damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,464
So siku hizi watu wasianzishe thread jf, utasikia ooh wanaume Wa dar, sasa wewe Wa huko porini kwanini usifungue thread yako ya ufugaji nyuki Ama kilimo cha mahindi watu wachangie? Kazi kukaa na kukuna mbupu zenu zilizo liwa na fungus mkisubiria Ku criticize, mnaboa!
Dar ndio mambo yote bwana, acha tuenjoy maisha wakati nyie mnachakaa na kuzeeka huku mkifukuza tumbili maporini.
# proudly Dar member!
Dar ndio mambo yote bwana, acha tuenjoy maisha wakati nyie mnachakaa na kuzeeka huku mkifukuza tumbili maporini.
# proudly Dar member!