MtazamoWangu
JF-Expert Member
- Apr 25, 2009
- 313
- 7
Kufahamika mbona nafahamika vizuri tu; kinachonisumbua ni hili kundi ambalo linaamini kabisa kuwa nchi hii ni ya kwao kabisa na sisi wengine ni wapangaji na tunahitaji kuomba kibali kwao ili tuwe.
Uache ubongo ukubali kile macho yanaona. Kwani mazingaombwe ni sanaa ya kuyalaghai macho.[/QUOTE said:Kaka hii nimeizimia ile kinyumenyume.
Mzee MJJ weka hilo kundi hapa hadharani tuwajue kwa majina yao hao ambao wanajifanya wana hati miliki ya Tanzania na sisi wengine ni wapangaji.Hawa ni watu hatari sana wanaweza kufanya maamuzi kwa manufaa yao binafsi bila kujali maslahi ya watanzania wengine.
Mkuu MJJ yamwage majina yao hapa ili umma wa watanzania uwajue wabaya wao ni akina nani.Unajua kupigana vita na adui umjuae ni vizuri zaidi ya kuambana na adui asiyejulikana.
Siku zote watanzania tumekuwa tukiambiwa adui yetu ni ujinga,maradhi na umaskini kumbe tumekuwa tukidanganyika tuu muda wote huo.Sasa Maadam MJJ unawafahamu hawa maadui tuwekee wazi ili umma uwajue wanaorudisha nyuma maendeleo ya Tanzania ni kina nani halafu tuone ubabe wao utafika wapi mbele ya umma wa Tanzania walio maskini na wenye hasira. Wamwage Mkuu hapa jamvini.
Kachero naona hujasoma kichwa cha habari mkuu! LOL
Sometimes hapa JF kuna vitu sielewi. Na hata sioni ni kwa nini nielewe lakini nabakia kuendelea kusoma. Nakumbuka kile katabu cha kiswahili "kusadikika" sidhani kama nilishawahi kukielewa lakini ilinibidi nikisome (tena mara zaidi ya moja) tu kwa kuwa niliamini nitaweza kukitumia kwenye mtihani.
Hivi ndivyo hii thread inavyokwenda.
NB: Salam kwa RO... if you act now you (kwa kumhamisha kuwadi wao) you might change my mind (probably others too) but if you don't nitaamini umesanction the stealth move.
Bob hujanifafanulie kuhusu RO...Kkwenye kipande hiki:
Kuwadi ni nani na ukuwadi wake ni upi
wewe mwaga vitu tuuuu
Kufahamika mbona nafahamika vizuri tu;
usiwe na wasiwasi GT.. ujumbe umefika loud and clear; tusonge mbele. Kuwadi wao ni jamaa alikuwa "mlango wa chuma"..
ahh lakini wengine umetuacha njiani
mie nilitaka kumjua huyo mpambe au ndio kama unavyomwita MLANGO WA CHUMA
who knows naweza nikawa na zaidi...au ushasahau lile benzi lililotumbukizwa baharini?
shukrani; usiwe na wasiwasi. ikibidi zaidi tutaweka hapa. Si unamfahamu jamaa yule wa TISS mwenye nyumba 50? ndio kundi hilo hilo.
wewe twende tu!UTAELEWA MBELE YA SAFARI!mliambiwa mtoe hela mpewe riport hamkuweza,mmletewa ya bure hamtaki kusoma!mnataka mkjj awatafunie,na awasaidie kuwamezesha?TWENDE TU KAKA,UTAELEWA HUKOHUKO
Kama hatuwawezi kwa bunduki na vifaru, na hatuna jela za kuwaweka, basi tuwatie aibu, tuwaaibishe, wao na wake zao na watoto wao. Kama hakuna hatua inayochukuliwa basi tuwazomee, wao na watoto wao. Kama serikali haiwezi kuchukua hatua basi ikiwezekana tuchukue hatua sisi wenyewe.
Tuwakamate wake zao makanisani. Tuwapige watoto wao mitaani.
Tubomoe miradi yao.
KUSEMA NA KUZOMEA TU HAITOSHI.TUFANYE ZAIDI YA HAPO.