Salama na Fatma Karume (Shangazi)

Salama na Fatma Karume (Shangazi)

Shangazi yuko very composed..... [emoji106][emoji106]
Huyu dada kabeba elimu kubwa sana kuliko nzi wote wa kijani,kamshauri baba yake akiwa rais abadili sheria za kunyima mtu dhamana...huyu na dk mwele ndio watoto wa viongozi wenye upeo mkubwa
 
Mkuu nimeingalia mara mbili nikiwa nyumbani EATV ambapo hicho kipindi cha salama hurushwa,ila mara zote sijaiangalia mwanzo na baadhi ya vipande kwa sababu kadha wa kadha.
Mara ya kwanza nilikuwa na mgeni so concentration ilikuwa kidogo,na mara ya pili niliifuma imeshaanza so ukichangia na vikazi nilivyoluwa nafanya nilikuwa nakosa ku-catch kila kitu.
Nimemshauri aende Youtube kwa sababu baada ya kurushwa kwa Tv huwa baadae wana-upload huko,ndio maana kuna watu waliitafuta huko baada uzi kuletwa hapa na kuikosa inamaana ilikuwa haijawekwa.
Unaponishutumu sijaangalia,unakuwa unakosea maana hizo taarifa za umri wake na kipandi amekutana na mume wake(wakati huo wakiwa marafiki) lilikuwa swali la mwisho mwisho.
Poa poa mkuu..... Tuko pamoja
 
Huyu dada kabeba elimu kubwa sana kuliko nzi wote wa kijani,kamshauri baba yake akiwa rais abadili sheria za kunyima mtu dhamana...huyu na dk mwele ndio watoto wa viongozi wenye upeo mkubwa
Ni watoto wachache sn wa viongozi wako bright na independent km Fatma....

She is very exceptional💪💪
 
Ana mume,hata kwenye interview kaweka wazi,Jaribu kuitafuta YouTube.
Na huyo mume wake walikutana kipindi fatuma ana miaka 16, kwa sasa Fatuma ana miaka 51. watoto hajaongelea so naamini atakuwa nao.
Na watoto pia aliwagusia...son and daughter! Ana watoto wawili kwa maelezo yake
 
Nimesikiliza interview. Mtu anayeongea kwa emotions ni vigumu sana kumsikiliza. Licha ya kuwa mtetezi wa haki lakini emotionally hayupo stable. Salama amekuwa calm sana ku deal naye.
Ahahaha ni mtata huyo...gari likiwaka ana msemo wake 'ushaniskia'
 
Huyu wakamchunze uraia wake. Atakuwa anauraia wa uingereza hivyo anatakiwa aishi kwa kibali hapa nchini.

Huyu mama baba yake alikuwa madarakani miaka 10, aliwafanyia nini wazanzibari? Mbona hatukumsikiaga kutetea haki zao? Alafu hao wanaokandamizwa wako Bara tu?

Mbona haendi kwao kuwaeleza wananchi wao jinsi chama cha baba yake na baba yake akiwemo vilivyowakandamiza?

Baba yake hakumuibiaga Maalim kura mara mbili huyu? Mbona hakujitokeza kumpigania Maalim?

Wakati wapemba wanalishwa shaba 2001, nani alikuwa raisi wa Zanzibar? Mbona hatujawahi kumsikia akiwapazia sauti?

Shenzi type tu. Watanzania tuache unafki. Akili hata za kugelezea zinatushinda?
Duh! Umetapika nyongo. Unafiki sio dili
 
mbona wabongo mmezidi kuwa sadists

unajua kuwa mtoto wa rais wa Angola yupo katika top 5 ya wanawake tajiri bara la Africa, unaweza kulinganisha nini na Fatma Karume.. Fatma Karume ana utajiri kiasi gani ??..

Fatma Karume kusoma shule nzuri na kupata privilledges kutokana na jina la familia yake haina tofauti na mtu wa middle class anavyochukuliwa na watu maskini kuwa kapendelewa. Bro its natural hata yeye alisema hakuchagua kuwa familia ile the same kwako

Nchi hii watoto wa viongozi ni wangapi wenye exposure kubwa, mbona wapo kimya na hamsemi. Mtu kajitolea kuongea na amepoteza fursa kibao lakini kwako wewe umeona kuongea kuhusu baba yake ndio big issue kuliko impact ya harakati zake, are you serious !!...

ok Maria na Fatma wanapata nini kwa kuongea vile hadi uhisi ni wanafki na hawamaanishi wanachokisema ???...

tuseme Maria na Karume wakae pembeni ili ufurahi, do you have balls za kufanya wanachokifanya ???....
Kama zamani hawakuongea wakae kimya waache unafiki.
Swala lautajiri ni akili inavyotumika kuhandle mali kama walikuwa wanajirusha kaama Mobutu seseko kukuwa Kubanga. Tutajuaje?
 
Shangazi kichwani ana kitu ila tu kuna mambo machache ambayo naona anajichanganya Sijawahi kuelewa Vision ya huyu bibie mana kama kuhold Top positions hata kwa Zenj itakuwa ngumu
 
Ahsante sana Mkuu. Shangazi alistahili kukatiza mahojiano pale pale na kuondoka.

Wanahabari wa Tanzania wengine ovyo sana.

Unamuita mtu kwenye mahojiano, anataka kufunguka, halafu unamkataza mengine asiongee?

Upumbavu gani huu?
 
👊🏽👊🏽👊🏽👍🏽

Shangazi yulo REAL, wala sio kwamba hana furaha. Sema tu upande alioamua kuutumikia una madudu mno, na wengi wamekaa kimya sasa ulitaka nani mwengine ayazungumzie hayo madudu yaliyomo kwenye system?. Shangazi ameletwa duniani kwa kazi maalum, hakika kazi yake tunaiona ni yeye peke yake ndo anayoifanya.

Ukija na uzi wa Maria Sarungi uniTag.
 
Back
Top Bottom