Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
- Thread starter
- #21
Hahahaaaaa🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabomu yanauzwa Sokoni km viazi mbatata hahahaTanzania ni kuzuri unamaaniasha nini
Huyo Mzee anasikitika nyumba zilizoanguka Kariakoo zamani zilikuwa za kwoo wakinga wakanunua.Uko na FaizaFoxy ?
Ipendi nchi Yako mkuu nilitembelea Kismayu, ladwa na Lodhil hakika Tembea uone ila Jiji la Mogadishu hapo wamejitahidi japo uharamia japo sio saaana.Hakuna mahali wanauza mabomu sokoni
Somalia ina Rais ila matatizo ni mengi
Wewe umeenda somalia ya wapi maana mimi kwenye bucket list yangu ilikuwemo Mogadishu na kweli nilienda ikiwa nchi ya nne kufika na list ikaongezeka sana
Wana beach safi sana inaitwa Lidho na pia soko lao kuu linaitwa Bakara
Sasa wewe ulienda sehemu gani kwenye mauzo hayo ?
🤣🤣🤣🤣🤣Mwacheni Faiza Foxy apumzikeHuyo Mzee anasikitika nyumba zilizoanguka Kariakoo zamani zilikuwa za kwoo wakinga wakanunua.
Leo hajui hata wanaozimiliki.
Nina mwezi Mmoja mkuuumeenda lini huko mkuu?
Bila picha ni batiliNawasalimia wajf kutoka Somalia, hakika Tembea uone. Tanzania kwetu kizuri, Huku mabomu yanauzwa sokoni kama viazi sokoni. Mungu ibarikia nchi yetu Tanzania.
Kutembea na kutalii napenda kuona mila na desturi za wenzetu, hongera sanaIpendi nchi Yako mkuu nilitembelea Kismayu, ladwa na Lodhil hakika Tembea uone ila Jiji la Mogadishu hapo wamejitahidi japo uharamia japo sio saaana.
Huyo kaona kambare Wala siyo mabomu. Angeuliza kwanza kwani kuuliza si ujinga.Muongo huyo atuonyeshe hilo soko wanalouza mabomu.
Hhahahaaaaaaaaa kuwa mzalendo mkuu
Unaweza kutuwekea picha za mandhari za huko?Nina mwezi Mmoja mkuu