Salama J vs Millard Ayo: Yupi ni mkali zaidi akifanya interview na msanii?

Salama J vs Millard Ayo: Yupi ni mkali zaidi akifanya interview na msanii?

Nafikiri mfano wako huo ktk uwekezaji unajaribu kuthibitisha kwamba numbers si kila kitu, sitaki pingana na hilo licha ya kwamba ni mfano wa kiujumla sina uhakika linapokuja suala specific hili la Millard dhidi ya Salama tufanye application yà hivyo.

Yatosha kusema, kwa sasa Millard Ayo ni moja kati ya chanzo cha kuaminika cha taarifa kwenye interview yaani the most reliable and credible source of information, hii si tu in fact anakaribiana na hadhi sawa na hizi regular media outlets zingine kama redio na vyombo vya habari na amefanya interviews kwenye angle tofauti, yaani siasa, michezo, filamu, buradani n.k na zimepata kutazamwa na watu wengi...


Salama Jabir yeye ana deal zaidi na entertainment interviews siasa kwa uchache sana na alizozifanya si kwa ubora maana ufahamu wake labda interest yake ni ndogo, ukimpa hard news ati afanye mahojiano mathalani na waziri mkuu simuoni bora dhidi ya Millard, wigo wake ni mdogo mnoo.

Labda kama tuwe specific yaani tuwalinganishe kwenye entertainment interviews, hawa ni watu wawili wanaojipambanua tofauti, mmoja ni mwanahabari kwa ujumla, mwingine specialized kwenye habari za burudani labda na michezo...

Kama unaona millard ana depth au yupo flexible kwenye interview zake kuliko salama.. its ok

Kama unaona millard ana influence kubwa kwenye media na entertainment industry ya Tz.. its ok

Tutakesha kwa vitu vidogo

Tukubaliane tu kutokukubaliana mkuu
 
Kama unaona millard ana depth au yupo flexible kwenye interview zake kuliko salama.. its ok

Kama unaona millard ana influence kubwa kwenye media na entertainment industry ya Tz.. its ok

Tutakesha kwa vitu vidogo

Tukubaliane tu kutokukubaliana mkuu
Kimsingi, wamekosea kumlinganisha mwanahabari za burudani dhidi ya mwanahabari (Salama Vs. Millard).

Sasa kuna wafuatiluaji wa habari za burudani pro dhidi ya wafuatiliaji wa habari zote kwa ujumla ziwe hard news na hizi za burudani na michezo n.k kwa ujumla, lazma tukubaliane kutokukubaluana.

Ni rahisi mnoo kufanya interviews na hawa watu wa entertainment kuliko watu wa hard/serious news...

Watu wa entertainment, hawako formal mtangazaji anakuwa too flexible, anaweza hata fukunyua maswali too personal to be relevant na washabiki wanapenda hayo ndipo mtangazaji anaonekana mahiri ati kaibua mambo ( hapa ndipo Salama anajipambanua) tofauti na Millard yuko formal...



Anyway, tukubali kutokukubaluana.
 
Salama,sasa hv karudi na kipindi chake hata watu wanaosubscribe ni wengi ukichukulia alikuwa mbali na mambo kuhoji hoji watu kwa muda mrefu.
Ni aina ya watu ukiwaona tu wanakufurahisha hta bila kufanya chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
salama will always be the best
huna ana creativity kubwa sana kwenye vpnd vyake na maswali yake
 
Kimsingi, wamekosea kumlinganisha mwanahabari za burudani dhidi ya mwanahabari (Salama Vs. Millard).

Sasa kuna wafuatiluaji wa habari za burudani pro dhidi ya wafuatiliaji wa habari zote kwa ujumla ziwe hard news na hizi za burudani na michezo n.k kwa ujumla, lazma tukubaliane kutokukubaluana.

Ni rahisi mnoo kufanya interviews na hawa watu wa entertainment kuliko watu wa hard/serious news...

Watu wa entertainment, hawako formal mtangazaji anakuwa too flexible, anaweza hata fukunyua maswali too personal to be relevant na washabiki wanapenda hayo ndipo mtangazaji anaonekana mahiri ati kaibua mambo ( hapa ndipo Salama anajipambanua) tofauti na Millard yuko formal...



Anyway, tukubali kutokukubaluana.

Brother unampenda sana millard na sio mbaya

Ila hiyo category ya umahiri wa "Serious News" sijawahi kuuona. Millard mara nyingi ni reporter, hachambui wala haongezi chochote kuonesha huo "UMAHIRI" zaidi ya comments chache...
Ndio maana Ukimlinganisha na miss Kamuntu au mr kikeke watu watakutukana

millard kwa kiasi kikubwa ni sauti unique, nzuri pamoja platform ya clouds na efforts zake binafsi... hiyo ndio EXTRA kwenye ORDINARY yake

Again..lets agree to disagree
 
Millard kuna baadhi ya maswali anayakwepa kwenye interview hasa yale yanayohusiana na mapenzi ya mtu na mtu sijui kwa sababu ya kulinda status yake, ila salama anakata kiu aisee anagonga mule mule tena anatupia na jokes kabisa. Millard ye interview kwake anachukulia kitu serious mno hata jokes haweki katikati ya maongezi. Hivyo ajipange sana kwa Salama. Salama anaweza kusikilizwa na mtu wa aina yoyote sababu ana uswahili ndani yake anaongea fact na pumba pia ili tu kuleta burudani.
 
Brother unampenda sana millard na sio mbaya

Ila hiyo category ya umahiri wa "Serious News" sijawahi kuuona. Millard mara nyingi ni reporter, hachambui wala haongezi chochote kuonesha huo "UMAHIRI" zaidi ya comments chache...
Ndio maana Ukimlinganisha na miss Kamuntu au mr kikeke watu watakutukana

millard kwa kiasi kikubwa ni sauti unique, nzuri pamoja platform ya clouds na efforts zake binafsi... hiyo ndio EXTRA kwenye ORDINARY yake

Again..lets agree to disagree
Presentation ya content ndo kitu cha kwanza,hivyo vingine ndo vinafuata..sauti unique watu kibao tu wanazo..

Millard presentation yake ya content ndo imemfanya akubalike zaidi..
 
Back
Top Bottom