Salam za Wachagga- Xmas


Hiyo bold! Chuo chako kimefulia! Ukizaliwa tu, kozi inaanza kwa kumiminiwa vijiko kadhaa vya mbege!
 
Mwambie aje nimtie kibiriti! Niko hell hapa namsubiri! Agrrrrrrr!

nilisahau kumalizia hasira ilizidi.....
go tu hell and Xpin is wating eagerly to light u up!!!!
 
Usiache pitia Samanga mwachie msee walau ya kunywea Xmas!
haaa haaaa ahaaaa! msee mtui si unajua tena wakati huu wa krismasi hanywei nyumbani!! yeye ni full bar...nitamuwekea bill pale babylon
 
Mimi nashukuru kwa salamu maana nimeona jina la BABA MKWE NA LA MKE WANGU,AISEE UMEWAJULIA WAPI WOTE HAO?
 

Thats my girl for real!
Kwa kuwa nakupenda,nitakulinda!
 
Ama kweli waaRabu wa wapemba wanajuana kwa vilemba vyao.
 
Cha lanye ngamsuko, x-mas yamshika ngiore ma kiparu nyi
 
Hahahaah wajua yakhe mabinti waweza kuwa wajifanya wao kwa wao kizungu waita kusagana!

masa mswalie nanihii usiongee hayo maneno!!!!

ZD we are you!!! please come for my rescue, even my own shemeji has denied and is doubtn my jinsia sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…