusha mshikaji ila wapave the way , istoshe Harmonize amekuwa akimshutum vikali Sallam indirect na direct kuputia account zake za wambea za Instagram , mambo ni meng mda hautoshi ....
tusisahau mziki ni sehemu inayohtaji sana fedha na sio tofauti...tukumbuke tu harmo tulikuwa hatumjui alisaidiwa na dai...tuwe wapole pia...kama hatukuchangia walau 200 ya kuendesha mziki wa harmoKuna Usemi naupendaga sana uliokua unatumika kwenye harakati za kutafuta uhuru ulikua unasema
" It is Better to die on yo feet rather than to live on yo knees"
Ni Afafhali Ufe Ukiwa Umesimama kwa miguu yako kuliko kuishi maisha ya kuwapigia watu magoti na kuwalamba miguu!
Imagine tungekua bado tunatawaliwa na wakoloni, walete maendeleo ya kila namna Lakini bado tuwe tunafungwa minyororo, tunauzwa kama watumwa n.k.... na hata katika hayo maendeleo kazi ngumu zote ni lazima tungezifanya sisi tena kwa kupigwa mijeledi, kwa jasho kwa damu na vifo
Hayo maendeleo yangekua yanatufaidisha nini sisi?
Uhuru ndo kila kitu, haya yanayotokea Acha Yatokee yanayoendelea Acha yaendelee tutapambana nayo mpaka mwisho wake ukifika mambo yatakua shwari!
Kikubwa tuko huru!
Hata Hamo kama Ameona kule Alikua Anatumia nguvu nyingi lakini Alikua hafaidiki wacha mtu Asimame kwa miguu yake bwana changamoto hazikosekanagi kwenye maisha
Kikubwa yuko huru na kazi zake mziki wake na kipato chake!
tusichokijua ni sawa na usiku wa giza..mbna lowasa alihama huku alafu akarudi ..lakini siri wanajua wenywe hao...mengne tuyaangalie tuyaache tuWbc managers,akili zao wanazijua wenyewe. Bifu la nini wakati Harmonize alishawalipa chao ?Au ndo walitaka waendelee kumnyonya ?Na hivi Magu kadhibiti wauza ganda Sallam ndo hana chake kabisa,na Coronavirus nayo ikaja kupigilia msumari.
Isije ikawa kikiMsibani morogoro mazishi ya Mke wa Babu Tale, SALAAM SK mmoja wa mameneja wa Diamond akataa mkono wa HARMONIZE, binfsi sijapenda bifu hadi msibani? kama hasira angekuwa nazo Harmonize kwa zile M600, sio yeye. Nb kumbe Wcb walikuwa wanafaidika na uwepo wa TEMBO sasa mambo magumu
Spatacus , mnyama mkali , punguza hasira za kikeSallam fala tu, zee la misifa sana na limefanya makusudi ili lizungumziwe, baada ya siku kadhaa utaona linapewa interview
Baada ya konde kusepa wcb posho za mameneja zilipungua, ndo maana hilo fala limenuna ni tabia za kike