Salama na Fatma Karume (Shangazi)

Fatma yuko vizuri sn....... Maccm ya namuonea wivu maana hayana akili baada ya kusoma shule zao za kata
 
Ana mume,hata kwenye interview kaweka wazi,Jaribu kuitafuta YouTube.
Na huyo mume wake walikutana kipindi fatuma ana miaka 16, kwa sasa Fatuma ana miaka 51. watoto hajaongelea so naamini atakuwa nao.
Hahaaa.... Unamwambia wengine waende YouTube huku N ww hujamsikiliza Kumbe..

Kasema moja kati ya happiest moments ni kukaa na familia yake yaani watoto wake wawili mmoja wa kike mwengine wa kiume na housegirl....
 
Wanahabari wa Tanzania wengine ovyo sana.

Unamuita mtu kwenye mahojiano, anataka kufunguka, halafu unamkataza mengine asiongee?

Upumbavu gani huu?

Inategemeana kiongozi. Tz ya leo sio ya zamani. Unaweza sababisha kituo kufungwa kwa sababu ya interest fulani... tumebana uhuru wenyewe..
 
Uliposema Salama na Fatuma ...nimekuelewa sana
 
Hahaaa.... Unamwambia wengine waende YouTube huku N ww hujamsikiliza Kumbe..

Kasema moja kati ya happiest moments ni kukaa na familia yake yaani watoto wake wawili mmoja wa kike mwengine wa kiume na housegirl....
Mkuu nimeingalia mara mbili nikiwa nyumbani EATV ambapo hicho kipindi cha salama hurushwa,ila mara zote sijaiangalia mwanzo na baadhi ya vipande kwa sababu kadha wa kadha.
Mara ya kwanza nilikuwa na mgeni so concentration ilikuwa kidogo,na mara ya pili niliifuma imeshaanza so ukichangia na vikazi nilivyoluwa nafanya nilikuwa nakosa ku-catch kila kitu.
Nimemshauri aende Youtube kwa sababu baada ya kurushwa kwa Tv huwa baadae wana-upload huko,ndio maana kuna watu waliitafuta huko baada uzi kuletwa hapa na kuikosa inamaana ilikuwa haijawekwa.
Unaponishutumu sijaangalia,unakuwa unakosea maana hizo taarifa za umri wake na kipandi amekutana na mume wake(wakati huo wakiwa marafiki) lilikuwa swali la mwisho mwisho.
 
Salama anawahoji kupitia TV ipi?
EATV kila Halhamisi saa tatu usiku, ila uwa anachanganya changanya anahoji wasanii zaidi na vijana wenye influence kama yule dogo ambaye ameanzisha brand yake ya vifaa kwa kushirikiana na investors na designers wa vifaa toka silcon valley
 
Wajinga ndio waliwao.
 
Inategemeana kiongozi. Tz ya leo sio ya zamani. Unaweza sababisha kituo kufungwa kwa sababu ya interest fulani... tumebana uhuru wenyewe..
Kazi ya uandishi wa habari kugangamala.

Tatizo Tanzania wengi wanafanya maigizo. Kuanzia watawala mpaka wananchi.
 
Ana mume,hata kwenye interview kaweka wazi,Jaribu kuitafuta YouTube.
Na huyo mume wake walikutana kipindi fatuma ana miaka 16, kwa sasa Fatuma ana miaka 51. watoto hajaongelea so naamini atakuwa nao.

Amesema anao wawili, wakiume na wa kike.


Nampenda sana shangazi sababu ni mwanamke smart kichwani, tough, na ni mzuri pia kwa muonekano, Nimempatia picha akiwa mahakamani alivyo mtata. Ni mwalimu mzuri anaweza kueleza kitu ukaelewa.

Nimeobserve kuwa kuna vitu anajicontradict, lakini pia ana twist mambo kwa maslahi yake (Nafikiri ni asili ya mawakili wote)
 

Nakuelewa.

Mimi pia huwa nawashangaa wale wanawake wanaofundishwa jinsi ya kukaa na mume (kwenye kitchen party), huku mfundishaji hana mume.
 
Atulie tu ale pension ya mzee wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…