Salam kutoka US: Aliyemtendea wema huyu mama abarikiwe

Salam kutoka US: Aliyemtendea wema huyu mama abarikiwe

Prof Janabi wa JF

Senior Member
Joined
Jul 7, 2023
Posts
165
Reaction score
450
Katika harakati za kubeba boksi nikakutana na mama mmoja wa kitasha.

Kimsingi kuna kitu nilikuwa nahitaji ila nilipungukiwa cash na sikuwa na card.

Nikamwambia isiwe kesi niwekee nitakuja kuchukua. Yule mama akaweka label, mimi katika harakati zangu baadae nilipotezea kwenda kuchukua kile kitu.

Yule mama akanicheki, ratiba zangu zikawa ngumu sana, baadae nikamwambia nisizuie wenye uhitaji, nikaruhusu kukikosa.

Yule mama akasema njoo siku unayotaka utakuta kitu chako siwezi kumpa mtu.

Basi nikafanya harakati baada ya mwezi nikaibuka. Ikabidi nimuulize kwanini amepambania sana mimi kupata kitu maana wengi walikuwa na uhitaji.

Akanambia kuna watanzania wamemfanyia poa sana, na katika ahadi zake ni kuwatendea poa watanzania wengine watakaofika Marekani.

Nikasema dua, nikaanza kubonga naye story za mikoa aliyotembelea Tanzania akasifu sana TZ kwa ukarimu.

Akanisistiza kuwa huru kwake. Nikamwambia siwezi kuwa huru sana, mimi ni mbantu nna mambo mengi kichwani.

Ila kiufupi amesifu sana ukarimu wa watanzania kwa wageni, japo yeye alikuja huko miaka mingi iliyopita. Dua sana kwa mlioweka misingi.

Salamu Kutoka Marekani
Chaaa!
 
Katika harakati za kubeba boksi nikakutana na mama mmoja wa kitasha.

Kimsingi kuna kitu nilikuwa nahitaji ila nilipungukiwa cash na sikuwa na card.

Nikamwambia isiwe kesi niwekee nitakuja kuchukua. Yule mama akaweka label, mimi katika harakati zangu baadae nilipotezea kwenda kuchukua kile kitu.

Yule mama akanicheki, ratiba zangu zikawa ngumu sana, baadae nikamwambia nisizuie wenye uhitaji, nikaruhusu kukikosa.

Yule mama akasema njoo siku unayotaka utakuta kitu chako siwezi kumpa mtu.

Basi nikafanya harakati baada ya mwezi nikaibuka. Ikabidi nimuulize kwanini amepambania sana mimi kupata kitu maana wengi walikuwa na uhitaji.

Akanambia kuna watanzania wamemfanyia poa sana, na katika ahadi zake ni kuwatendea poa watanzania wengine watakaofika Marekani.

Nikasema dua, nikaanza kubonga naye story za mikoa aliyotembelea Tanzania akasifu sana TZ kwa ukarimu.

Akanisistiza kuwa huru kwake. Nikamwambia siwezi kuwa huru sana, mimi ni mbantu nna mambo mengi kichwani.

Ila kiufupi amesifu sana ukarimu wa watanzania kwa wageni, japo yeye alikuja huko miaka mingi iliyopita. Dua sana kwa mlioweka misingi.

Salamu Kutoka Marekani
Chaaa!
Ila kiufupi amesifu sana ukarimu wa watanzania kwa wageni, japo yeye alikuja huko miaka mingi iliyopita. Dua sana kwa mlioweka misingi.🙏🏾
 
Mzungu yeyote aliyekuja Tanzania kwa matembezi na yanayofanana nayo atakuwa katendewa wema, ila anayekuja kufanya Biashara n wa bongo huwa ndo anaondoka na vinyongo, wa bongo ni wakarimu mpaka kwenye mambo yanayohusu hela, biashara, deal na Zulma
 
Nimewasili....😊🙂

Wageni tunakaa wapi?

Nani anatuandalia chakula na vinywaji?
Mgeni hawezi ondoka bila kula...🙂
Wewe mgeni special unatakiwa ukie meza kuu chakula kinaletwa na dada mpishi
 
Wewe mgeni special unatakiwa ukie meza kuu chakula kinaletwa na dada mpishi

Niko na karanga zangu hapa natafuna nilizotoka nazo Tabora kushusha njaa aka apetaiza, maana ndo nimeshuka kutoka SGR...
Nasubiria kwa hamu maji ya kunawa yafike nile nishibe maana kubeba mizigo mizito si kitu rahisi.... kuli wa bandari haoni ndani 🙂.
 
Back
Top Bottom