Salama na Fatma Karume (Shangazi)

Salama na Fatma Karume (Shangazi)

Niweke ushaidi hapa wewe kama nani, mwenzio ana mume tena dokta bingwa kabisa ana watoto wa kiume wazuri tu shauri ako endelea kupiga umbea tu utaolewa wewe BOY [emoji3][emoji3][emoji3]

Achana na Huyo Salehe Mchichamwiba.. Bora hata umemchana.. Hii mitoto sikuizi umejaa jf yaan Ni vurugu tu nakuleta tabia za kike ambazo hata Mabinti sikuizi walishaaziacha..
 
Duh! Umetapika nyongo. Unafiki sio dili
Hakuna watu wanakera kwa unaki kama watanzania. Ndo maana sinaga huruma nao.

Fatuma na familia yake ni sehemu ya matatizo ya nchi hii. Hawezi akajitenga na shida/raha za CCM wakati wazazi wake tu na bibi yake bado wanalishwa, kuvishwa na kuhudumiwa kila kitu na chama hicho. Hata yeye mwenyewe kufika hapo ni chama hicho japo ataleta siasa baba yake ndo alimsomesha, bla bla.
Ni part ya mfumo uliotunyonya tangu Muungano uzaliwe. Maana ndo ulituletea CCM,

Binafsi nataka huu muungano uishe, kila mtu abebe chake arudi kwao. Wapemba wote Kariakoo na hawa wahindi koko akina Fatuma waogelee kurudi kwao.
Faida yetu sisi ya kuwa na hawa watu ni nini hasa?
 
Back
Top Bottom