Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Magufuli oyeeeeeKajenga uwanja wa kimataifa wa ndege chato na kubeba wanyama serengeti kupeleka kuanzisha mbuga yake chato
Niweke ushaidi hapa wewe kama nani, mwenzio ana mume tena dokta bingwa kabisa ana watoto wa kiume wazuri tu shauri ako endelea kupiga umbea tu utaolewa wewe BOY [emoji3][emoji3][emoji3]
TAKATAKA........Magufuli oyeeeee
Hakuna watu wanakera kwa unaki kama watanzania. Ndo maana sinaga huruma nao.Duh! Umetapika nyongo. Unafiki sio dili