Salaam wanaJF nikiwa Mogadishu Somalia nimepamis Nyumbani Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Salaam wanaJF nikiwa Mogadishu Somalia nimepamis Nyumbani Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Hakuna mahali wanauza mabomu sokoni
Somalia ina Rais ila matatizo ni mengi
Wewe umeenda somalia ya wapi maana mimi kwenye bucket list yangu ilikuwemo Mogadishu na kweli nilienda ikiwa nchi ya nne kufika na list ikaongezeka sana
Wana beach safi sana inaitwa Lidho na pia soko lao kuu linaitwa Bakara
Sasa wewe ulienda sehemu gani kwenye mauzo hayo ?
Ipendi nchi Yako mkuu nilitembelea Kismayu, ladwa na Lodhil hakika Tembea uone ila Jiji la Mogadishu hapo wamejitahidi japo uharamia japo sio saaana.
 
Ipendi nchi Yako mkuu nilitembelea Kismayu, ladwa na Lodhil hakika Tembea uone ila Jiji la Mogadishu hapo wamejitahidi japo uharamia japo sio saaana.
Kutembea na kutalii napenda kuona mila na desturi za wenzetu, hongera sana
Hata jirani yao pazuri pia nimeenda Addis pia pako vizuri
 
Upo coco beach unauliza baharini wapi?

1731885057373.png
 
Hongera sana kwa kutembea Nchi za Nje , naamini unajifunza mengi sana .
Upo huki kibiashara au kikazi,.
Huko Somalia kuna fursa gani Mtanzania anaweza kuzipata?
 
Back
Top Bottom