Tutazame numbers, je takwimu zinasemaje, ni interviews za nani zimependwa zaidi tuangalie tu.Lil ommy + Millard Ayo = Salama
Sio kwa ubaya ila ukichukua tabia ya lil ommy ni kama salama wa planet bongo
Ukichukua za Millard ni kama Salama wa mkasi
Hivyo ntaenda na salama maana anaweza kubadilika na bado akawa amazing..
Hatuzungumzii hayo, tunazungumzia umahiri wa kazi anayofanyaMillard is the best and not that lesbian
Mkuu, heshimu mawazo ya mtu...mtoa mada amesema tuchague sasa usitupangie tufikirie kama weweKawaida ya mademu wa kibongo chuki na wivu..mtaendelea kuwa masingo Maza mpaka mzae misukule
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ndiyo swali lenyewe ndiyo hili aliuza Salama basi Millard atakuwa best kwanguSalama anaweza akaakuliza kitu kwa kuzunguka ila ukaampa majibu kwa kile alichokusudia,,,,,,mfano aliwah muuliza diamond way back kwenye mkasi kwamba unajisikiaje aaahaa uyu anakua na kuuanza mziki tunamuona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Millard is the best and not that lesbian
unafki wa huyu jamaa upo wapi....?Usimlinganishe Salama na wanafiki.
Unahisi salama akimuhoji Mtu vs Millard akimuhoji mtu ni yupi kati ya hawa mwenye maswali kuntu na ya kufikirisha? yupi unamkubali hapo kwenye kuhoji ma star wa kibongo.
View attachment 1397335View attachment 1397336
Mimi nampa Salama 81% then Millard nampa 83%
Huyu Millard Ayo kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu amshinde ecejay?!.Nguvu anayotumia Millard na Platform aliyonayo .Salama akitumia theluthi tu hakuna wa kumfikia East Africa nzima.Chukua Dozen + Millard +Mjukuu+ Lil Ommy+ watangazaji wa jahazi pia wapate na back up ya Shonza +Abbas + Mwakyembe bado hawamfikiii kistuli.
namba za wasafi fm/Tv zpo vzuri kuliko clouds fm/Tv unataka niambia wasafi ni bora kuliko cloudsTutazame numbers, je takwimu zinasemaje, ni interviews za nani zimependwa zaidi tuangalie tu.
Maneno maneno huwa yana utata sana lakini hesabu hazidanganyi.
Mfano, kwa hicho unachokisema tukikitafsiri kihisabati, tatachukua numbers za Lil Ommy + Millard ili tuone kama ni kweli ukubwa wa Salama ni sawa sawa na unachonena.
Mwisho wa siku tutoe hoja kwa facts and figures maana uhalisia upo hapo na si kwenye mtazamo ama mahaba binafsi pekee.
am sure for that😎😎😎
sure mkuuKama ndiyo swali lenyewe ndiyo hili aliuza Salama basi Millard atakuwa best kwangu