Salama J vs Millard Ayo: Yupi ni mkali zaidi akifanya interview na msanii?

Salama J vs Millard Ayo: Yupi ni mkali zaidi akifanya interview na msanii?

Tutazame numbers, je takwimu zinasemaje, ni interviews za nani zimependwa zaidi tuangalie tu.

Maneno maneno huwa yana utata sana lakini hesabu hazidanganyi.

Mfano, kwa hicho unachokisema tukikitafsiri kihisabati, tatachukua numbers za Lil Ommy + Millard ili tuone kama ni kweli ukubwa wa Salama ni sawa sawa na unachonena.

Mwisho wa siku tutoe hoja kwa facts and figures maana uhalisia upo hapo na si kwenye mtazamo ama mahaba binafsi pekee.
 
Lil ommy + Millard Ayo = Salama

Sio kwa ubaya ila ukichukua tabia ya lil ommy ni kama salama wa planet bongo

Ukichukua za Millard ni kama Salama wa mkasi

Hivyo ntaenda na salama maana anaweza kubadilika na bado akawa amazing..
Tutazame numbers, je takwimu zinasemaje, ni interviews za nani zimependwa zaidi tuangalie tu.

Maneno maneno huwa yana utata sana lakini hesabu hazidanganyi.

Mfano, kwa hicho unachokisema tukikitafsiri kihisabati, tatachukua numbers za Lil Ommy + Millard ili tuone kama ni kweli ukubwa wa Salama ni sawa sawa na unachonena.

Mwisho wa siku tutoe hoja kwa facts and figures maana uhalisia upo hapo na si kwenye mtazamo ama mahaba binafsi pekee.
 
Salama anaweza akaakuliza kitu kwa kuzunguka ila ukaampa majibu kwa kile alichokusudia,,,,,,mfano aliwah muuliza diamond way back kwenye mkasi kwamba unajisikiaje aaahaa uyu anakua na kuuanza mziki tunamuona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ndiyo swali lenyewe ndiyo hili aliuza Salama basi Millard atakuwa best kwangu
 
Huyu Millard Ayo kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu amshinde ecejay?!.Nguvu anayotumia Millard na Platform aliyonayo .Salama akitumia theluthi tu hakuna wa kumfikia East Africa nzima.Chukua Dozen + Millard +Mjukuu+ Lil Ommy+ watangazaji wa jahazi pia wapate na back up ya Shonza +Abbas + Mwakyembe bado hawamfikiii kistuli.

Mkuu lil ommy ni something else , ana radha yake ya maswali tofauti kabisa na watangazaji wengine. Sio kwamba amemzidi salama, hapana.. ila amekuja kitofauti sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutazame numbers, je takwimu zinasemaje, ni interviews za nani zimependwa zaidi tuangalie tu.

Maneno maneno huwa yana utata sana lakini hesabu hazidanganyi.

Mfano, kwa hicho unachokisema tukikitafsiri kihisabati, tatachukua numbers za Lil Ommy + Millard ili tuone kama ni kweli ukubwa wa Salama ni sawa sawa na unachonena.

Mwisho wa siku tutoe hoja kwa facts and figures maana uhalisia upo hapo na si kwenye mtazamo ama mahaba binafsi pekee.
namba za wasafi fm/Tv zpo vzuri kuliko clouds fm/Tv unataka niambia wasafi ni bora kuliko clouds
 
Back
Top Bottom